Tuache unafiki , angekuwa hapa kwetu Tanzania mngempa hiyo nafasi?

Tuache unafiki , angekuwa hapa kwetu Tanzania mngempa hiyo nafasi?

mcTobby

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
4,072
Reaction score
12,119
Juzi tarehe 21st of February, kash Patel ameidhinishwa kuwa chief of FBI huko marekani. Sasa kama kwaida ya wabongo sisi , kwa mbwembwe tukaanza kusambaziana propaganda, mara oh... ni mtanzania , sijui mama yake ni mtz, mara blah blah kibao. Tangu lini mtanzania mbantu akawa na jina la kash patel🤔🤔🤔 okay tufanye assumption ni mtanzania , je mngempa hiyo nafasi ya kuwa mkurugenzi wa special branch magogoni... yaani mngekubali awe DGIS WA TISS?...
NB: Wabongo tuna ugonjwa wa kujipendekeza sana .😐😐

Eli Cohen BARDIZBAH
 
Anyway walisema pia yule waziri mkuu wa ulingereza mwenye asili ya kihindi alikuwa ana uasili wa Tanzania, sio wa kibantu ila wazazi/babu yake waliishi hapa bongo.

Kwa upande mwingine, marekani ni nchi yenye inclusion ambayo haijali umezaliwa wapi wanachoangalia utaifanyia nini kwa maana umeishi hapo kwa utaratibu unaohitajika kuanzia kibari na kisomo chako.

Kwa upande wa bongo, mbona tuna wabunge waarabu na wahindi (nafikiri) lakini katika nyazifa zenye usiri kama hzo sio rahisi ngozi nyeusi asimuweke mmbantu kwa maana anaona hawataendana na matakwa yake binafsi yanayoweza kufanana na fikra ya ngozi nyeusi mwenzake, so akifikiria kumuweka ngozi nyeupe anaona jau
 
"Kwa upande wa bongo, mbona tuna wabunge waarabu na wahindi (nafikiri) lakini katika nyazifa zenye usiri kama hzo sio rahisi ngozi nyeusi asimuweke mmbantu kwa maana anaona hawataendana na matakwa yake binafsi yanayoweza kufanana na fikra ya ngozi nyeusi mwenzake, so akifikiria kumuweka ngozi nyeupe anaona jau" eli Cohen. Rostam aziz a anakusalimia😊😊
 
Anyway walisema pia yule waziri mkuu wa ulingereza mwenye asili ya kihindi alikuwa ana uasili wa Tanzania, sio wa kibantu ila wazazi/babu yake waliishi hapa bongo.

Kwa upande mwingine, marekani ni nchi yenye inclusion ambayo haijali umezaliwa wapi wanachoangalia utaifanyia nini kwa maana umeishi hapo kwa utaratibu unaohitajika kuanzia kibari na kisomo chako.

Kwa upande wa bongo, mbona tuna wabunge waarabu na wahindi (nafikiri) lakini katika nyazifa zenye usiri kama hzo sio rahisi ngozi nyeusi asimuweke mmbantu kwa maana anaona hawataendana na matakwa yake binafsi yanayoweza kufanana na fikra ya ngozi nyeusi mwenzake, so akifikiria kumuweka ngozi nyeupe anaona jau
Unataka kusema kwenye hizo hakuna kabisa raia wa kigeni?
 
Ukweli utabaki mpaka kesho , huyu ni muhindi , hakuna mzungu mweusi wala mwafrika mweupe.
 
Juzi tarehe 21st of February, kash Patel ameidhinishwa kuwa chief of FBI huko marekani. Sasa kama kwaida ya wabongo sisi , kwa mbwembwe tukaanza kusambaziana propaganda, mara oh... ni mtanzania , sijui mama yake ni mtz, mara blah blah kibao. Tangu lini mtanzania mbantu akawa na jina la kash patel🤔🤔🤔 okay tufanye assumption ni mtanzania , je mngempa hiyo nafasi ya kuwa mkurugenzi wa special branch magogoni... yaani mngekubali awe DGIS WA TISS?...
NB: Wabongo tuna ugonjwa wa kujipendekeza sana .😐😐

Eli Cohen BARDIZBAH
Sisi watanzania wanafiki sana
 
Ukweli utabaki mpaka kesho , huyu ni muhindi , hakuna mzungu mweusi wala mwafrika mweupe.
na chotara atabaki kuwa chotara tu.si sawa kumtenga mtu ikiwa ana vina saba vya utanzania.HUO NI UBAGUZI.japo sio vizuri kujipendekeza kwenye mafanikio ya mtu
 
Juzi tarehe 21st of February, kash Patel ameidhinishwa kuwa chief of FBI huko marekani. Sasa kama kwaida ya wabongo sisi , kwa mbwembwe tukaanza kusambaziana propaganda, mara oh... ni mtanzania , sijui mama yake ni mtz, mara blah blah kibao. Tangu lini mtanzania mbantu akawa na jina la kash patel🤔🤔🤔 okay tufanye assumption ni mtanzania , je mngempa hiyo nafasi ya kuwa mkurugenzi wa special branch magogoni... yaani mngekubali awe DGIS WA TISS?...
NB: Wabongo tuna ugonjwa wa kujipendekeza sana .😐😐

Eli Cohen BARDIZBAH
Sisi wahindi wanatudharau sana. Hatuwezi kukubali. Kuoana tu hawataki. Nenda kwao ukagombee chochote kama unaweza.
 
Sisi wahindi wanatudharau sana. Hatuwezi kukubali. Kuoana tu hawataki. Nenda kwao ukagombee chochote kama unaweza.
Kwa kifupi wahindi , waarabu ni watu fulani hivii wana asili ya ubaguzi
 
na chotara atabaki kuwa chotara tu.si sawa kumtenga mtu ikiwa ana vina saba vya utanzania.HUO NI UBAGUZI.japo sio vizuri kujipendekeza kwenye mafanikio ya mtu
Hakuna chotara , muonekano wake utaamua.
 
Juzi tarehe 21st of February, kash Patel ameidhinishwa kuwa chief of FBI huko marekani. Sasa kama kwaida ya wabongo sisi , kwa mbwembwe tukaanza kusambaziana propaganda, mara oh... ni mtanzania , sijui mama yake ni mtz, mara blah blah kibao. Tangu lini mtanzania mbantu akawa na jina la kash patel🤔🤔🤔 okay tufanye assumption ni mtanzania , je mngempa hiyo nafasi ya kuwa mkurugenzi wa special branch magogoni... yaani mngekubali awe DGIS WA TISS?...
NB: Wabongo tuna ugonjwa wa kujipendekeza sana .😐😐

Eli Cohen BARDIZBAH
Tanzania sio meritocratic nation hivyo asingeweza kupata hata kama angekuwa na vigezo vilivyopitiliza, hili taifa letu limejawa na nepotism,uchawa na siasa za kishenzi kila mahali na ndio maana hakuna sekta yenye ufanisi wa kujivunia.
 
mkianza hivi kuna nafsi mtazidhulumu.watanzania wengi wana watoto na jamii zingine.watoto wao ni watanzanis wenzetu,hata kama wana uraia wa hizo nchi.ila wana damu ya tanzania.
Uraia sio tatizo dunia iko mbali sana ila asili yake itabaki ile ile.
 
Back
Top Bottom