TTCL ina deni la bilioni 403 ilhali mtaji bilioni 243

TTCL ina deni la bilioni 403 ilhali mtaji bilioni 243

Deni la TTCL ni kutokana na mtaji unaolifanya shirika liwe la kisasa. Hao wabunge walikua wapi kulilia Celtel wamalize deni lao la dola milioni 55?
net debt ya TTCL ni ~bilion 130, huu ujanja ujanja ni kutaka kuligawa shirika kwa kampuni binafsi. Acheni watu wafanye kazi jamani. Tunajua wabunge wanahisa kwenye kampuni za simu hasa Vodacom Tanzania, na uwepo wa TTCL ni mwiba kwa Vodacom hasa kwenye tenda za mawasiliano za serikali. TTCL inapata tenda zote za serikali zinazohusu mawasiliano.
Hujuma kwa TTCL ni kwasababu ya ulafi wa wanasiasa.
Mwaka 2015, ripoti ya habari leo yenye kichwa cha habari TTCL yafilisika
ilionesha wazi jinsi shirika hili linavyohujumiwa na kampuni binafsi za mawasiliano.
Kuna mambo hayaitaji ata kutetea ndio maana kama taifa kila siku tunaumizana kwa kupga marktime,ayo unayosema wabunge au watu kuwa na hisa ktk izo kampuni sio tatzo kama kuna sehemu inaonyesha kuna shida kwann tuwatupie watu lawama,hao tanesco pamoja kuwa pekee yao lkn bado kuna sehemu wana hasara ,shirika la ndege wapo wao tu lkn kila siku zinakuja hasara je uko kote kuna hisa za wabunge ,kuna jambo ambalo kitu kikiwa chini ya serikali kinakosa tofaut na watu binafsi asa asa aya mashirika mfano mdogo radio ya wasafi umetoka juzi lkn ikija takwimu ya wasikizaji inazid kwa mbal tbc kwann,apo apo jiulze kama vodacom ambao wana wateja zaid ya m10 kuna muda wanalalamika hasara itakuaje kwa ttcl ambao unaweza familia ya watu kumi ata mmoja mwenyewe iyo lain hana ,aya mashirika ya serikali yaache maneno bila vtendo yaongeze ubunifu yaongeze wafanyakazi waongeze miundombinu na pia wawe na mkakat wa kusaka wateja kwa promotion mapunguzo,ubora nk,haiwezekan shirika limeyumba sana linakuja kufufuka mtandao auna nguvu bei ya mabando na vifurushi kama sawa na wengine na pia wamejifichaficha tu mtu hawezi kushawishika na chochote mwsho wa siku tunakuja kusema hujuma ,nakumbuka mwaka fulan hiz huduma za kipesa zinaanza kat ya hii mitandao mitatu kuna mmoja ulichelewa kuleta hii huduma baada na wao kuja na huduma yao ili kwenda na kasi ya wenzao wao walianza kwa ofa nyingi sana ikiwa adi kutoa pesa bure walisambaza mateamleader kila sehem hauwez kuptia sehem bila kukutana na hiace imejaza vijana wa promotion ,matunda yake leo hii huo mtandao leo hii huwez kuukosa ktk namba mbil au tatu kwa watumiaji
 
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limelemewa na deni la Sh403 bilioni ilhali mtaji ilionao ni wa Sh243.

Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Japhet Hasunga amesema hayo jana Jumatano Oktoba 20, 2021 baada ya kuipitia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2019/20 ambapo amesema wamebaini kuna viashiria katika Shirika hilo kutofanya vizuri kwakuwa lina mtaji hasi wa Sh132 bilioni na madeni makubwa kuliko mtaji wake.

“Hicho ni kiashiria kuwa bado shirika haliendi vizuri. Shirika letu linalipa hadi kodi lakini mapato yao hayajaingizwa katika vitabu vyao,” amesema Hasunga.

=====

Pamoja na nia njema ya JPM, mashirika ya umma yamekuwa yanakula pato la Taifa bila kuleta tija. Tubaki na Tanesco yenye maslahi mapana ya Taifa, haya mengine tukihitaji uzalendo tuwape wafanyabiashara wazawa wajaribu bahati yao.

TTCL ndio ina mkongo wa Taifa wa Data, pamoja na advantage hiyo kibiashara wameshindwa kabisa kutawala soko la internet, yaani mwingine ananunua kutoka kwao halafu anawagaragaza sokoni, tumeshindwa.
Tanesco"Maslahi mapana kwa Taifa"🤔🤔🤔 Kwahiyo tanesco inaendeshwa faida???
 
Shida ni rushwa na 10% tu ndio zinadhoofisha shirika! Watoe wazee humo ndani watuingize dam changa tuje kufanya mabadiliko!

TTCL ina advantage kubwa sana sokoni ila tatizo ni Management ya kipuuzi! Mkurugenzi ana share Vodacom au Tigo na still pia ana kimango anapokea kila mwezi toka Tigo, Voda na Halotel unategemea awa favour TTCL kwa kipi hasa!?

Tutaendelea kulia lia na haya mashirika ila chanzo ni ufisadi na rushwa!
Timua wazee,weka vijana,watatiana Sana lakini lakini hapatokua na hasara
 
Kuna mambo hayaitaji ata kutetea ndio maana kama taifa kila siku tunaumizana kwa kupga marktime,ayo unayosema wabunge au watu kuwa na hisa ktk izo kampuni sio tatzo kama kuna sehemu inaonyesha kuna shida kwann tuwatupie watu lawama,hao tanesco pamoja kuwa pekee yao lkn bado kuna sehemu wana hasara ,shirika la ndege wapo wao tu lkn kila siku zinakuja hasara je uko kote kuna hisa za wabunge ,kuna jambo ambalo kitu kikiwa chini ya serikali kinakosa tofaut na watu binafsi asa asa aya mashirika mfano mdogo radio ya wasafi umetoka juzi lkn ikija takwimu ya wasikizaji inazid kwa mbal tbc kwann,apo apo jiulze kama vodacom ambao wana wateja zaid ya m10 kuna muda wanalalamika hasara itakuaje kwa ttcl ambao unaweza familia ya watu kumi ata mmoja mwenyewe iyo lain hana ,aya mashirika ya serikali yaache maneno bila vtendo yaongeze ubunifu yaongeze wafanyakazi waongeze miundombinu na pia wawe na mkakat wa kusaka wateja kwa promotion mapunguzo,ubora nk,haiwezekan shirika limeyumba sana linakuja kufufuka mtandao auna nguvu bei ya mabando na vifurushi kama sawa na wengine na pia wamejifichaficha tu mtu hawezi kushawishika na chochote mwsho wa siku tunakuja kusema hujuma ,nakumbuka mwaka fulan hiz huduma za kipesa zinaanza kat ya hii mitandao mitatu kuna mmoja ulichelewa kuleta hii huduma baada na wao kuja na huduma yao ili kwenda na kasi ya wenzao wao walianza kwa ofa nyingi sana ikiwa adi kutoa pesa bure walisambaza mateamleader kila sehem hauwez kuptia sehem bila kukutana na hiace imejaza vijana wa promotion ,matunda yake leo hii huo mtandao leo hii huwez kuukosa ktk namba mbil au tatu kwa watumiaji
Halotel sio
 
Ndio maana wamepunguza MB's kumbe wanataka walipe deni [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nawasalimia kwa jina la Divided Republic of Tanzania nanyi mnajibu KUDEMKA kuendelee.

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limelemewa na deni la Sh403 bilioni ilhali mtaji ilionao ni wa Sh243.

Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Japhet Hasunga amesema hayo jana Jumatano Oktoba 20, 2021 baada ya kuipitia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2019/20 ambapo amesema wamebaini kuna viashiria katika Shirika hilo kutofanya vizuri kwakuwa lina mtaji hasi wa Sh132 bilioni na madeni makubwa kuliko mtaji wake.

“Hicho ni kiashiria kuwa bado shirika haliendi vizuri. Shirika letu linalipa hadi kodi lakini mapato yao hayajaingizwa katika vitabu vyao,” amesema Hasunga.

=====

Pamoja na nia njema ya JPM, mashirika ya umma yamekuwa yanakula pato la Taifa bila kuleta tija. Tubaki na Tanesco yenye maslahi mapana ya Taifa, haya mengine tukihitaji uzalendo tuwape wafanyabiashara wazawa wajaribu bahati yao.

TTCL ndio ina mkongo wa Taifa wa Data, pamoja na advantage hiyo kibiashara wameshindwa kabisa kutawala soko la internet, yaani mwingine ananunua kutoka kwao halafu anawagaragaza sokoni, tumeshindwa.
 
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limelemewa na deni la Sh403 bilioni ilhali mtaji ilionao ni wa Sh243.

Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Japhet Hasunga amesema hayo jana Jumatano Oktoba 20, 2021 baada ya kuipitia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2019/20 ambapo amesema wamebaini kuna viashiria katika Shirika hilo kutofanya vizuri kwakuwa lina mtaji hasi wa Sh132 bilioni na madeni makubwa kuliko mtaji wake.

“Hicho ni kiashiria kuwa bado shirika haliendi vizuri. Shirika letu linalipa hadi kodi lakini mapato yao hayajaingizwa katika vitabu vyao,” amesema Hasunga.

=====

Pamoja na nia njema ya JPM, mashirika ya umma yamekuwa yanakula pato la Taifa bila kuleta tija. Tubaki na Tanesco yenye maslahi mapana ya Taifa, haya mengine tukihitaji uzalendo tuwape wafanyabiashara wazawa wajaribu bahati yao.

TTCL ndio ina mkongo wa Taifa wa Data, pamoja na advantage hiyo kibiashara wameshindwa kabisa kutawala soko la internet, yaani mwingine ananunua kutoka kwao halafu anawagaragaza sokoni, tumeshindwa.
Kila siku nawaambia serikali imejaa watu waliofaulu kwenye mitihani lakini hawana exposure wala kipawa cha biashara..

Endeleeni kuangalia Pass mark za vyeti
 
Back
Top Bottom