think tank01
JF-Expert Member
- Aug 11, 2022
- 270
- 400
Ombi la kura ndugu katika andiko langu SoC 2022 - Bima ya Afya ya JamiiKwako wewe na walimu wako wa kiroho umasikini ni laana
Kwangu upande wangu mimi na mafundisho ya ufafanuzi wa kitabu cha kiroho/vitabu vya kiroho umasikini sio laana
Ingawa umekubariana na Mimi kwamba kua masikini ni wewe mwenyewe kuamua kua masikini ila kua masikini sio laana
Tuishie hapa baki na kile unachokiamini nami nibaki na kile nnachokiamini
Wapi jina limetajwa Nguvu ya jina ni elimu pana sio kama unavyodhaniKwa hio wale wooote wenye wanaitwa jina la Adamu hapa duniani wote wana laana?
Wapo wakina Adamu wengi na wengine wana mafanikio (sio masikini) kuliko unavyofikiri hawajalaaniwa kua masikini km mnavyosema kwa sababu ya majina yao
Acha ku-generalize mambo
Emu pitia hapoLaana ya Umasikini au mafanikio ya mtu yeyeto asili yake ni yafuatayo.
1.Nguvu ya jina lake
Laana moja uvuta laana zingineEmu pitia hapo
Tuchukulie mfano Jina la Adamu kwa kua alilaaniwa na MUNGU basi woote wanaoitwa Adamu wameshalaaniwa
Usichange MwanaDamu na jina la Adamu
Haujajibu swali langu badoLaana moja uvuta laana zingine
Somo pana hili subiria uzi wakeHaujajibu swali langu bado
Bado haujajibu swali weewe jibu swali languSomo pana hili subiria uzi wake
Kulaaniwa kwa Adamu sio kulaaniwa kwa Adamu woteBado haujajibu swali weewe jibu swali langu
Kwa hio mpaka hapo unakubariana na Mimi kwamba umasikini sio laana au bado unapinga?Kulaaniwa kwa Adamu sio kulaaniwa kwa Adamu wote
Huwa nina shangaa sana mtu au nchi ikichukulia umasikini ni sifa, hii ni hatari sana.Unaweza kuwa sahihi au usiwe sahihi kutegemea na hali, mazingira na uwezo wa watu wengine kufikiri!
Kuna umaskini wa mtu mmoja mmoja na umaskini wa taifa. Maskini ni mhitaji ambaye hana uwezo wa kutatua hitaji lake. Tofauti ya maskini na tajiri ni vitu vinavyoonekana kwa macho kama vile nyumba nzuri, magari, fedha nk.
Kuna aina nyingi za umaskini.
Umaskini wa fikra au kukosa maarifa, ni mbaya kuliko aina nyingine zote.
Hata mimi pia naamini umaskini ni laana hasa ninaposoma kumbukumbu la torati sura ya 28:1...
Itakuwa utakaposikia sauti ya Bwana Mungu wako...., Baraka hizi zitaambatana nawe....
Sasa kama sisi ni wasikivu na watendaji wa maagizo ya aliyetuumba, kwanini tuwe maskini???
Umasikini ni laana, kwann uwe masikini wakati fursa tele zimekuzunguka.Kwa hio mpaka hapo unakubariana na Mimi kwamba umasikini sio laana au bado unapinga?
Ndio maana nakwambia kua masikini ni maamuzi na uchaguzi wa mtu binafsi yeye amechagua kua masikini ila sio laanaUmasikini ni laana, kwann uwe masikini wakati fursa tele zimekuzunguka.
Umasikini ni ukosefu wa maarifa au mbinu za kuchukua pesa kwa njia za kihalali toka kwa watu wengine. Huna maarifa thus unakuwa masikini. Ufunguo wa maarifa anao Mungu mwenyewe nani ampe kwa wakati wakeNdio maana nakwambia kua masikini ni maamuzi na uchaguzi wa mtu binafsi yeye amechagua kua masikini ila sio laana
Sijui unanielewa vizuri lakini?
Nikuulize swali jepesi sana kwa mfano mwepesi sanaUmasikini ni ukosefu wa maarifa au mbinu za kuchukua pesa kwa njia za kihalali toka kwa watu wengine. Huna maarifa thus unakuwa masikini. Ufunguo wa maarifa anao Mungu mwenyewe nani ampe kwa wakati wake
Uamuzi wa kuwa masikini au kuwa tajiri ni mtu binafsi ndie uamua.Nikuulize swali jepesi sana kwa mfano mwepesi sana
Kwa mfano
Wewe upo sehemu fulani na kwenye sehemu hio unaambiwa bwana Kalunyq hapa ukichimba chini utaokota mawe na hayo mawe bwana ukienda kuuza na kuyabadirisha kua pesa/fedha unauaga umasiki...
Maamuzi au machaguzi ya kwenda au kutokwenda kuchimba hayo mawe unayafanya wewe km wewe au anayafanya MUNGU?
Ufunguo anao nani hapo?
Umeshapewa tayari uchague uchukue au uache.
Kwa kusema hivyo basi unakubari na mimi kwamba umasikini sio laana bali tu ni maamuzi ya mtu binafsiUamuzi wa kuwa masikini au kuwa tajiri ni mtu binafsi ndie uamua.
Kupewa ufunguo wa maarifa na Mungu ni kitu kingine na uamuzi wa kuufungua mlango ni kitu kingine.