[emoji38][emoji38][emoji38]ombeni analo leo.. ila Bi ubwa ni mswahili jamani sasa ndo nini kuogea vyoo vya kaziniYa leo hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeona Ombeni anavyoingia chooni[emoji23][emoji23][emoji23]
Bi Ubwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Sanaaa[emoji1][emoji1]Wamekutana pipa na mfuniko[emoji1787]
Unaweza kumpasua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]ombeni analo leo.. ila Bi ubwa ni mswahili jamani sasa ndo nini kuogea vyoo vya kazini
[emoji2][emoji2][emoji2] kumbe!.. sijaangalia nitaangalia marudioUnaweza kumpasua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna aliyemuunga mkono leo
[emoji2][emoji2][emoji2]ndiooAhhah anajifunza kusoma
Naona leo Tausi atamwambia Masalu kuhusu ile cheni ya Msichoke aliyoivaa,ambayo alishawahi muona nayo kaka yake miaka ya nyuma
Si ajabu Masalu ataenda kweli huko msituni kufuatilia.
Mnakumbuka kabla haijaanza zahanati, walikuwa wanarusha clip fulani inatisha tisha..
OMG Masalu asije tu kupotea jamani[emoji3064]
Naona leo Tausi atamwambia Masalu kuhusu ile cheni ya Msichoke aliyoivaa,ambayo alishawahi muona nayo kaka yake miaka ya nyuma
Si ajabu Masalu ataenda kweli huko msituni kufuatilia.
Mnakumbuka kabla haijaanza zahanati, walikuwa wanarusha clip fulani inatisha tisha..
OMG Masalu asije tu kupotea jamani[emoji3064]
Ombeni anaongea vizuri [emoji23]Niemcheka Bi ubwa kaenda kufua hospital na kuoga bafu la umma [emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka leo
Halaf omben akatoka ndani,nje amekaa Ghati na mbiti,omben alikuwa anakohoa anaenda zake
Mbiti akasema hivi mzima kweli huyuu ,ghat akajibu huo uzi na autolee wapi kutwa kuongozana na bibi kizee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wana maneno hawa?
Mbiti eee amedhoofika hivi hajui habari ya mauja,ghat anajibu anajua sana kujifanya kichwa ngumu tu
Sasa omben na mauja wanaenda nyumban wamesimama wanaagana kimahaba wakapita mabinti wakawacheka kwa sauti kuwacheka kina omben
Kina omben na mauja nao wakacheka kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaan hawajalii ila omben anafurahisha sana anavyoongea [emoji23][emoji23]
Nimecheka sana leo wakianza umbea sasa hadi raha ghat anagombana na bi ubwa lakin ni team moja tu wanapatanaOmbeni anaongea vizuri [emoji23]
Bi Ubwa ni kichomi sana yule mama
Sema Mauja ana miguu mizuri.
Ile cheni ilikuwa ya kaka yake TausiIna maana atakuwa kaka ake Tausi?
Bi Ubwa na fuko lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka sana leo wakianza umbea sasa hadi raha ghat anagombana na bi ubwa lakin ni team moja tu wanapatana
Kuna wanaambizana hee mbona mwenyekiti haonekani halaf wakacheka
Ya leo mwenyekit anakuja wanakimbia hao [emoji23][emoji23]
ππππππBi Ubwa na fuko lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sema mimi alinichekesha ya juzi slivyofika na lile fuko.
Wanamwambia shkamoo anajibu shkamoo mwenyewe..
Eti umebeba nini?anasema nimebeba nywele zako[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ina maana atakuwa aliuawa huko porib ngoja tusubiri tutajuaIle cheni ilikuwa ya kaka yake Tausi
Si uliona Tausi alivyokuwa anakumbuka matukio,alimuomba kaka yake..
Sasa Tausi akashangaa kuiona kwa Msichoke,
Na mama yake Msichoke akasema Msichoke anakipenda sana,aliokota porini miaka kama mitano nyuma.
Na kaka yake Tausi Toka ameondoka miaka mitano nyuma,hajarudigi kwao..
Ndo maana Tausi ana mawazo.
Sasa mchezo wa leo naona Tausi ataenda kumwambia Masalu .
Probably [emoji3064]Ina maana atakuwa aliuawa huko porib ngoja tusubiri tutajua