Point ni kuwa hao anaoona wana maisha mabovu nao wanaingiza hela sawa na yeye aliyeenda shule miaka mingi. .What's the point here?
Kwamba waajiriwa hawapati hii laki 9?
If yes, kama ukiajiriwa unapata laki 9 na ukiuza unapata laki 9 nini point ya kuuza genge?
Wewe unaongea kitu gani? Nina frem Kariakoo unajua nalipa sh ngap kwa mwaka?Uongoo, kuna mtu analipa kodi kubwa kama mfanyakazi, tena mfanyabiashara ana chance ya kukwepa kodi.
Hv ukitaka ku quote comment ya mtu kutoka kwny uzi mwngne kama hvo unafanyaje?? Natumia browserMuajiriwa anayejisifia anapata 2m per diem akijiandalia tu ziara ya mkoani anakesha kwenye vibanda umiza akibet sh 3500 na 3700
You are not reading between the lines. Do not take it literally. The point is hata waliojiajiri wana wafanyakazi wao. .Aisee, kwa hiyo una mdharau mfanyakazi wako.
Akiondoka akajiajiri nani atakufanyia kazi.
Wakiwa wafanyakazi wengi means shughuli si nyingi pia.
Hapo kwenye maneno report, edit, delete, quote and reply huoni quote?Hv ukitaka ku quote comment ya mtu kutoka kwny uzi mwngne kama hvo unafanyaje?? Natumia browser
I am trying to show the responsibilities wanazochukuw waliojiajiri. Which you guys are looking down on. .Hizi si ndio running cost zenyewe?!
Kwa gharama za nyumbani aliyeajiriwa halipi?
Nimeuliza jins ya ku quote comment kutoka uzi mwngne na kuiingiza humu kwny huu uzi.Hapo kwenye maneno report, edit, delete, quote and reply huoni quote?
Hii salary na huko kusave sio kuishi ni kusurvive. Ina maana matumizi yako kwa mwezi ili usave yasizidi 400k. Labda uwe unaishi peke yako hauna familia. Kama una familia ni mwendo wa kujibana sana. Na maana yake ni kwamba kwa mwaka mzima kipato chako ni milioni 8.4.Acha uongo salary ya 700k Kwa mtu mwenye nidhamu ya pesa anasevu 200k-300k na sio pungufu ya hapo..
Kumbuka Kuna watu wanaishi Kwa salary za 300-400 na wanakomaa.
Nadhan ni hivyo hivyo ukija huku una insert quote.Nimeuliza jins ya ku quote comment kutoka uzi mwngne na sio uzi huu
Najua kwa haraka haraka mtafikiria kunijibu kwamba "Mwajiri hawezi fikia mafanikio ya Mo ai Bakhresa" ....vuta pumzi tulia!! Hao kina Mo watoe akilini mwako maana wapo kundi tofauti kabisa ni wafanyabiashara waliofikia mafanikio ya biashara zao kujiendesha hata wakiwa wamelala.
Mtu mwenye ajira hapa bongo serikalini ana nafuu zaidi maana mwisho wa mwezi mwajiriwa ana uhakika ila aliejiajiri ni juhudi zake, akipoteza mda imekula kwake.
Mwajiriwa hata akifiwa, akiumwa, akioa/kuolewa, anapewa kalikizo.. hapo kila jumamosi na jumapili yupo free, bado ana likizo ya mwezi moja kila mwaka, sherehe za serikali na za dini haendi kazini, Ana muda mwingi wa kuweza kupumzika na familia na kufanya shughuli za kijamii.
Wafanyabiashara wengi nawajua tangu nimepata akili za kuijua dunia mpaka leo hii wao siku ya kupumzika ni christmas tu, wenye nafuu huwa wanapumzika jumapili pekee, siku zingine hizo ni bampa to bampa wanaondoka alfajiri wanarudi usiku, yani hata muda wa kuspend na watoto hawana,
Ukiwa kwenye ajira unaweza kujiajiri pia
Nani mtumwa hapo
Hao wanatumia vipaji vyao ni kma Jay z au diamond mkuu ....usifananishe kipaji na taaluma....unalinganisha mshahara wa daktari bingwa au lectures na salary ya mbwana samattaMessi,ronaldo.
Wapo wengi sana... Messi na Christiano Ronaldo wameajiriwa... Hao ni Masikini?Mimi mkinionesha tajiri aliyeajiriwa basi .....
Hata huku akina Chama na Mayele wana pesa, ila huwezi kuwaita matajiri mbele ya kina Mo, GSM, Bakhressa, Rostam na wengine wengi. Ni kama huyo Messi na Ronaldo huwezi kuwaweka meza moja na kina Elon, Jeff Bezos, Bill Gates na wengine wengiWapo wengi sana... Messi na Christiano Ronaldo wameajiriwa... Hao ni Masikini?
Unakwepa Swali.Hao wanatumia vipaji vyao ni kma Jay z au diamond mkuu ....usifananishe kipaji na taaluma....unalinganisha mshahara wa daktari bingwa au lectures na salary ya mbwana samatta
Unaleta hoja mpya.Hata huku akina Chama na Mayele wana pesa, ila huwezi kuwaita matajiri mbele ya kina Mo, GSM, Bakhressa, Rostam na wengine wengi. Ni kama huyo Messi na Ronaldo huwezi kuwaweka meza moja na kina Elon, Jeff Bezos, Bill Gates na wengine wengi
Kwamba walio na furaha ni waliojiajiri kufundisha twisheni au ?Kati ya watu wasio na furaha ni walioajiriwa,hakuna siku mshahara umetosha, masimango huko kazini, fitina na wafanyakazi wenzako, ajira huisha ghafla hata kama ni mkataba wa miaka mitano kazi ikiisha unapewa mshahara wa mwezi mmoja tuu kama wa notice, baada ya hapo utaishije..?