Mkuu mbona haya maoni yako umetoa kama Mmawia?
Yani kwa vile wananchi hawakwaziki basi chadema wanaweza kufanya lolote kwenye huo wimbo?
Wewe ndo unataka kuleta double standard mkuu! Kuhusu mambo ya dini wenye dini zao ndo watakemea kama wakiona ni tatzo kwao, serikali wamekemea kwenye jambo lao na uzuri wametoa onyo tuIla Peter Msechu akibadiri nyimbo ya Dini kuweka maneno ya kumsifia magufuli iyo sawa???
Acheni double standard walichofanya chadema wala si kosa kisheria na hata pia kimaadili
Hii ni double standard. Huyu ni msimamizi wa vyama vya upinzani pekee.Na hawa mbona hawajapewa into?
Double standard
Una ushahidi pasina shaka kuwa watu wametoa rushwa?Huwa kila mara tukidai mambo kadhaa, majibu huwa ni kuwa hayo madai hayagusi wananchi wengi. Rushwa inaathiri wananchi tena kwa uwazi, juzi wagombea karibia wote wa ccm, hasa walioongoza kwa kura wametoa rushwa, je kuna yoyote yuko mahakamani? Au huo wimbo una madhara sana ukiwekwa vikolombwezo vya jukwaani, kuliko viongozi watoa rushwa? Umeona huyo msajili wa vyama vya siasa akikemea hali hiyo?
- Ficha upumbavu wako, Wimbo wa taifa la Tanzania ulianza kutumika mwaka 1961 baada ya uhuru, wasouth afrika walianza kutumia wimbo wao mwaka 1997. Yet unasema tanzania iliiba wimbo.
- Mtunzi wa huu wimbo sio mtanzania na sio Msouth afrika, maneno yalibadilishwa kutoka kiingereza. Someni historia sio mnaongea mambo kwa mihemko na mkumbo.
Sheria ipi inakataza
South ulianza kuimbwa lini? Kabla ya utawala wa kibaguzi au baada?Mwimbo wenyewe umetoka south Africa.
Una ushahidi pasina shaka kuwa watu wametoa rushwa?
Makosa yanajirudia mara mbili ndan ya wiki uwanja wa taifa walikiuka itifaki
Mkutano wao wamenajisi wimbo wa taifa
Watetez wao wanakuambia eti sio msitali ya biblia au msaafu
Huu ni utetezi wa watu wasio jua nembo yao ya taifa ni pamoja na wimbo wa taifa
Siku mkipewa nchi si mtabadili na rangi ya bendera mnaweka yenu ndio iwe ya taifa
Tuwe makini na vitu tunavyo tetea
Mmekosa ubunifu mwambieni Sugu awatungie wimbo. Nyie ni wachokozi mnafanya kitu ambacho mnatambua fika serikali haitakaa kimya. Kiki zenu ni too low...mtashindwa kupata wafuasi wenye akili kwa vitu vidogo vya kijinga kama hivi
Kwani issue ni shughuri rasmi au kubadiri wimbo wa taifa?Mkuu hivi hawa UVCCM waliimba wimbo huo kwenye tukio rasmi la chama chao?
Sasa tunaanza rasmi kuhalalisha makosa kutokana na makosa (Does two wrongs make it a right, nowadays?)
Sina majibu sahihi nimeuliza nijifunze.
Ningekuona wa maana kama ungeleta huo ushaidi.Wewe ndo kasome historia.Huo wimbo tanzania ndio tumeutohoa kutoka south afrika.Kama unabisha nikuketee ushahidi na wewe ulete wakwako.Kwahiyo wewe ndo ufiche upumbavu wako tena ficha mbali kabisa.
Nimeona onyo la Msajili wa vyama akiwaonya CHADEMA kwa kitendo chao cha kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka mengine.
Mwanzo sikuchukulia serious, lakini kitendo cha kuona kuwa kumbe ni kweli CHADEMA wamebadili wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao ya uvyama vyama kwa kweli, hicho siyo kitendo cha busara na uungwana kwa Taifa.
Sote tunaisema CCM kuwa CCM ni Chama dola, kumbe kuna Chama kingine ambacho kinawaza na kuota kuwa chenyewe kiwe ndiyo Taifa Kabisaa!!. Absurd!!
Mistake kama hizi ndizo zinazoweza kuwafanya wananchi wawaone Wapinzani kama watu Fanatic, waleta vurugu, wasioheshimu alama na nembo za Taifa.
Na kwa kweli vitendo kama hivi vikionyeshwa kwa wananchi wengi, wanakuwa pissed off kwa kuwaona Wapinzani kama watu ambao ni immature!
Kuna sababu gani kwa mfano kubadili maneno ya Taifa na kuweka mengine ndani ya wimbo huo?. Kwa nini wasiimbe wimbo wa Taifa kama ulivyo ndani ya vikao vyao, kuna tatizo gani kuuchukua wimbo wa Taifa kama ulivyo?
Katika hili siwezi kuwatetea Chadema hata kidogo, Lazima waonyeshe maturity, wasiwe watu wa ushabikishabiki na bila sababu.
Hebu tazama hapa chini CHADEMA wakidistort wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao.
Mwenyekiti Mbowe Shame on you
Katibu Mkuu wa Chadema Shame on you
Tundu Lissu Shame on you
Mmetukosea wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama kwa kuleta mzaha kwenye wimbo unautuunganisha taifa zima kwa kuleta uvyamavyama(partsanship) kwenye suala hilo
Siku nyingine tumieni busara kwenye kufanya mambo, hakuna haja ya kutafuta unnecessary troubles!
Hebu tazama hapa wanavyoimba:
View attachment 1527225
Je wewe ukibadiri huo wimbo hadharani siyo kosa?Hii video uliyoweka, hawa wanaoimba wana nafasi gani ndani ya CCM, Je kitendo chao kilikuwa endorsed na CCM, au ni rogue elements tu zimeamua kuimba?
Anyway,. makosa mawili hayafanyi kosa lisiwe kosa.
hebu linganisha kosa lifanywe na Baraza kuu zima la Chadema, Mwenyekiti akiwepo, katibu mkuu yupo na mgombea uraisi yupo nao wanashiriki kudistort wimbo wa Taifa.
Yaani Baraza kuu zima la Chadema, mbele ya mwenyekiti, na katibu mkuu wake pamoja na wajumbe wanashiriki kudistort wimbo wa Taifa
Hizi video mbili hazilingani aisee!