Tuache Ufyatu: Ni Kama Bado Tunadeka...

Tuache Ufyatu: Ni Kama Bado Tunadeka...

inafikirisha san, na tukipata katba mpya tunaanza kuijaza viraka pia
 
Kama upinzani unaona si imara anzisha chama tukuunge mkono.Hizo akili zenu za kusema hakuna mbadala wa CCM ndiyo umasikini wenu
Huwa tunapigia kura vyama vya upinzani kwa kuwakomoa tu CCM. Ila wanasiasa ni wale wale, tena hao CCM wanaweza kuwa na afadhali
 
Mchumi Dr Blasius Kahyoza amechambua uhitaji na umuhimu wa katiba mpya kwa kigezo cha uchumi, mambo muhimu katika mtazamo wake ni;

Moja, Hoja ya gharama kubwa kutengeneza katiba mpya ni ukosefu wa uelewa kwa sababu wanaosema hivyo hawatazami faida kubwa za mbeleni za jinsi katiba mpya itakayotoa uhuru mkubwa wa haki za kiuchumi itakavyongeza pato la nchi kama sio kwao kwa watoto wao na vizazi vijavyo. Hivyo hakuna gharama yoyote inayoweza kuwa kigezo cha kuikaata katiba mpya kwa sababu faida zinazidi gharama yoyote.

Mbili, Si rahisi kwa uchumi wa nchi yetu kuwa imara na endelevu bila katiba mpya iliyo imara kwa sababu misingi ya uchumi huwa inategemea sana miondombinu ya kujitawala ambayo huwa inasimikwa na katiba. Anasema ukiacha nchi zenye utajiri mkubwa wa mafuta historia inaonyesha wazi nchi nyingine zote zilizopiga hatua kubwa kimaendeleo kwa haraka zilitanguliwa na mageuzi makubwa ya miondombinu ya tawala zao kupita Katiba.

Tatu, Wanaosema tujenge kwanza uchumi kisha katiba ije baadaye wanasahau taifa hili limeujenga uchumi huo wanaouzungumzia kwa miaka 60 sasa na limefanya kila kitu isipokuwa kubadilisha katiba ili kufikia hayo maendeleo makubwa linalotamani kuyafikia.

Dkt. Kahyoza anauliza Kama tumefanya kila jambo tulillofikiri ni muhimu kupata maendeleo makubwa na bado imeshindikana busara za kawaida si zingesema tufanye jambo lingine ambalo hatujawahi kulijaribu pamoja na kuzungumzwa sana na wengi amabalo ni kufanya mageuzi makubwa ya miondombinu ya utawala wetu kwa kubadilisha katiba yetu?
Nina imani mlio wengi mnataka katiba mpya ili tu kuweza kukidhi mahitaji yenu ya kisiada lakini ukweli hatuhitaji katiba mpya ili twende vizuri kama nchi bali tuwe tunachagua viongozi walio makini. Na viongozi hao kusema ukweli ha wako nje ya CCM.
 
Kama upinzani unaona si imara anzisha chama tukuunge mkono.Hizo akili zenu za kusema hakuna mbadala wa CCM ndiyo umasikini wenu
Mimi siyo mwanasiasa Mkuu, kila mtu na kazi yake, hawa tunaowategemea wameshindwa kazi, CCM watatawala muda mwingi sababu ya ufake wa hawa wapinzani wetu
 
Toka mwanzo nilitamani mama awe mkali, hata ikiwezekana kuliko Magufuli, maana nilijua kuna watu watam-look down. Watu walidhani kwa kuwa ni mwanamke basi hawezi kuwa steong na mwenye misimamo imara, imekula kwao.
Waliokuwa wanaimba 'mama anaupiga mwingi' ndiyo hao hao sasa wanalia kilio cha mbwa, midomo juu kwa sababu walijiaminisha mama ni dhaifu kwa hiyo wakadeka.
Way to go mama, simamia unachokiamini 💪🏿
Jambo kubwa na zuri kuhusu Mama hawajibu, anaacha watendaji wake wafanye kazi, JPM alikuwa anakosea kwenye jambo moja;kuwajibu hawa watu
 
Nashindwa hata kuelewa kama ni kudeka au ni kutaka kudeka... kabla ya Rais Magufuli watu walilalamika sana na kutaka Rais mkali asiyecheka cheka, na mtu ambaye aliwaambia mapema kabisa kuwa yeye akiwa Rais watu "watalimia meno". Watu walishangalia na kutabasamu wakidhani aliwatania wakati hakuwahi kuwa na rekodi ya utani utani hivi. Watu waliomjua Magufuli waliombea aje awe Rais na wengine walidhania labda akiwa Rais atakuwa tofauti; well hakuwa na zaidi akawa mkali kuliko watu walivyomdhania. Wakaanza kulia...

Labda sala zao zilijibiwa Rais Magufuli akafariki akaja "Mama". Mama ambaye wengine walikuwa wanaombea kila kukicha aje kuwa Rais. Akawa Rais na mara vigelegele vya shangwe vikaibuka "mama mama". WEngine wakajikuta wanaimba kama Christian Bella "Nani kama mama". Wengine wakasema "mama tugombeze tu lakini tupe na soda kidogo"! Wengine wakasema baada ya mama kutengua watu fulani "mama umekunywa chai?" Yaani, mama hakuwa na kosa na asingeweza kuwaudhi. Kila kitu ikawa "ametufuta machozi" mara "sura zinatabasamu" mara "fedha imeanza kuingia mitaani" mara "mwendazake kaenda na yake". Wengine tunawaangalia tu...

Nilisema wakati ule "taifa liko salama" na sikuwa na shaka kuwa ajenda inayoendelea kutekelezwa ni ile ile ya Magufuli; watu wakanijia juu; nikawaangalia nikasema watu wanakumbukumbu ndogo. Watu wengine wakawa wanazungumza (na wengine wanaendelea kuzungumza) kana kwamba Rais Samia alishinda uchaguzi akiwa amebeba ajenda ya Upinzani. Mara mambo ya Katiba Mpya yakafutika; mara wakamwona kawageuka. Wengine walidhania sasa kila kitu kiko kama zamani; watu wakalijaribu zari; wakambeep mama na kuwa wamesahau kabisa aliwaambia "ukinizingua na mimi nitakuzingua"!

Sasa hata miezi haijaisha watu wamegeuka kabisa; sasa mama "anahujumiwa" mara "mama siyo Rais" kuna watu nyuma yake. Wanamkumbusha kuwa yeye ni Rais kamili; wakati yeye mwenyewe aliwaambia ni Rais kamili. Kwa maneno mengine hakuna kinachotokea nje yake. Kama Rais Magufuli alibebeshwa kila kinachofanyika nchi nzima ndugu zetu wanataka kumnyima Rais Samia haki hiyo hiyo! Ndani yake kuna dharau fulani hivi na kebeji; kwamba kwa vile ni mwanamke basi hawezi kuwa mkali na kufanya vitu vinavyoonekana vya ukali; wanaona mama mpole mbona kawa mkali!

Unaweza kuona ni kudeka fulani hivi tulikokuwa tunataka.. watu wanataka wadeke; wasifokewefokewe... na mama wala hafoki.. lakini watu hawadeki sana... watu wanataka wasinuniwenuniwe, hawataki wasemwesemwe (wengine wakisemwa wanaweza kuanguka kama yule jamaa yake Jaffo).

Sijui wanataka nini; tuache ufyatu... ulichopewa ndicho ulichonacho...
Duh!
P
 
Mchumi Dr Blasius Kahyoza amechambua uhitaji na umuhimu wa katiba mpya kwa kigezo cha uchumi, mambo muhimu katika mtazamo wake ni;

Moja, Hoja ya gharama kubwa kutengeneza katiba mpya ni ukosefu wa uelewa kwa sababu wanaosema hivyo hawatazami faida kubwa za mbeleni za jinsi katiba mpya itakayotoa uhuru mkubwa wa haki za kiuchumi itakavyongeza pato la nchi kama sio kwao kwa watoto wao na vizazi vijavyo. Hivyo hakuna gharama yoyote inayoweza kuwa kigezo cha kuikaata katiba mpya kwa sababu faida zinazidi gharama yoyote.

Mbili, Si rahisi kwa uchumi wa nchi yetu kuwa imara na endelevu bila katiba mpya iliyo imara kwa sababu misingi ya uchumi huwa inategemea sana miondombinu ya kujitawala ambayo huwa inasimikwa na katiba. Anasema ukiacha nchi zenye utajiri mkubwa wa mafuta historia inaonyesha wazi nchi nyingine zote zilizopiga hatua kubwa kimaendeleo kwa haraka zilitanguliwa na mageuzi makubwa ya miondombinu ya tawala zao kupita Katiba.

Tatu, Wanaosema tujenge kwanza uchumi kisha katiba ije baadaye wanasahau taifa hili limeujenga uchumi huo wanaouzungumzia kwa miaka 60 sasa na limefanya kila kitu isipokuwa kubadilisha katiba ili kufikia hayo maendeleo makubwa linalotamani kuyafikia.

Dkt. Kahyoza anauliza Kama tumefanya kila jambo tulillofikiri ni muhimu kupata maendeleo makubwa na bado imeshindikana busara za kawaida si zingesema tufanye jambo lingine ambalo hatujawahi kulijaribu pamoja na kuzungumzwa sana na wengi amabalo ni kufanya mageuzi makubwa ya miondombinu ya utawala wetu kwa kubadilisha katiba yetu?
Dr. Kyahoza atupe ulinganisho kati ya Tz na Kenya wenye katiba mpya, hali yao ya kujenga uchumi haiko na utafauti na katiba yao ya zamani.

Kama kuna agenda ya katiba basi watu wadai japo ukumbuke kama hakuna watu madhubuti wa kusimamia mambo yaende katiba mpya sio mwarobaini.

Kenya ni mfano mzuri pamoja na katiba mpya bado kiwango cha rushwa na ma-deal kiko juu.

Ili tujenge uchumi jumuishi ilitakiwa kuwe na tax cuts, gov incentives kwa wawekezaji ikiwemo kutoa financial instruments kwa kuweka uhuria na dhamana ya serikali kwenye kupata mitaji ya uwekezaji.

Sio sawa kuwa na taifa linalo-import basic consumables ambazo tuna uwezo kuzalisha ndani.

Tukiwekeza pia kwenye exports ya final products ya cash crops hilo ni moja ya eneo ambalo tutapiga bao sana tu.

Cha ajabu, sioni mikakati toka wa waziri wa fedha kwenye kujenga uchumi jumuishi; yeye ka-focus kwenye minors kama tozo badala ya kwenye majors namna gani wizara yake iwe chachu fedha zije via FDI uzalishaji utengeneze exports, ambapo exports zitaleta forex.
 
Katiba Mpya itafanya nini na kwanini unafikiri CCM ina maslahi ya kuwa na Katiba Mpya? Wameweza kutawala kwa miaka sitini hivi kwanini leo waamue kuja na Katiba Mpya kabisa?
Katiba mpya wanaona ni kama fagio litakalowaondoa.
Lakini ni bora waongoze huo mchakato.
Kizazi cha ccm kinaendelea kupukutika na hii ni hatari. Dunia inabadilika kwa kasi sana.
Kuendekeza mabavu hakutakuwa na nafasi mbele ya safari.
Hata kama hawaoni katiba ni muhimu ni bora kumbembeleza mtoto kwa kumpa pipi upate kumalizia kazi yako...

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Nashindwa hata kuelewa kama ni kudeka au ni kutaka kudeka... kabla ya Rais Magufuli watu walilalamika sana na kutaka Rais mkali asiyecheka cheka, na mtu ambaye aliwaambia mapema kabisa kuwa yeye akiwa Rais watu "watalimia meno". Watu walishangalia na kutabasamu wakidhani aliwatania wakati hakuwahi kuwa na rekodi ya utani utani hivi. Watu waliomjua Magufuli waliombea aje awe Rais na wengine walidhania labda akiwa Rais atakuwa tofauti; well hakuwa na zaidi akawa mkali kuliko watu walivyomdhania. Wakaanza kulia...

Labda sala zao zilijibiwa Rais Magufuli akafariki akaja "Mama". Mama ambaye wengine walikuwa wanaombea kila kukicha aje kuwa Rais. Akawa Rais na mara vigelegele vya shangwe vikaibuka "mama mama". WEngine wakajikuta wanaimba kama Christian Bella "Nani kama mama". Wengine wakasema "mama tugombeze tu lakini tupe na soda kidogo"! Wengine wakasema baada ya mama kutengua watu fulani "mama umekunywa chai?" Yaani, mama hakuwa na kosa na asingeweza kuwaudhi. Kila kitu ikawa "ametufuta machozi" mara "sura zinatabasamu" mara "fedha imeanza kuingia mitaani" mara "mwendazake kaenda na yake". Wengine tunawaangalia tu...

Nilisema wakati ule "taifa liko salama" na sikuwa na shaka kuwa ajenda inayoendelea kutekelezwa ni ile ile ya Magufuli; watu wakanijia juu; nikawaangalia nikasema watu wanakumbukumbu ndogo. Watu wengine wakawa wanazungumza (na wengine wanaendelea kuzungumza) kana kwamba Rais Samia alishinda uchaguzi akiwa amebeba ajenda ya Upinzani. Mara mambo ya Katiba Mpya yakafutika; mara wakamwona kawageuka. Wengine walidhania sasa kila kitu kiko kama zamani; watu wakalijaribu zari; wakambeep mama na kuwa wamesahau kabisa aliwaambia "ukinizingua na mimi nitakuzingua"!

Sasa hata miezi haijaisha watu wamegeuka kabisa; sasa mama "anahujumiwa" mara "mama siyo Rais" kuna watu nyuma yake. Wanamkumbusha kuwa yeye ni Rais kamili; wakati yeye mwenyewe aliwaambia ni Rais kamili. Kwa maneno mengine hakuna kinachotokea nje yake. Kama Rais Magufuli alibebeshwa kila kinachofanyika nchi nzima ndugu zetu wanataka kumnyima Rais Samia haki hiyo hiyo! Ndani yake kuna dharau fulani hivi na kebeji; kwamba kwa vile ni mwanamke basi hawezi kuwa mkali na kufanya vitu vinavyoonekana vya ukali; wanaona mama mpole mbona kawa mkali!

Unaweza kuona ni kudeka fulani hivi tulikokuwa tunataka.. watu wanataka wadeke; wasifokewefokewe... na mama wala hafoki.. lakini watu hawadeki sana... watu wanataka wasinuniwenuniwe, hawataki wasemwesemwe (wengine wakisemwa wanaweza kuanguka kama yule jamaa yake Jaffo).

Sijui wanataka nini; tuache ufyatu... ulichopewa ndicho ulichonacho...
Mkuu kuwa mzalendo lipa tozo serikali itimize wajibu wake
 
Tatizo siyo katiba mpya, tatizo ni upinzani fake tulionao, leo hii Mdee aliyepiganiwa na kuaminiwa kila kona yupo wapi?
Hilo natia shaka. Nguvu dhidi ya upinzani imepindukia ni kama kuuwa mende kwa nyundo. Dhana ya upinzani si kwa vyama tu hata ndani ya watu.
Fikiria ni watu wangapi hawaridhishwi na yanayojiri, ni wapinzani tayari lakini watajitokeza vipi huku mdomo wa mamba uko wazi.
Kwa hiyo walau kupunguza hofu ni vizuri kuwa na utaratibu mzuri wa utawala yaani katiba.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Slaa ni balozi
Sawa tu, waliona jiwe ni kubwa na gumu kuvunja kwa nyundo na fataki hawawezi kuipata. Siku za kuishi si nyingi sana wakaona bora wapokee mkate ni rahisi kumega na ni mtamu.
Yupo rafiki yangu, ni kada ni mfanya biashara, tenda ni nyingi kwa sababu ni kada tu kimbelembele. Eti sio ccm kindakindaki bali kinafikinafiki
Wanaotoka wanatukana kinafiki kumbe shida ni mkate tu.
Kujenga nchi si kazi lelemama si sawa na kula nchi. Wengi watachagua kula nchi. Ni hao walioacha kuchimba dhahabu wakakimbilia kuokota karanga!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Mimi sihitaji cheo chochote mkuu, tatizo linakuja hao wapinzani fake wanaopiganiwa na watu mwisho wa siku wanahamia CCM ili kutetea ubunge wao! Thats stupid, sitokuja kupoteza muda wangu kumsapoti mpinzani yeyote TZ! Huyo Lema anaita wenzake waoga huko Twitter wakati yeye kakimbia nchi!!!! Kwa sasa ni kumpata mtu muadilifu ndani ya CCM atuongoze, na tunaye Samia
Kama kiashiria cha kuchoka kufikiri zaidi na zaidi. Duni itayumba watu wakichoka kufikiri

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Nashindwa hata kuelewa kama ni kudeka au ni kutaka kudeka... kabla ya Rais Magufuli watu walilalamika sana na kutaka Rais mkali asiyecheka cheka, na mtu ambaye aliwaambia mapema kabisa kuwa yeye akiwa Rais watu "watalimia meno". Watu walishangalia na kutabasamu wakidhani aliwatania wakati hakuwahi kuwa na rekodi ya utani utani hivi. Watu waliomjua Magufuli waliombea aje awe Rais na wengine walidhania labda akiwa Rais atakuwa tofauti; well hakuwa na zaidi akawa mkali kuliko watu walivyomdhania. Wakaanza kulia...

Labda sala zao zilijibiwa Rais Magufuli akafariki akaja "Mama". Mama ambaye wengine walikuwa wanaombea kila kukicha aje kuwa Rais. Akawa Rais na mara vigelegele vya shangwe vikaibuka "mama mama". WEngine wakajikuta wanaimba kama Christian Bella "Nani kama mama". Wengine wakasema "mama tugombeze tu lakini tupe na soda kidogo"! Wengine wakasema baada ya mama kutengua watu fulani "mama umekunywa chai?" Yaani, mama hakuwa na kosa na asingeweza kuwaudhi. Kila kitu ikawa "ametufuta machozi" mara "sura zinatabasamu" mara "fedha imeanza kuingia mitaani" mara "mwendazake kaenda na yake". Wengine tunawaangalia tu...

Nilisema wakati ule "taifa liko salama" na sikuwa na shaka kuwa ajenda inayoendelea kutekelezwa ni ile ile ya Magufuli; watu wakanijia juu; nikawaangalia nikasema watu wanakumbukumbu ndogo. Watu wengine wakawa wanazungumza (na wengine wanaendelea kuzungumza) kana kwamba Rais Samia alishinda uchaguzi akiwa amebeba ajenda ya Upinzani. Mara mambo ya Katiba Mpya yakafutika; mara wakamwona kawageuka. Wengine walidhania sasa kila kitu kiko kama zamani; watu wakalijaribu zari; wakambeep mama na kuwa wamesahau kabisa aliwaambia "ukinizingua na mimi nitakuzingua"!

Sasa hata miezi haijaisha watu wamegeuka kabisa; sasa mama "anahujumiwa" mara "mama siyo Rais" kuna watu nyuma yake. Wanamkumbusha kuwa yeye ni Rais kamili; wakati yeye mwenyewe aliwaambia ni Rais kamili. Kwa maneno mengine hakuna kinachotokea nje yake. Kama Rais Magufuli alibebeshwa kila kinachofanyika nchi nzima ndugu zetu wanataka kumnyima Rais Samia haki hiyo hiyo! Ndani yake kuna dharau fulani hivi na kebeji; kwamba kwa vile ni mwanamke basi hawezi kuwa mkali na kufanya vitu vinavyoonekana vya ukali; wanaona mama mpole mbona kawa mkali!

Unaweza kuona ni kudeka fulani hivi tulikokuwa tunataka.. watu wanataka wadeke; wasifokewefokewe... na mama wala hafoki.. lakini watu hawadeki sana... watu wanataka wasinuniwenuniwe, hawataki wasemwesemwe (wengine wakisemwa wanaweza kuanguka kama yule jamaa yake Jaffo).

Sijui wanataka nini; tuache ufyatu... ulichopewa ndicho ulichonacho...
juzi tu ukisema kidogo sukuma gang, mara mataga mara ...

kimya sasa

kurudi kumsema vibaya wanashindwa, so lazima waseme anahujumiwa, ni wasaidizi wake..yeye hawezi eti

mara tozo, mara fuel....mara kodi za nyumba kupitia luku

aliyepigiwa kura na kushinda alikuwa JPM, mama hana kura zake ni zile zile za wasiyempenda

JPM anaishi na ataishi tu, anashinda vita akiwa kalala
 
Kwa kifupi "Mama" anaupiga mwingi!
Nashindwa hata kuelewa kama ni kudeka au ni kutaka kudeka... kabla ya Rais Magufuli watu walilalamika sana na kutaka Rais mkali asiyecheka cheka, na mtu ambaye aliwaambia mapema kabisa kuwa yeye akiwa Rais watu "watalimia meno". Watu walishangalia na kutabasamu wakidhani aliwatania wakati hakuwahi kuwa na rekodi ya utani utani hivi. Watu waliomjua Magufuli waliombea aje awe Rais na wengine walidhania labda akiwa Rais atakuwa tofauti; well hakuwa na zaidi akawa mkali kuliko watu walivyomdhania. Wakaanza kulia...

Labda sala zao zilijibiwa Rais Magufuli akafariki akaja "Mama". Mama ambaye wengine walikuwa wanaombea kila kukicha aje kuwa Rais. Akawa Rais na mara vigelegele vya shangwe vikaibuka "mama mama". WEngine wakajikuta wanaimba kama Christian Bella "Nani kama mama". Wengine wakasema "mama tugombeze tu lakini tupe na soda kidogo"! Wengine wakasema baada ya mama kutengua watu fulani "mama umekunywa chai?" Yaani, mama hakuwa na kosa na asingeweza kuwaudhi. Kila kitu ikawa "ametufuta machozi" mara "sura zinatabasamu" mara "fedha imeanza kuingia mitaani" mara "mwendazake kaenda na yake". Wengine tunawaangalia tu...

Nilisema wakati ule "taifa liko salama" na sikuwa na shaka kuwa ajenda inayoendelea kutekelezwa ni ile ile ya Magufuli; watu wakanijia juu; nikawaangalia nikasema watu wanakumbukumbu ndogo. Watu wengine wakawa wanazungumza (na wengine wanaendelea kuzungumza) kana kwamba Rais Samia alishinda uchaguzi akiwa amebeba ajenda ya Upinzani. Mara mambo ya Katiba Mpya yakafutika; mara wakamwona kawageuka. Wengine walidhania sasa kila kitu kiko kama zamani; watu wakalijaribu zari; wakambeep mama na kuwa wamesahau kabisa aliwaambia "ukinizingua na mimi nitakuzingua"!

Sasa hata miezi haijaisha watu wamegeuka kabisa; sasa mama "anahujumiwa" mara "mama siyo Rais" kuna watu nyuma yake. Wanamkumbusha kuwa yeye ni Rais kamili; wakati yeye mwenyewe aliwaambia ni Rais kamili. Kwa maneno mengine hakuna kinachotokea nje yake. Kama Rais Magufuli alibebeshwa kila kinachofanyika nchi nzima ndugu zetu wanataka kumnyima Rais Samia haki hiyo hiyo! Ndani yake kuna dharau fulani hivi na kebeji; kwamba kwa vile ni mwanamke basi hawezi kuwa mkali na kufanya vitu vinavyoonekana vya ukali; wanaona mama mpole mbona kawa mkali!

Unaweza kuona ni kudeka fulani hivi tulikokuwa tunataka.. watu wanataka wadeke; wasifokewefokewe... na mama wala hafoki.. lakini watu hawadeki sana... watu wanataka wasinuniwenuniwe, hawataki wasemwesemwe (wengine wakisemwa wanaweza kuanguka kama yule jamaa yake Jaffo).

Sijui wanataka nini; tuache ufyatu... ulichopewa ndicho ulichonacho...
 
Nashindwa hata kuelewa kama ni kudeka au ni kutaka kudeka... kabla ya Rais Magufuli watu walilalamika sana na kutaka Rais mkali asiyecheka cheka, na mtu ambaye aliwaambia mapema kabisa kuwa yeye akiwa Rais watu "watalimia meno". Watu walishangalia na kutabasamu wakidhani aliwatania wakati hakuwahi kuwa na rekodi ya utani utani hivi. Watu waliomjua Magufuli waliombea aje awe Rais na wengine walidhania labda akiwa Rais atakuwa tofauti; well hakuwa na zaidi akawa mkali kuliko watu walivyomdhania. Wakaanza kulia...

Labda sala zao zilijibiwa Rais Magufuli akafariki akaja "Mama". Mama ambaye wengine walikuwa wanaombea kila kukicha aje kuwa Rais. Akawa Rais na mara vigelegele vya shangwe vikaibuka "mama mama". WEngine wakajikuta wanaimba kama Christian Bella "Nani kama mama". Wengine wakasema "mama tugombeze tu lakini tupe na soda kidogo"! Wengine wakasema baada ya mama kutengua watu fulani "mama umekunywa chai?" Yaani, mama hakuwa na kosa na asingeweza kuwaudhi. Kila kitu ikawa "ametufuta machozi" mara "sura zinatabasamu" mara "fedha imeanza kuingia mitaani" mara "mwendazake kaenda na yake". Wengine tunawaangalia tu...

Nilisema wakati ule "taifa liko salama" na sikuwa na shaka kuwa ajenda inayoendelea kutekelezwa ni ile ile ya Magufuli; watu wakanijia juu; nikawaangalia nikasema watu wanakumbukumbu ndogo. Watu wengine wakawa wanazungumza (na wengine wanaendelea kuzungumza) kana kwamba Rais Samia alishinda uchaguzi akiwa amebeba ajenda ya Upinzani. Mara mambo ya Katiba Mpya yakafutika; mara wakamwona kawageuka. Wengine walidhania sasa kila kitu kiko kama zamani; watu wakalijaribu zari; wakambeep mama na kuwa wamesahau kabisa aliwaambia "ukinizingua na mimi nitakuzingua"!

Sasa hata miezi haijaisha watu wamegeuka kabisa; sasa mama "anahujumiwa" mara "mama siyo Rais" kuna watu nyuma yake. Wanamkumbusha kuwa yeye ni Rais kamili; wakati yeye mwenyewe aliwaambia ni Rais kamili. Kwa maneno mengine hakuna kinachotokea nje yake. Kama Rais Magufuli alibebeshwa kila kinachofanyika nchi nzima ndugu zetu wanataka kumnyima Rais Samia haki hiyo hiyo! Ndani yake kuna dharau fulani hivi na kebeji; kwamba kwa vile ni mwanamke basi hawezi kuwa mkali na kufanya vitu vinavyoonekana vya ukali; wanaona mama mpole mbona kawa mkali!

Unaweza kuona ni kudeka fulani hivi tulikokuwa tunataka.. watu wanataka wadeke; wasifokewefokewe... na mama wala hafoki.. lakini watu hawadeki sana... watu wanataka wasinuniwenuniwe, hawataki wasemwesemwe (wengine wakisemwa wanaweza kuanguka kama yule jamaa yake Jaffo).

Sijui wanataka nini; tuache ufyatu... ulichopewa ndicho ulichonacho...
Umekumia muda mwingi kujadili hulka za marais. Wote aliekuwepo na alioko wameshindwa kutekeleza ipasavyo katiba iliyopo hivi sasa.
Hili ni tatizo la kuendelea kujadili na kutatua badala ya kujikita kujadili hulka zao.
 
Back
Top Bottom