TTCL yatajwa ya mwisho ubora wa huduma

Na hili ndio linatukwamisha sana kwenye mambo mengi, ni kama vile hatuna dira wala mwelekeo wetu. Katika nyanja ambazo zipo mbio sana kwakweli teknolojia inakimbia sana, ila ndip tupo nyuuma sanaa. Hii sio nzuri kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…