Tuache kufarijiana; Umasikini ni Laana, tuupige Vita

Tuache kufarijiana; Umasikini ni Laana, tuupige Vita

Wewe ni msabato au mpentekoste?
Umeniwahi,hata mi nilitaka nimuulize hivyo.
Hawa nao ni kundi jingine la wajinga ambao humeza vitabu vya biblia kama vilivyo bila hata kuomba ushauri kwa (daktari) wataalamu wa biblia!
Shwaini!
Mimi swali langu ni lilelile,MASIKINI UNAYEMZUNGUMZIA HAPO NI NANI?
(maana kwa mtazamo wako,watu wote duniani ni maskini au wote wana laana)
 
Umeniwahi,hata mi nilitaka nimuulize hivyo.
Hawa nao ni kundi jingine la wajinga ambao humeza vitabu vya biblia kama vilivyo bila hata kuomba ushauri kwa (daktari) wataalamu wa biblia!
Shwaini!
Mimi swali langu ni lilelile,MASIKINI UNAYEMZUNGUMZIA HAPO NI NANI?
(maana kwa mtazamo wako,watu wote duniani ni maskini au wote wana laana)

Kama hukwenda shule hiyo sio kazi yangu Kueleza maana ya Dhana ndogo Kama hiyo.
Muulize mtoto wa Kidato cha tatu masikini ni nani
 
Laana ya Umasikini au mafanikio ya mtu yeyeto asili yake ni yafuatayo.
1.Nguvu ya jina lake.
2.Ardhi au mazingira aliyomo.
3.Nguvu ya imani yake.
4.Talanta au Kipawa chake
5.Watu anaohusiana nao
6.Elimu/maarifa
 
Ametudanganya na kuamua kututisha sana.Na hii ni mbinu ambayo hutumiwa na baadhi ya makanisa au wahubiri ili kumlazimisha mshirika alishike neno pasi utashi binafsi.

Twende kwa mifano kabisa,
Kuna mtu leo anaanzisha kazi/mishe flani anaangukia pua,kesho vile vile mishe zake zinafeli lakini unashangaa kesho kutwa akianzisha mishe nyingine tofauti inamtoa.Kumbuka hiyo mishe/kazi inayomletea mafanikia inatiki bila hata yeye kubadili mienendo yake,labda zaidi anaongeza bidii ktk utafutaji.Sasa twambie hapo anayekuwa ameondoa laana iliyokuwepo mwanzo ni nani??
 
Sawa ni laana, na wapo masikini wanaomcha Mungu vya kutosha Na hata akipata kidogo anapeleka chote kanisani/msikitini na bado anabaki kua masikini

Sasa mtu anapeleka kila kitu kanisani au msikitini bado useme anamcha MUNGU?

Mungu anakanuni zake, kuzifuata hizo kanuni ndio kumcha Mungu. Yaani kumtii yeye.

Mchungaji akikuambia Lete Sadaka au zaka ya kile alichoagiza Mungu ukafanya ni umemcha Mchungaji wala sio Mungu na utakuwa umefanya kosa.
 
Ametudanganya na kuamua kututisha sana.Na hii ni mbinu ambayo hutumiwa na baadhi ya makanisa au wahubiri ili kumlazimisha mshirika alishike neno pasi utashi binafsi.

Twende kwa mifano kabisa,
Kuna mtu leo anaanzisha kazi/mishe flani anaangukia pua,kesho vile vile mishe zake zinafeli lakini unashangaa kesho kutwa akianzisha mishe nyingine tofauti inamtoa.Kumbuka hiyo mishe/kazi inayomletea mafanikia inatiki bila hata yeye kubadili mienendo yake,labda zaidi anaongeza bidii ktk utafutaji.Sasa twambie hapo anayekuwa ameondoa laana iliyokuwepo mwanzo ni nani??

Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa ndio jibu lake.

Maarifa ndio huamua ushindwe au ushinde katika Jambo Fulani.

Mtu aliyebarikiwa kwenye Ufugaji ukimleta kwenye Kilimo anaweza kushindwa Kwa sababu Hana maarifa ya kutosha kuhusu Kilimo.

Kujaribu kitu mara nyingi kuna mfanya mtu ajifunze, apate maarifa, na Ujuzi na uzoefu mwishowe ataweza.

Daudi alimpiga Goliath' Kwa sababu tayari alikuwa na uzoefu na maarifa ya kutumia Kombeo na ashaua Simba na dubu.

Yusuf alitafsiri ndoto ya Farao Kwa sababu tayari anamsingi na uzoefu wa kutafsiri ndoto tangu akiwa mdogo na alipokuwa gerezani.

Jambo lolote ili lifanikiwe linahitaji baadhi ya factors kulifanya lifanyike.
 
Kama hukwenda shule hiyo sio kazi yangu Kueleza maana ya Dhana ndogo Kama hiyo.
Muulize mtoto wa Kidato cha tatu masikini ni nani
Ok,mbona mi namudu milo yote mitatu,hata minne.Nyapu nanunua,myama nachomesha nguo nanunua mpya,simu ninayo vocha bado napata,sadaka natoa watoto wanasoma shule n.k
Ila sina gari,sijajenga ninashamba dogo(yaani similiki vitu vikubwa) hivyo mtaani sihesabiki kwa matajiri,je nahiyo ni laana?
Ndiyo maana nikasema,kwa mtazamo wako hakuna masikini kwani walio wengi hapa Tanzania wanakula,wanalala n.k au basi wote ni masikini kwani wewe unataka wamiliki vitu unavyovitaka wewe!!
 
Mtumishi Leo tunapeleka kucha wapi tukavunje laana ya umasikini
 
Ok,mbona mi namudu milo yote mitatu,hata minne.Nyapu nanunua,myama nachomesha nguo nanunua mpya,simu ninayo vocha bado napata,sadaka natoa watoto wanasoma shule n.k
Ila sina gari,sijajenga ninashamba dogo(yaani similiki vitu vikubwa) hivyo mtaani sihesabiki kwa matajiri,je nahiyo ni laana?
Ndiyo maana nikasema,kwa mtazamo wako hakuna masikini kwani walio wengi hapa Tanzania wanakula,wanalala n.k au basi wote ni masikini kwani wewe unataka wamiliki vitu unavyovitaka wewe!!

😂😂😂

Mimi sijakuita wewe Masikini wala sijamuita yeyote masikini.
Ila naimani Masikini wanajijua na matajiri wanajijua.
Tabaka la Kati wanajijua pia.
Hakuna asiyejijua.

Suleiman anasema hivi;

Mithali 30:8
Uniondolee ubatili na uongo; <br>Usinipe umaskini wala utajiri; <br>Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.

Mithali 30:9
Nisije nikashiba nikakukana, Nikasema, BWANA ni nani? Wala nisiwe maskini sana nikaiba, Na kulitaja bure jina la Mungu wangu.
 
Sawa. Naomba niishie na wewe hapa
Tuendelee tu unakimbia nini sasa wewe si ndio umeanzisha uzi au umetosheka kushabikia kitu usichokifahamu vizuri?

Ukisoma

Hagai 2:8

MUNGU anasema..

"Fedha na Dhahabu ni Mali yangu"

Mimi na wewe ni watoto wa MUNGU (hata km ukikataa)

Mathayo 7:10
Yesu anasema 'ni yupi baba ambae mwanae atamuomba samaki kisha yeye akampa nyoka..'

MUNGU hakukuumba wewe ili uwe masikini.

Ni wewe mwenyewe ndie unaeamua kipi uache na kipi uchukue.

Umeruhusiwa kuchagua kati ya Jema au Baya.
 
Tuendelee tu unakimbia nini sasa wewe si ndio umeanzisha uzi au umetosheka kushabikia kitu usichokifahamu vizuri?

Ukisoma

Hagai 2:8

MUNGU anasema..

"Fedha na Dhahabu ni Mali yangu"

Mimi na wewe ni watoto wa MUNGU (hata km ukikataa)

Mathayo 7:10
Yesu anasema 'ni yupi baba ambae mwanae atamuomba samaki kisha yeye akampa nyoka..'

MUNGU hakukuumba wewe ili uwe masikini.

Ni wewe mwenyewe ndie unaeamua kipi uache na kipi uchukue.

Umeruhusiwa kuchagua kati ya Jema au Baya.

Kwani Nani amesema umeumbwa ili uwe masikini au ili uwe Tajiri.

Mungu ameweka uchaguzi wa Laana na baraka.
Umasikini na Utajiri
Giza na nuru.

Wewe ndio unaamua uchague wapi.
Lakini wapo wanajikuta wamezaliwa katika Laana, wapo wamejikuta wamezaliwa katika baraka.
Wapo waliojikuta wamezaliwa katika nuru na wapo kwenye Giza.

Ni uamuzi wao kuendelea kuishi humo au kuondoka.

Ila umasikini upo upande wa Laana kama kilivyo Kifo
 
Laana ya Umasikini au mafanikio ya mtu yeyeto asili yake ni yafuatayo.
1.Nguvu ya jina lake.
2.Ardhi au mazingira aliyomo.
3.Nguvu ya imani yake.
4.Talanta au Kipawa chake
5.Watu anaohusiana nao
6.Elimu/maarifa
Kwa hio wale wooote wenye wanaitwa jina la Adamu hapa duniani wote wana laana?

Wapo wakina Adamu wengi na wengine wana mafanikio (sio masikini) kuliko unavyofikiri hawajalaaniwa kua masikini km mnavyosema kwa sababu ya majina yao

Acha ku-generalize mambo
 
Kwani Nani amesema umeumbwa ili uwe masikini au ili uwe Tajiri.

Mungu ameweka uchaguzi wa Laana na baraka.
Umasikini na Utajiri
Giza na nuru.

Wewe ndio unaamua uchague wapi.
Lakini wapo wanajikuta wamezaliwa katika Laana, wapo wamejikuta wamezaliwa katika baraka.
Wapo waliojikuta wamezaliwa katika nuru na wapo kwenye Giza.

Ni uamuzi wao kuendelea kuishi humo au kuondoka.

Ila umasikini upo upande wa Laana kama kilivyo Kifo
Basi ushajaa kwenye 18 zangu tufunge mjadara 'case closed'

Ushakubari kumbe UMASIKINI SIO LAANA


Sema tena

Umasikini sio ......
 
Umasikini ni laana we akili mbili kasoro.
Kwako wewe na walimu wako wa kiroho umasikini ni laana

Kwangu upande wangu mimi na mafundisho ya ufafanuzi wa kitabu cha kiroho/vitabu vya kiroho umasikini sio laana

Ingawa umekubariana na Mimi kwamba kua masikini ni wewe mwenyewe kuamua kua masikini ila kua masikini sio laana

Tuishie hapa baki na kile unachokiamini nami nibaki na kile nnachokiamini
 
Back
Top Bottom