Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha marupurupu ni uwizi na rushwa tu.. Alafu ukishikishwa za PCCB mnakuwaga wadogo sana na kujitetea mna familia zinawategemea.Mtu anaelipwa 700k halaf hela haikut mwezi ujao labda wenye sekta za ovyo kuna watu wana marupurupu huo mshahara hawaugusi yaan wapo humo serikalin so msikariri
Wanaotaka kula bata kupata muda wa shopping,hangouts,nk nk
msijiajiri ni vyema mkafata ushauri wa mtoa mada mkabet hela zenu
za mitaji la sivyo mkifungua biashara mkiwa na mindset hizo za hao kina dada
biashara ikijitahidi sana itakua ni ile miezi 6 ya kodi ya pango la frem yako uliyolipia.
Hamna utumwa kama utumwa wa kujiajiri na utumwa unazidi kutaradadi na kuota mapembe
jinsi unavyozidi kupata hela na kuongeza biashara ndio unakua mtumwa zaidi ya wana wa misri kwa farao.
Anakupangia ule nini,uvae nini,upumzike lini,uishi wapi kwa kifupi kuajiriwa ni kama ndoa.Mimi nadhani ajira ni utumwa mkubwa, kwanini mtu akupangie kipato?
[emoji3][emoji3][emoji3] mtoa mada hayuko seriousHata ualimu nayo ni bora kuliko kujiajiri?
Hamkuacha kazi sababu mmefungwa na kiinua mgongo. Ila ratiba ya matumizi na chakula nyumbani tunajua mliyoyapitiaUkweli ndio huo. Kuna watu wengi sana walifunga biashara hapo katika awamu ya tano, lakini hatujasikia walioacha ajira awamu hiyo. Hiyo inaonyesha kwamba biashara sio kitu kinachotabirika kimapato, upepo mdogo tu unaweza ukakupoteza mjini
Unatakiwa hiyo ratiba ya chakula uilinganishe na ya mfanyabiashara aliyefunga biashara yakeHamkuacha kazi sababu mmefungwa na kiinua mgongo. Ila ratiba ya matumizi na chakula nyumbani tunajua mliyoyapitia
Kumbe wewe unapenda vya dezo. Sasa si uende uarabuni mkuuMimi sisubirii mafao maana hayo yapo tu. Kwa sasa nakula allowance na perdiem ambazo ni kodi ya waliojiajiri. Huyo unayesema simkuti, sasa si ni mpaka akoma? Mimi hata bila kukomaa najaza tu safari ya mkoani, nikirudi nachukua 2M
Ualimu sio Ajira,yule ni Mwanafunzi aliechangamka...Hata ualimu nayo ni bora kuliko kujiajiri?
Uarabuni wanaenda wafanyabiashara, sisi waajiriwa tunawasubiri watuletee kodi tuzile za dezoKumbe wewe unapenda vya dezo. Sasa si uende uarabuni mkuu
Manji alifunga biashara zake, unafanana nae kwa chochote? Au wewe kwako kujiajiri ni dereva boda na mpika chipsi yaiUnatakiwa hiyo ratiba ya chakula uilinganishe na ya mfanyabiashara aliyefunga biashara yake
More money [emoji383] more problems...uko sahihi.Kuna siku nilikua nachangia 1 ya Thread za Member wa Humu JF
Niliandka kama comment lakini leo ile comment kuna mtu kaifungulia Thread kabisa
its simple and clear hiki ndio kinachopatikana kwa wafanyabiashara[emoji116]
Kumbe unapenda dezo? Kuwa makini mkuu, sasa dezo hizo za kurisk kufa kwenye misafara ya mikoani ili ujilipe per diem si bora uwe unaenda tu pale New Africa Casino utakutana na wanaume wakupe pesa bure kabisa bila kujichosha.Uarabuni wanaenda wafanyabiashara, sisi waajiriwa tunawasubiri watuletee kodi tuzile za dezo
Ndipo huwa unaenda huko halafu unasema biashara inalipa? 🤣.Kumbe unapenda dezo? Kuwa makini mkuu, sasa dezo hizo za kurisk kufa kwenye misafara ya mikoani ili ujilipe per diem si bora uwe unaenda tu pale New Africa Casino utakutana na wanaume wakupe pesa bure kabisa bila kujichosha.
Si mtoto wa kiume unafurahi kabisa eti unapata pesa za dezo. Sasa kuliko unasaga soli kudandia daladala huko Mbagala kwenda Posta we lala jioni nenda pale utapata za dezo ambazo hazitakuletea karaha ya kupakazana jasho huko Mbagala charambeNdipo huwa unaenda huko halafu unasema biashara inalipa? 🤣.
Kumbe biashara yenyewe ndio hiyo? Hapa siachi ajira kabisa, wewe endelea tu kwenda New Afrika !
Mimi nina bamdogo wangu anaishi jijini hapa amejiajiri yeye kila siku anafunga biashara yake saa nne usiku namwonaga anateseka sana na hana sikukuu wala jumapili, akishatoka kanisan anaingia kwenye biashara yake mpaka saa 4 chakula cha usiku anakula saa tano hadi saa sita. Lakini nina bamdogo mwingine yeye ameajiriwa na kwenye hiyo kazi yake kuna mda anakua free anakaa home mpaka itokee kazi anaitwa anaenda na analipwa mwisho wa mwezi hela nzuri. Hapo ushauri tusifate mkumbo wa kutamani kuwa kama Azam na Mo kwasababu Mungu ametuumba watu wachache tuwe matajiri wakubwa na watu wengi tuwe na maisha ya kiwango flan cha kawaida. Embu fikiria kila mtu akiwa kama Mo tajiri namba moja Tanzania tuwe ni watu milion60, HaiwezekaniNajua kwa haraka haraka mtafikiria kunijibu kwamba "Mwajiri hawezi fikia mafanikio ya Mo ai Bakhresa" ....vuta pumzi tulia!! Hao kina Mo watoe akilini mwako maana wapo kundi tofauti kabisa ni wafanyabiashara waliofikia mafanikio ya biashara zao kujiendesha hata wakiwa wamelala.
Mtu mwenye ajira hapa bongo serikalini ana nafuu zaidi maana mwisho wa mwezi mwajiriwa ana uhakika ila aliejiajiri ni juhudi zake, akipoteza mda imekula kwake.
Mwajiriwa hata akifiwa, akiumwa, akioa/kuolewa, anapewa kalikizo.. hapo kila jumamosi na jumapili yupo free, bado ana likizo ya mwezi moja kila mwaka, sherehe za serikali na za dini haendi kazini, Ana muda mwingi wa kuweza kupumzika na familia na kufanya shughuli za kijamii.
Wafanyabiashara wengi nawajua tangu nimepata akili za kuijua dunia mpaka leo hii wao siku ya kupumzika ni christmas tu, wenye nafuu huwa wanapumzika jumapili pekee, siku zingine hizo ni bampa to bampa wanaondoka alfajiri wanarudi usiku, yani hata muda wa kuspend na watoto hawana,
Ukiwa kwenye ajira unaweza kujiajiri pia
Nani mtumwa hapo
Wewe hapo ni tofauti na watu wengi waliojiajiri hapa bongo wengi waliojiajiri ni watumwa wa kulipa kodi ya frem na kodi ya TRA hawawezi kwenda likizo kama hiyo unayoisemea weweKiinua mgomgo chako kwa kazi yako utakacho lipwa. Ndio namiliki Bank.
Tofauti n PESA iliyoko kwenye mzunguko w bzness yangu.
Asante mungu kwa kunifanya niwe entrepreneur.
Jamani raha kuona PESA zako ziko ongezeka kidogo kidogo BANK mpk kua sw n kiinua mgomgo cha mtu.
Pia fresh money ni raha mnoooo. Pia likizo unajipangia uende wapi.
HII NI KWA NIA NJEMA TU
Kila mtu ashinde mechi zake.
Kadi nyekundu na penati zimenipa kilo moja
View attachment 2374182
////////////////////////////////////////////////////////////////////////
////////////////////////////////////////////////////////////////////////
View attachment 2374222