Tuache unafiki , angekuwa hapa kwetu Tanzania mngempa hiyo nafasi?

Tuache unafiki , angekuwa hapa kwetu Tanzania mngempa hiyo nafasi?

Juzi tarehe 21st of February, kash Patel ameidhinishwa kuwa chief of FBI huko marekani. Sasa kama kwaida ya wabongo sisi , kwa mbwembwe tukaanza kusambaziana propaganda, mara oh... ni mtanzania , sijui mama yake ni mtz, mara blah blah kibao. Tangu lini mtanzania mbantu akawa na jina la kash patel🤔🤔🤔 okay tufanye assumption ni mtanzania , je mngempa hiyo nafasi ya kuwa mkurugenzi wa special branch magogoni... yaani mngekubali awe DGIS WA TISS?...
NB: Wabongo tuna ugonjwa wa kujipendekeza sana .😐😐

Eli Cohen BARDIZBAH


Asingeweza kupata nafasi hiyo.

Teuzi za Tz huwa zinaangalia Uchawa na Kujipendekeza kwa Watawala
 
Juzi tarehe 21st of February, kash Patel ameidhinishwa kuwa chief of FBI huko marekani. Sasa kama kwaida ya wabongo sisi , kwa mbwembwe tukaanza kusambaziana propaganda, mara oh... ni mtanzania , sijui mama yake ni mtz, mara blah blah kibao. Tangu lini mtanzania mbantu akawa na jina la kash patel🤔🤔🤔 okay tufanye assumption ni mtanzania , je mngempa hiyo nafasi ya kuwa mkurugenzi wa special branch magogoni... yaani mngekubali awe DGIS WA TISS?...
NB: Wabongo tuna ugonjwa wa kujipendekeza sana .😐😐

Eli Cohen BARDIZBAH
USA hakuna punguani wenye fikra za kijima kama Hawa wanaodai Samia ameuza Bandari zao kisa uwekezaji
 
Back
Top Bottom