mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,588
- 11,668
Nanukuu
Askofu Dkt. Benson Bagonza anasema.
"Hoja ya katiba mpya pamoja na sababu nyingine nyingi, inalenga kupunguza au kuondoa mgongano wa hatari kati ya ukuu wa katiba na ukuu wa Rais. Kwa hali ilivyo, Rais na katiba wako vitani"
CCM wasitudanganye. Wao ndio walioanzisha mchakato wa katiba kwa gharama kubwa wakati watu walijitahidi elimu afya na maji pia. Walipoona wananchi walitaka katiba tofauti na matakwa yao kwanza walivuruga mchakato kwa bunge la katiba CCM tu kisha wakazika.
Kuna WanaCCM Wanapinga Hoja Ya Katiba Mpya Kwa Kisingizio Kwamba Kwenye Ilani Yao Ya 2020 Hawakuahidi Katiba Mpya, Tujiulize Mbona kwenye Ilani Ya 2010 Hawakuahidi Katiba Mpya Lakini Walianza Mchakato 2012? Pili Ilani Yao Ya 2015 Mbona Hawakuahidi Kununua Ndege Lakini Walinunua?
Kenya wamebadili katiba na mpaka sasa wametuzidi mbali sana hata chanjo ya mbwa tunaagiza kwao.
Hatuhitaji KATIBA mpya kwaajili ya kumaliza matatizo yetu Bali tunahitaji kwa nchi kurudi mikononi mwetu wananchi. Hatutaki mambo yale yajirudie tena.
Moja Kati ya ulemavu wa akili uliowazi kabisa ni kudhani kwamba wote wanaodai katiba mpya ni wahuni fulani wa chadema. Huu ni ujinga wa kiwango Cha juu kabisa unaopaswa kupuuzwa kwa nguvu zote na kila aliye na akili timamu.
Pengine CCM wanaogopa katiba mpya, kuhofia kupoteza Dola, Sisi Tuandike katiba mpya nyie Muendelee kutawala hakuna shida kabisa.
Askofu Dkt. Benson Bagonza anasema.
"Hoja ya katiba mpya pamoja na sababu nyingine nyingi, inalenga kupunguza au kuondoa mgongano wa hatari kati ya ukuu wa katiba na ukuu wa Rais. Kwa hali ilivyo, Rais na katiba wako vitani"
CCM wasitudanganye. Wao ndio walioanzisha mchakato wa katiba kwa gharama kubwa wakati watu walijitahidi elimu afya na maji pia. Walipoona wananchi walitaka katiba tofauti na matakwa yao kwanza walivuruga mchakato kwa bunge la katiba CCM tu kisha wakazika.
Kuna WanaCCM Wanapinga Hoja Ya Katiba Mpya Kwa Kisingizio Kwamba Kwenye Ilani Yao Ya 2020 Hawakuahidi Katiba Mpya, Tujiulize Mbona kwenye Ilani Ya 2010 Hawakuahidi Katiba Mpya Lakini Walianza Mchakato 2012? Pili Ilani Yao Ya 2015 Mbona Hawakuahidi Kununua Ndege Lakini Walinunua?
Kenya wamebadili katiba na mpaka sasa wametuzidi mbali sana hata chanjo ya mbwa tunaagiza kwao.
Hatuhitaji KATIBA mpya kwaajili ya kumaliza matatizo yetu Bali tunahitaji kwa nchi kurudi mikononi mwetu wananchi. Hatutaki mambo yale yajirudie tena.
Moja Kati ya ulemavu wa akili uliowazi kabisa ni kudhani kwamba wote wanaodai katiba mpya ni wahuni fulani wa chadema. Huu ni ujinga wa kiwango Cha juu kabisa unaopaswa kupuuzwa kwa nguvu zote na kila aliye na akili timamu.
Pengine CCM wanaogopa katiba mpya, kuhofia kupoteza Dola, Sisi Tuandike katiba mpya nyie Muendelee kutawala hakuna shida kabisa.