Tuache kudanganyana, Ajira zina afadhali zaidi kuliko kujiajiri, watu wengi waliojiajiri ndio wapo kwenye utumwa

Waambie wakuskie wanasema nawatukana sana
 
Akili za kitumwa hizo.

Principle ya kutokuwa mtumwa ni kujituma.

Ulifikiri kujiajiri ni kutokufanya kazi?
 
Mimi nadhani ajira ni utumwa mkubwa, kwanini mtu akupangie kipato?
Unaweza ukajipangia kipato lakini hakitimii sasa ! 😁 Si inategemea na wateja wako, ambao hawaaminiki kama watabaki na wewe au watahamia kwa mwingine!
 
Kuajiriwa hakuna uhuru wa kipato kwa mwezi unalipwa mara1 na kwa mwaka mara12 labda upate bonus au ofa za xmass na mwaka mpya
Unaweza ukawa umejiajiri na kujilipa kila siku, yaani mara 30 kwa mwezi, lakini jumla yake haimfikii anayelipwa mara moja kwa mwezi
 
Tena uombee uzima na nguvu kila siku. Lakini siku ukiugua ukalala kitandani wiki mbili tu, utaiona tofauti
 
Utasikia Job Security
Ukweli ndio huo. Kuna watu wengi sana walifunga biashara hapo katika awamu ya tano, lakini hatujasikia walioacha ajira awamu hiyo. Hiyo inaonyesha kwamba biashara sio kitu kinachotabirika kimapato, upepo mdogo tu unaweza ukakupoteza mjini
 
Inategemea uko wapi huko serikalini. Mimi hapa nipo najaza fomu ya ruhusa, tunaenda kujifungia huko nje ya mji ili tujilipe perdiem ndefu za nje ya mkoa. Kazi ya kufanya siku tano tumejaza wiki mbili. Tunakula kodi za wafanyabiashara waliojiajiri
Hata uajiriwe na nani, ila kujiajiri ni Bora sanaaa.

Wapo walioacha Kazi za mamilioni wakafungua biashara.

#YNWA
 
Tena uombee uzima na nguvu kila siku. Lakini siku ukiugua ukalala kitandani wiki mbili tu, utaiona tofauti
Mambo yanakaa sawa ila ajira ni risk sana kuliko biashara ila biashara hata ikipata anguko Kuna dalili utaziona mapema
 
Tena uombee uzima na nguvu kila siku. Lakini siku ukiugua ukalala kitandani wiki mbili tu, utaiona tofauti
Sasa ndugu yangu mbona watu wanafukuzwa kazi mara nyingi tu tena kuna watu walitolewa kama wafanyakazi hewa, wengine ofisi zinapunguza wafanyakaz etc

hauko serious we jamaa
 
Na ukifanikiwa unaogopa kuibiwa na kuuwawa.
 
Sasa ndugu yangu mbona watu wanafukuzwa kazi mara nyingi tu tena kuna watu walitolewa kama wafanyakazi hewa, wengine ofisi zinapunguza wafanyakaz etc

hauko serious we jamaa
Ndio uone jinsi kuajiriwa kulivyo kuzuri. Hata wasio na vyeti, wanafoji ili mradi tu waajiriwe. unadhani ni kwa nini mtu asiye na cheti hataki kujiajiri?
 
akili za kijinga kabisa ulitaka wote waajiriwe au ilidhani kujiajili hakuna changa moto tambua kazi kubwa kuliko yote duniani nikuzalisha hela na kuishi kwa kutumia fwaida na kukuza mtaji
 
akili za kijinga kabisa ulitaka wote waajiriwe au ilidhani kujiajili hakuna changa moto tambua kazi kubwa kuliko yote duniani nikuzalisha hela na kuishi kwa kutumia fwaida na kukuza mtaji
Ameweka comparison yake, wala hajasema kila mtu aajiriwe. Hebu soma mtiririko wa post za uzi, utaona ni kwa nini ameandika hivyo. By the way, kwani si kweli kwamba mtu anayejiajiri analazimika kuumiza kichwa chake kuhusu biashara yake?
 
Ukweli ndio huo. Kuna watu wengi sana walifunga biashara hapo katika awamu ya tano, lakini hatujasikia walioacha ajira awamu hiyo. Hiyo inaonyesha kwamba biashara sio kitu kinachotabirika kimapato, upepo mdogo tu unaweza ukakupoteza mjini
Maana yake we ni muoga wa maisha, unatumika miaka 30+ unasubiria mafao

Mwingine akikomaa miaka 30 humkuti kwa lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…