Pre GE2025 TTCL, TCRA, Posta, UCSAF na PDPC watoa ujumbe wa kwaheri kwa Nape baada ya kutenguliwa

Pre GE2025 TTCL, TCRA, Posta, UCSAF na PDPC watoa ujumbe wa kwaheri kwa Nape baada ya kutenguliwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Jumapili wakati Nappe akigawa Tuzo Mlimani City na mkewe akiwa kitandani anamsubiri arudi nyumbani, alitenguliwa na hakuna sababu zilizotolewa na Rais kwa utenguzi huo.

Mashirika aliyofanya Nape akiwa kama waziri yametoa pongezi na kujifanya wanajua sababu wakati rais pekee ndiyo anajua sababu. Barua ya Ikulu inasema uteuzi wa Nape umetenguliwa, wanajua underline reason ya kumtengua mpaka wao wapongeze kama kazi ilikuwa inafanyika nzuri? Hii ni kazi ya Ikulu sio TTCL na Board yao.

Board za Wakurugenzi zimeitisha kikao leo Asubuhi kujadili suala la Nape na kuja na hizi Pongezi?

Yaani board imejadili uteuzi wa Rais?

Kama Jina la Board limetumika bila kikao tunataka uwajibikaji, maana utakuwa ni uhuni, kama board imeitwa kujadili uteuzi, Basi Jerry Silaa ajipange hawa ni wahuni tu wanaonyesha loyality yao iko kwa mtu na sio Office bearer.

UPDATE: Hatimaye Raisi SAMIA amekuwa msikivu, amewatengua kama nilivyo-omba .
Asante sana mama,walifanya insubordination.
Si wote wametoa pongezi kwa Nappe, wacha wakapongezane huko huko bench
TTCL.jpeg

IMG_4019.jpeg
62b7d2b6-3ffe-4092-8553-b44cf8dcaa06.jpeg
IMG_4016.jpeg

09fdbab0-563f-4559-8ae0-7daa4811b30e.jpeg

IMG_4020.jpeg
 
Huyu utaona kero atakazoanzisha akifikiri atarudishwa tena. Mama alikosea sana kuwarudisha hawa watu magufuli aliwatema.

Zile dharau na kejeli walisikika wakimtolea kiongozi aliyeheshimika sana sio na watanzania tu ila afrika na dunia hawakustahili kuaminiwa tena na chama cha mapinduzi... ila tu kama mama alikua anaona walikua sawa kumdharau magufuli na kumkejeli.

Mojawapo ya kutokubalika mama na wengi ni kuwarudisha hawa wenye chuki na magufuli
 
Huyu utaona kero atakazoanzisha akifikiri atarudishwa tena. Mama alikosea sana kuwarudisha hawa watu magufuli aliwatema. Zile dharau na kejeli walisikika wakimtolea kiongozi aliyeheshimika sana sio na watanzania tu ila afrika na dunia hawakustahili kuaminiwa tena na chama cha mapinduzi... ila tu kama mama alikua anaona walikua sawa kumdharau magufuli na kumkejeli. Mojawapo ya kutokubalika mama na wengi ni kuwarudisha hawa wenye chuki na magufuli
Hawa ndio wamehusika kwa kiasi kikubwa kupambana na CHADEMA. Kuna mtu kwa sasa anaweza kupambana na CHD?
 
Back
Top Bottom