Tuache unafiki, kumuacha umpendae sio rahisi hivyo

Tuache unafiki, kumuacha umpendae sio rahisi hivyo

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Nimekuwa nikifuatilia mada za watu wenye changamoto katika mahusiano wakihitaji ushauri.

Cha ajabu majibu mengi hayana uhalisia utasikia",piga chini","mrudishe kwao""muolee mke wa pili"etc,hayo majibu ya wadau wengi,ila ukweli kumuacha mke unayempenda sio rahisi hivyo tusidanganyane.

Hao wanaokushauri hivyo nyumba zao zinawaka moto hawaachani wapo tu ,tupeane ushauri wa kujenga na kudumisha mahusiano badala ya kudanganyana.
 
Ndiyo uushinde moyo sasa

Ukiendelea ngangania mtakuja chomana,
Katana mikono,katana dushe

Ova
 
Cha ajabu majibu mengi hayana uhalisia utasikia",piga chini","mrudishe kwao""muolee mke wa pili"etc,hayo majibu ya wadau wengi,ila ukweli kumuacha mke unayempenda sio rahisi hivyo tusidanganyane,
Ni kweli kumuacha mtu unayempenda siyo rahisi na inatesa lakini haimaanishi kama siyo rahisi basi uambiwe tu msamehe au mpende tu (inategemea na kosa).

Nikweli ushauri wa kufariji ni mzuri but you would rather hear an honest opinion over a bunch of unrealistic cheery advice.
 
😂😂😂😂


Nimekuwa nikifuatilia mada za watu wenye changamoto katika mahusiano wakihitaji ushauri.
Cha ajabu majibu mengi hayana uhalisia utasikia",piga chini","mrudishe kwao""muolee mke wa pili"etc,hayo majibu ya wadau wengi,ila ukweli kumuacha mke unayempenda sio rahisi hivyo tusidanganyane, hao wanaokushauri hivyo nyumba zao zinawaka moto hawaachani wapo tu ,tupeane ushauri wa kujenga na kudumisha mahusiano badala ya kudanganyana.
 
Sio rahisi kwako, kuna ugumu yes lakini kuna mda unafika unabidi umuache kwa ajili ya amani ya moyo wako kuliko kuendelea kuteseka kila siku.
 
Aisee mimi nimeshindwa kuacha mmea, inaelekea napenda sana mmea, sio rahisi...mtu unapiga chini tu aende kwao ila mmea aisee acha tu🐒🔥
Hujapenda wewe
 
Nimekuwa nikifuatilia mada za watu wenye changamoto katika mahusiano wakihitaji ushauri.

Cha ajabu majibu mengi hayana uhalisia utasikia",piga chini","mrudishe kwao""muolee mke wa pili"etc,hayo majibu ya wadau wengi,ila ukweli kumuacha mke unayempenda sio rahisi hivyo tusidanganyane.

Hao wanaokushauri hivyo nyumba zao zinawaka moto hawaachani wapo tu ,tupeane ushauri wa kujenga na kudumisha mahusiano badala ya kudanganyana.
Kenge! kabisa! umeshalishwa visivyo liwa!! siku ukipigwa za mgongo utalia na hutakaa umrudie kamwe!! au utampiga mpaka karibia kuua! kaa ivoivo! wenzako tumalizie utamu! usije huku! ....siku ukistuka gahfla anakupiga uhanisi baridi! ndo ke '' hao kijana!

Babu yako bado yuko hai kwani au?
 
Kenge! kabisa! umeshalishwa visivyo liwa!! siku ukipigwa za mgongo utalia na hutakaa umrudie kamwe!! au utampiga mpaka karibia kuua! kaa ivoivo! wenzako tumalizie utamu! usije huku! ....siku ukistuka gahfla anakupiga uhanisi baridi! ndo ke '' hao kijana!

Babu yako bado yuko hai kwani au?
Kenge! kabisa! umeshalishwa visivyo liwa!! siku ukipigwa za mgongo utalia na hutakaa umrudie kamwe!! au utampiga mpaka karibia kuua! kaa ivoivo! wenzako tumalizie utamu! usije huku! ....siku ukistuka gahfla anakupiga uhanisi baridi! ndo ke '' hao kijana!

Babu yako bado yuko hai kwani au?
Babu mfipa wa sumbawanga,bibi mzihua wa handeni wote wako hai
 
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Back
Top Bottom