robbyr
Senior Member
- Apr 8, 2017
- 129
- 221
Tupo kwenye ulimwengu wa kasi kwa kila kitu ila TTCL kwenye huduma ya Internet wamelala au kukosa ubunifu.
Mimi nimzaliwa wa Kilimanjaro na mtanzania ila jambo la mtando limekuwa kero sana kwenye baadhi ya vijiji vilipo chini ya mlima Kilimanjaro. Ukiangalia kwa sasa juu ya mlima huo mtandao wa TTCL unatoa huduma nzuri na za bei nafuu lakini kwenye vijiji vyake haishiki kabisa
Je, wameshindwa nini kwenye vijijini vilivyopo chini ya mlima huu kuwa na mtandao?
Tutafika lini kama taifa?
Mimi nimzaliwa wa Kilimanjaro na mtanzania ila jambo la mtando limekuwa kero sana kwenye baadhi ya vijiji vilipo chini ya mlima Kilimanjaro. Ukiangalia kwa sasa juu ya mlima huo mtandao wa TTCL unatoa huduma nzuri na za bei nafuu lakini kwenye vijiji vyake haishiki kabisa
Je, wameshindwa nini kwenye vijijini vilivyopo chini ya mlima huu kuwa na mtandao?
Tutafika lini kama taifa?