Tuache Unafiki: Bashe alichukua hatua sahihi kumaliza tatizo la sukari. Hongera Dr. Tulia kwa kumlinda na kulinda maslahi ya nchi

Halafu hii sukari ukiondoa zile tani 50 unaweza kukuta iliyobaki yote aliagiza Mo kupitia hivyo vikampuni uchwara na Mo akampa Bashe cha juu
 
Vipo vielelezo vingine havihitaji kuthibitishwa na hiyo kamati, maana tayari tulikwisha visikia ktk bunge kupitia kamati ya bunge, mfano ni barua za kuagiza sukari zilinukuliwa bungeni, je hapa napo panahiji subiri wakati tayari kamati ilishaweka ktk kumbukumbu za bunge? Vielelezo vingi vya Mpina tayari vipo ktk kumbukumbu ya bunge hata kabla ya kutolewa kwa ushahidi huo.
Halafu hii sukari ukiondoa zile tani 50 unaweza kukuta iliyobaki yote aliagiza Mo kupitia hivyo vikampuni uchwara na Mo akampa Bashe cha juu
Hivi ndiyo picha halisi,
 
Kama Mpina anaweza pewa info zote zile kwa ajili ya ufisadi wa sukari tu, wakati hiko cha mtoto tu kwenye upigaji unaoendelea kwenye kilimo.

Unadhani raisi mwenyewe anapewa mangapi ya mawaziri wake na hayafanyii kazi.

Badala ya kumlaumu Mpina inatakiwa kuangalia picha kubwa kuna watu wamechoka na uwizi unaondelea serikalini ndio maana wamempa info.

Huyo mama atafukuza kila mtu huko Ikulu anaedhani anatoa siri ya mafaili yake asiyotaka kuyasoma.

Halafu Bashe wizara yake mwaka huu budget yake ni tsh 1.3 trillion, sehemu kubwa gharama ni miradi yake ya hovyo and overstated,

Unadhani hiyo hela ya upigaji anayopelekewa huko atakula peke yake, yeye nani:. Sio rahisi hivyo kutolewa hapo kwa budget ya tsh 1..3 trillion wakati hilo ndio chaka lao la wizi kwa sasa.

Either you are with or without them, wengine tubaki kupiga kelele za chura tu; aziwanyimi usingizi wenye nchi.
 
Hivi Tanzania hii ukiacha hao wazalishaji ni kweli hatuna makampuni sahihi na yenye vigezo halali kisheria ya kupewa tenda hizo?

Je kuna uwazi wa kiushindani japo wa muda kidogo uliifanyika kupata makampuni hayo?

Kama hayo madogo hayakuzingatiwa kwa nini tusiseme kuwa Waziri naye alitumia fursa hiyo kujinufaisha?
 
Watz tuna akili matope kweli ,,sie shida yetu ni sukari ya kutosha na iwe bei nzuri ,
Mambo ya kampuni haina sifa hio ni hoja za kisiasa hazina mantik ,maana ingekua kampuni hazina uwezo bhc zisingeweza kuagiza
Hoja ya sukari kuagizwa nyingi ety sukar ya ndan tutashindwa kuuza ,huo ni ujinga wa kiwango kikubwa sie wananchi ni wateja sio wauzaji ila mlivo mind kama vile mna hisa kwenye viwanda vya ndani
 
Mimi
Ndugu yangu, kwa mlolongo wa kodi na ukiritimba uliowekwa na serikali, hakuna siku itakuja kutokea sukari ya Tanzania (au bidhaa nyingine yoyote inayozalishwa nchini) kuwa na bei nafuu kuliko inayotoka nje! Never!!
Mimi naona kama hivyo viwanda vya ndani vipo kwa ajili ya kumuumiza mwananchi kwa kigezo Cha kulinda soko la ndani ni bora wavifunge kwa maana havina faida kwa wananchi.
Wavifunge tu watafute kazi nyingine ya kufanywa. Mbona viwanda vingine vinafanya kazi vizuri kama viwanda vya IPP , MO na BAKHRESA ?! Kwanini tatizo liwe kwenye viwanda vya sukari tu?! Kwani hivyo viwanda vingine havilipi Kodi na ushuru?!
 
Safi sana ndugu
 
Hapo unaweza kuta kule kijijini kwenu Wazazi wako wana maisha magumu sana na vitu kama Chai ni anasa kubwa sana kwao. Wewe uko mjini na usha undergo evolution na sasa unaushi kwa kulamba miguu wanaume wenzako na kujikomva komba kwao
😂😂😂😂😂
 
Ukiondoa kodi na ushuru mwingine kwenye sukari, kilo moja ya sukari itauzwa chini ya shilingi 1,000. Sasa hapo ndio utajua anaemuumiza mwananchi ni nani.
 
Kwani huyo mpina ni TADEA au UDP?!
 
Sio tu akili timamu, bali nazijui hizo mishe nje ndani, nilishakuwa mdau kwenye uzalishaji wa sukari zaidi ya miaka 10. Niulize chochote kuhusu Kilombero sugar, Mtibwa sugar au Kagera Sugar.
mlinzi mkuu wa geti la kilombero sugar anaitwa nani?
 
Bashe tapeli yule na sasahivi ameanzisha Movement ya kumpaka Mhe. Rais mafuta kwa mgongo wa chupa. Kile kile alichokifanya kumwibia Lowassa pesa zake na 4U Movement Leo hii anawatumia vijana walewale ameanzisha Movement inaitwa TK Movement wamkoshe mama huku yeye akiumiza Wakulima kwa kuwaibia mabilioni.

Ufuta bei alikuwa 4500 lakini ndani ya wiki tatu umeshuka mpaka 3100 na wanunuzi ni ndugu zake wakinunua kwa maelekezo yake yeye huku cha juu akitambaa nacho..
 
Ukiondoa kodi na ushuru mwingine kwenye sukari, kilo moja ya sukari itauzwa chini ya shilingi 1,000. Sasa hapo ndio utajua anaemuumiza mwananchi ni nani.
Na hayo makampuni yanayoagiza sukari nje ya nchi wanaiingiza nchini bila kulipa Kodi na ushuru ?! Kwanini sukari ya nje iuzwe bei rahisi wakati imesafirishwa toka mbali, na bila shaka waagizaji wasukari wanalipa Kodi na ushuru kama ilivyo kwa waagizaji wa bidhaa nyingine kama Vyombo vya moto na spea zake, halafu sukari inayozalishwa hapa hapa TZ iuzwe bei juu kwa kisingizio Cha Kodi na ushuru?!. Kwanini viwanda vya sukari vy TZ visifanye utafiti katika nchi nyingine zinazozalisha sukari kuona wao wamewezaje kuzalisha sukari kwa bei rahisi?!
 
Achana na mambo ya kimarekani hayo ya gen z sijui. Kesho watataka muwe mashoga na mtakubali, kwanini vijana wa ki Afrika mnapenda kuigaiga mambo ya wazungu nyie??
Watu wako mbele kutambua haki zao na kuzipigania, chawa akili yako inawaza kusifia tu na ushoga.
 

Hizi taratibu zinachelewesha maendeleo na haki ya walalahoi sana. Imagine aanze kufuatilia taratibu huku mwananchi anaendelea kuumia kwa miezi kadhaa!!


Sioni shida hata kama angepewa muuza mtumba akaleta hiyo sukari, na lengo la kuuziwa sukari bei ahueni tofauti na za hizo cartels za kipigaji za viwandani!!

As far bei ya sukari itashuka bei wapambana kushindana na products nyingine za huko duniani waache kulia lia tu hapa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…