Njoo unikague mwayaaa ili uje uwathibitishie waja mie nna kikojoleo kipi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uliyo mtaja hapo hajulikani ni Mme au mke yeye kazi yake Jf ni kusifia Ufilauni basiii huwa nashangaa watu wanao msapoti.
Jmosi lazima niangalie marudio aisee[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilitaka nisemeEhee mwauja na ombeni
Siku moja yule mama mnene alodumbukia shimoni akawakuta kwenye stoo ya dawa nae akamuambia omben hivi huoni saizi zako?tafuta saizi yako
Yule nesi mwenye upara eti tatizo mwauja nataka sitaki nataka sitaki ukitaka takaaaaa
Nilitaka niseme
Mimi pale alinichekesha alivyowapush[emoji1787][emoji1787]
Sasa na lile shepu lake mimi hoi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani yule mama ndo ananifanya niangalie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatia ilikuwa bonge la mchezoMi hatia ilinishinda jamani nikaacha kuangalia mwanzon ilikuwa nzuri
Vipi unaangalia ya kina Barris na feliz
Halafu amekongoroka sana[emoji19]Yaan amepata kabisa ugonjwa wa ngozi hivi huyu na mama salma kikwete nani atakuwa mkubwa?
Ana nundu nundu
Jana anavyomshukuru Tausi baada ya kupewa mkate[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anachekesha sanaa
Walipata wale wengine wote πSiku ile nilijua nitapata ban kama zawadi maana kanajikuta ujinga wake ni sawa kusifia humu.
ndio muache banaaMkwe salia kwenye mada tafadhali.
Tuache nini?ndio muache banaa
MizengaaaTuache nini?
Aaah mizinga haina madhara binadamuπππMizengaaa
Nilipona hata sikuaminiWalipata wale wengine wote π
Nimechelewa kuzima TV
Nimembamba View attachment 2527917
Mkwe salia kwenye mada tafadhali.
Bi ubwa ni noma...Jana anavyomshukuru Tausi baada ya kupewa mkate[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Bi Ubwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Hivi Ombeni anaumwa nini? Leo sikuangalia kipande kile anakumbuka daktari anamweleza khs ugonjwaAnachekesha sanaa
Hapana, vizinga havina madhara.Mkwe, nimelenga chanzo cha mapato ya kemikali za kujichubua