Tuache siasa, ajira zipo za kutosha Tanzania kwa wanaojua Kiingereza kwa ufasaha

Tuache siasa, ajira zipo za kutosha Tanzania kwa wanaojua Kiingereza kwa ufasaha

Kama kiingereza ndo ajira basi Kenya kusingekuwa na unemployed...

Na! Unafikiri kuna mzazi asiyependa mwanae asome kisasa!??

Hela ya kula tu shida....
Sijui kwanini wa bongo wanafikiri kwamba wakenya wote wanajua kiingereza?......zaid ya 65% ya wakenya hawawezi kuzungmza kiingereza wengi wanaishi maisha ya kuungaunga walifaili au wakuenda shule ila wanajifanya ni wasomi,
 
Pamoja na hilo la lugha, Ila kiukweli watafuta ajira ni wengi kuliko ajira zenyewe.

Miaka yangu 8 mtaani na degree, nimeona mengi Sana. Lugha sawa hatupo vizuri lakini ukweli ulionyooka ni nafasi za ajira ni chache kuliko wahitaji. Usijidanganye kuwa Kila mwenye English nzuri anapata ajira.

Sasa hivi watu wengi mno wanaajiriwa Kwa simu.

Mtu anaulizwa 'kuna nafasi ya kazi kwenye kampuni, je una muda au upo busy'.
Nilitaka kumwambia hivihivi mtoa mada. Sasa hivi kuna vijana wengi waliosoma shule za English medium tangu primary school na wana degree nzuri tu lakini hawana ajira.

Nafasi za ajira ni chache kuliko wahitimu au walio na sifa
 
Kuna watu kibao wanasoma leo malengo yao wakaajiriwe kwenye idara, vitengo, mashirika na taasisi huko serikalini. Wajue lugha wasijue wao kinacho-matter kwao ni ajira si uwezo wala ufanisi.

Hawataki kisikia cha kujiajiri wala kuajiriwa sekta binafsi!
 
Sijui kwanini wa bongo wanafikiri kwamba wakenya wote wanajua kiingereza?......zaid ya 65% ya wakenya hawawezi kuzungmza kiingereza wengi wanaishi maisha ya kuungaunga walifaili au wakuenda shule ila wanajifanya ni wasomi,
Kiingereza ni kama lugha yoyote. Hata Waingereza wenyewe kinawapa shida. Ni kama sisi na Kiswahili chetu!
 
Members, Msipende kusikiliza maneno ya sisi wanasiasa kuwa lugha ya kiswahili ni bora na elimu ya shule za kata ni bora sana

Hakuna mwana siasa wa zama hizi ambaye mtoto wake anasoma shule ya kata au anasoma masomo ya msingi kwa lugha ya kiswahili

Usahili au Interview za sasa anayejua kujieleza kwa Kiingereza kwa ufasaha zaidi ndiye anayepata ajira kwenye Makampuni na mashirika binafsi

Sekta binafsi zinahitaji watu wanaojua lugha kwa ufasaha ya kiingereza

Nilifika ofisi moja hapa Tanzania, Hakuna mfanyakazi wa kitanzania anayoongea kiswahili, Wote wanatumia kiingereza fasaha kuanzia mlinzi nje mpaka wahudumu ndani

Watoto wa watu wenye uwezo na waliosoma shule za kimataifa za kiingereza ndio Wanao kwenda kuongoza sekta zote nchi hii, Na hao watoto wengi ni wabunge, Mawaziri, Wafanyabiashara wakubwa, Wakurugenzi wa taasisi na Mashirika au wale wafanyakazi wa serikali wenye mishahara mikubwa

Vijana wa sasa wanakosa ajira kwa kushindwa kujieleza kwa Kiingereza fasaha kwenye Usahili wa mahojiano au Oral interview

Vijana tumieni simu zenu kujiimarisha uwezo wa kuongea Kiingereza Fasaha, Degree bila kuongea Kiingereza kwa ufasaha ajira ni ngumu kupata sekta binafsi na hata taasisi baadhi za Serikali

Kiingereza cha kufikiria maneno kama oooh..... you know sir, Infact Sir,.. OK no problem..... The... The.... and.... OK you know... know huwezi kupata ajira kwa sasa

Mtoto wa kihindi Tanzania wa darasa la tano anajieleza vizuri kuliko mwanafunzi wa chuo kikuu

Mtoto wa chekechea Feza na Class three IST anajieleza kwa ufasaha kuliko mwanafunzi wa chuo kikuu

Zamani watu walisoma shule za Serikali na waliongea Kiingereza kwa ufasaha lakini sio kwa walimu wa sasa na shule zilizopo sasa

Shule za Tanzania hasa za serikali na baadhi sekta binafsi walimu wenyewe tu hawajui kiingereza, Je hao wanafunzi watajua Kiingereza?

Jitihada binafsi zinahitajika kwa wahitimu wa sasa kujifunza lugha ya Kiingereza kwa ufasaha

Kila siku ajira zinatangazwa za Kitaifa na kimataifa, Lakini vijana wetu wanaogopa na hata wakiomba hawawezi kufurukuta na watoto wa nchi jirani za Kenya na Uganda

Hata sisi wakinga siku hizi familia zetu zinasoma shule za kisasa na vyuo vya kisasa nje ya nchi

Fuatilieni scholarship vizuri muone watoto wa viongozi wanavyohangaika kuwaombea watoto wao

Fuatilieni mashirika makubwa ya kimataifa mtawakuta watoto wa viongozi wa kisiasa huko WHO, UNICEF, WORLD BANK, UNESCO, UNHCR, CITI BANK na Bank zote za Kimataifa wapo watoto wao wanaoongea Kiingereza kwa ufasaha

Ofisi nyingi na Bank kubwa kubwa Dar Salaam hakuna mfanyakazi wa kitanzania anaongea kiswahili ni Kiingereza tu kilichonyooka labda waamue kukuongelesha kwa kiswahili

Lini ulisikia watu wenye account Citi Bank, Standard chartered Bank hawajui kiingereza, Kuanzia wateja wa Bank hizo mpaka waajiriwa wanaongea wengi lugha vizuri ya Kiingereza. Hizo Bank ndani watanzania walioajiriwa wanaongea Kiingereza kwa ufasaha kama wazungu, Usiyejua Kiingereza hupati kazi sehemu hizo

Endeleeni kusema elimu ni uelewa wakati ulichokielewa huwezi kukielezea kwa ufasaha kwa lugha ya kiingereza
Nikajua unatuwekea hapa hilo deal la ajira zilipo ili niwatonye machalii wapo weng sana lugha inapanda vzr even Spanish and French. Kumbe huna conn, upande wa lugha za kigeni kujieleza na kuongea kwa ufasaha kuna changamoto kiasi flan.

But umesisitiza ajira zipo ni vzr utuwekee link ya hizo ajira mkuu.
 
Ishu hata siyo kujieleza ishu ni una uzoefu wa kukufanya uitwe kwenye huo usaili ili ujieleze?

NMB wanatangaza nafasi za kazi mpaka wana-readvertise, hawa Access Microfinance na hizi zingine kutwa utaona nafasi ila vigezo vya kukufanya uitwe ukajieleze hauna.

Shida yetu graduates wengi ni uzoefu na connection wala siyo kujieleza kwa kiingereza.
 
Watanganyika hawa wasiojua tofauti ya R na L wala matumizi ya herifu H are doomed to fail. Lugha yao tu hawawezi ndo iwe yai! Mtu kahitimu chuo kabisa anaandika ela, akuna, apana nk. Kifupi hatujui Kiswahili wala kimombo.
Dr. Remmy umongea ukweli kabisa
 
Elimu elimu elimu!

Bado Kuna shida kwenye elimu yetu, wasomi wapo wengi lakini bado hatuendani na matakwa ya ulimwengu huu.

Ulimwengu wa Leo unahitaji watu wanaotumia ubongo wao vizuri sambamba na elimu zao kwa kubuni, kuanzisha miradi , kuchimba na kutafuta ukweli kwenye changamoto zinazotukumba kila siku. Siyo Kama ilivyo sasa kuonesha cheti chenye ufaulu mzuri lakini matendo na mapinduzi ni ziro.
 
Interviews karibia zote za sasa zinaangalia namna applicant anavyo weza ongea 'lugha ya malkia' , hivyo kama hujui ng'eng'e utasugua sana na kutembea na bahasha ya kaki adi upaukee
 
Kwa mtu mwenye akili timamu kujua lugha ya kingereza ni jambo mhimu Sana Wala hakuna ubishi ,pia kwa kijana hata kama kamaliza chuo na kukosea ajira akiamua kutulia na kufanya kazi mtaani na akaachana na anasa ndani ya miaka mitano lazima awe na mtaji wa milion 5,hela ipo lakini vijana stalehe wamaweka mbele .
 
Kingereza sio kiivyo unavyokazia sijui kama unaelewa kazi zinavyofanywa bila connection utaendelea kuwa mwalimu wa kujitegemea kama unajua language
 
Watanganyika hawa wasiojua tofauti ya R na L wala matumizi ya herifu H are doomed to fail. Lugha yao tu hawawezi ndo iwe yai! Mtu kahitimu chuo kabisa anaandika ela, akuna, apana nk. Kifupi hatujui Kiswahili wala kimombo.
Wanasiasa wa ccm ndio lengo lao kuvuruga akili za wananchi ili waendelee kuwatala..huku kuwao wakiupiga mwingi na familia zao.

Huwezi kuwa na lugha mbili za kufundishia katika ngazi tofauti za kieliemu..inshu hapa ni kuchagua moja kama ni kiswahili ama kiingereza iwe kuanzia awali hadi chuo kikuu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kama kiingereza ndo ajira basi Kenya kusingekuwa na unemployed...

Na! Unafikiri kuna mzazi asiyependa mwanae asome kisasa!??

Hela ya kula tu shida....

Kasemea Tanzania, kwa hapa ukijua kiingereza fasaha uwezo wa kupata ajira ni mkubwa. Mimi sithubutu mtoto wangu asome shule inayofundisha kwa kiswahili maana ni kumfubaza.

Ukilogwa mtoto wako akasoma shule ya kiswahili ujue umeliwa.
 
Kingereza sio kiivyo unavyokazia sijui kama unaelewa kazi zinavyofanywa bila connection utaendelea kuwa mwalimu wa kujitegemea kama unajua language

Ukijua kiingereza kwa hapa Tanzania una nafasi kubwa ya kupata fursa kuliko kinyume chake. Habari ndio hiyo ndugu.
 
Uliyoyasema n sahihi kabsa,huwa nachukia sana naposikia mwanasiasa anasema eti kiswahil kimekuwa sana na tunampango wa kukiendeleza sjui nn nn,brah brah kibao
 
Members, Msipende kusikiliza maneno ya sisi wanasiasa kuwa lugha ya Kiswahili ni bora na elimu ya shule za kata ni bora sana.

Hakuna mwana siasa wa zama hizi ambaye mtoto wake anasoma shule ya kata au anasoma masomo ya msingi kwa lugha ya Kiswahili.

Usahili au Interview za sasa anayejua kujieleza kwa Kiingereza kwa ufasaha zaidi ndiye anayepata ajira kwenye Makampuni na mashirika binafsi.

Sekta binafsi zinahitaji watu wanaojua lugha kwa ufasaha ya Kiingereza.

Nilifika ofisi moja hapa Tanzania, hakuna mfanyakazi wa kitanzania anayoongea kiswahili, Wote wanatumia kiingereza fasaha kuanzia mlinzi nje mpaka wahudumu ndani.

Watoto wa watu wenye uwezo na waliosoma shule za kimataifa za kiingereza ndio Wanao kwenda kuongoza sekta zote nchi hii, Na hao watoto wengi ni wabunge, Mawaziri, Wafanyabiashara wakubwa, Wakurugenzi wa taasisi na Mashirika au wale wafanyakazi wa serikali wenye mishahara mikubwa.

Vijana wa sasa wanakosa ajira kwa kushindwa kujieleza kwa Kiingereza fasaha kwenye Usahili wa mahojiano au Oral interview.

Vijana tumieni simu zenu kujiimarisha uwezo wa kuongea Kiingereza Fasaha, Degree bila kuongea Kiingereza kwa ufasaha ajira ni ngumu kupata sekta binafsi na hata taasisi baadhi za Serikali.

Kiingereza cha kufikiria maneno kama oooh, you know sir, Infact Sir. OK no problem..... The... The.... and.... OK you know... know huwezi kupata ajira kwa sasa.

Mtoto wa kihindi Tanzania wa darasa la tano anajieleza vizuri kuliko mwanafunzi wa chuo kikuu.

Mtoto wa chekechea Feza na Class three IST anajieleza kwa ufasaha kuliko mwanafunzi wa chuo kikuu.

Zamani watu walisoma shule za Serikali na waliongea Kiingereza kwa ufasaha lakini sio kwa walimu wa sasa na shule zilizopo sasa.

Shule za Tanzania hasa za serikali na baadhi sekta binafsi walimu wenyewe tu hawajui kiingereza, Je hao wanafunzi watajua Kiingereza?

Jitihada binafsi zinahitajika kwa wahitimu wa sasa kujifunza lugha ya Kiingereza kwa ufasaha.

Kila siku ajira zinatangazwa za Kitaifa na kimataifa, Lakini vijana wetu wanaogopa na hata wakiomba hawawezi kufurukuta na watoto wa nchi jirani za Kenya na Uganda.

Hata sisi wakinga siku hizi familia zetu zinasoma shule za kisasa na vyuo vya kisasa nje ya nchi.

Fuatilieni scholarship vizuri muone watoto wa viongozi wanavyohangaika kuwaombea watoto wao.

Fuatilieni mashirika makubwa ya kimataifa mtawakuta watoto wa viongozi wa kisiasa huko WHO, UNICEF, WORLD BANK, UNESCO, UNHCR, CITI BANK na Bank zote za Kimataifa wapo watoto wao wanaoongea Kiingereza kwa ufasaha.

Ofisi nyingi na Bank kubwa kubwa Dar Salaam hakuna mfanyakazi wa kitanzania anaongea kiswahili ni Kiingereza tu kilichonyooka labda waamue kukuongelesha kwa Kiswahili.

Lini ulisikia watu wenye account Citi Bank, Standard chartered Bank hawajui Kiingereza, kuanzia wateja wa Bank hizo mpaka waajiriwa wanaongea wengi lugha vizuri ya Kiingereza. Hizo Bank ndani watanzania walioajiriwa wanaongea Kiingereza kwa ufasaha kama wazungu, usiyejua Kiingereza hupati kazi sehemu hizo.

Endeleeni kusema elimu ni uelewa wakati ulichokielewa huwezi kukielezea kwa ufasaha kwa lugha ya Kiingereza.
Tatizo mnaangalia ajira za ofisini tu ... angalia ajira kwa ujumla sekta tofauti tofauti
 
Back
Top Bottom