Tuache Ufyatu: Ni Kama Bado Tunadeka...

Mkuu hakuna watu mambumbumbu kama watz..hawaelewek wanataka nn wanapenda nini yaani yapo yapo tuu!
 
Kwa nini unawaweka hao wote kwenye kapu moja?! Hao waliomshangilia aliposema watalimia meno ndio haohao waliomshangilia huyo mama?!
Na sisi ambao hatukumkubali magufuli na hatumkubali huyo mama tangu mwanzo unatuweka kundi gani?!
 
Sema mimi nataka katiba mpya. Ukisema watu wanaweza wakawa laki moja wakati watanzania ni milioni kadhaa
Hata tukiwa wawili "Tunataka" ni sahihi, "nataka" sio sahihi.
 
Kwanini wanaccm mnatelekezwa halafu mamluki wanapewa vyeo ? mjitathmin sana vinginevyo mtabaki kupiga deki tu
Watu wanaongea hoja ila wewe unaleta vihoja!

Hawa ndio aina ya wapinzani waliopo,
Ndio maana hata yule jamaa yenu mtwita kawaona mambumbumbu
 
Kama kuna watu wanabisha angalieni mwitikio wetu shambulizi la kijana Hamza...tuna matatizo kwelikweli
 
Tozo na miamala unaijua wewe?

Uonevu wa jeshi la polisi dhidi ya wapinzani huuoni?

Bidhaa muhimu kupanda bei unakujua wewe?

Hatutaki tabasamu au hasira ya mtu tunataka atawale kwa mujibu wa sheria nothing more
Hayo yanatokea kwenye utawala upi?

Si mnapumua baada ya kuonewa sana?
 
Mkuu hakuna watu mambumbumbu kama watz..hawaelewek wanataka nn wanapenda nini yaani yapo yapo tuu!
Ndio maana mimi huwa nasema ukipata nafasi piga hela ondoka!

Ni ujinga wa hali ya juu kuwapigania wapumbavu watz.

Naumia sana JPM kajiondokea huku akitukanwa matusi ya kila aina, yote hii sababu ni kujaribu kuizindua misukule ya tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…