Tuache unafiki kwenye soka. Yanga wanacheza mpira wa kiwango cha Barcelona, Man city

Tuache unafiki kwenye soka. Yanga wanacheza mpira wa kiwango cha Barcelona, Man city

Takwimu za magoli ya kufunga
FB_IMG_16411810198048011.jpg
 
Kama wewe ni mdau wa soka na sio shabiki wa mipira basi utaniunga mkono kwa hili. Mpira wanaocheza yanga unatisha.

Imagine aneyeingia sub ni Moto kuliko anayetoka (kitaa tunaeema "linatoka jini ......linaingia jini" kwamba hakuna ambaye mdhaifu.

Ikumbukwe ni hii Dodoma jiji aliyocheza na SIMBA

Angalia ball possession kati ya WANANCHI na Dodoma jiji[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji113]
View attachment 2064358
UNDER RATED POST FOR SURE
 
Mi naona Simba ni Watford iliyochangamka .......Man City ni level ya WANANCHI. .....pia hata ukiangalia list ya timu zinazoongoza ligue duniani

Man City ......England

Bayern Munich.......bundesliga

Madrid ......, ..Laliga Santander

YANGA .............Tanzania

Elimu hii aihitaji ata kufika chuo kikuu . . Ili kujua haya mambo
ta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan utopolo mbna wehukwq nyie khaaaah, tutaulizana tyuuu.
 
Majamaa hayatakagi kabisa kuona sura ya huyu jamaa wala kuskia jina lake.

Kwenye derby aliwasumbua mpaka beki zao zikawa man of the match kwa kumtibiti tu mtu mmoja. Onyango na na Baka mda wote wako kwenye D.
Hadi walimsindikiza.....kuonesha kuwa wamefurahi kuona anatolewa
 
Hili swali nimekua nikijiuliza mara nyingi sana, hivi kwanini mashabiki wa yanga ni watupu mnoo ?, kuna uhusiano gani kati ya kuwa shabiki wa yanga na uzuzu ?, na yote akili zao kwa kiasi kikubwa zinafanana, nina mwanang mmoja nachatigi nae WhatsApp ni shabiki kindaki ndaki wa yanga, aisee mpaka kuna wakati huwa najiulizaga "hivi huyu mtu mzima kweli ?" ..

Kuna muda nasomaga thread au comment zao humu nachoka. Anyway daima mbele nyuma kuna mwiko.
 
Hili swali nimekua nikijiuliza mara nyingi sana, hivi kwanini mashabiki wa yanga ni watupu mnoo ?, kuna uhusiano gani kati ya kuwa shabiki wa yanga na uzuzu ?, na yote akili zao kwa kiasi kikubwa zinafanana, nina mwanang mmoja nachatigi nae WhatsApp ni shabiki kindaki ndaki wa yanga, aisee mpaka kuna wakati huwa najiulizaga "hivi huyu mtu mzima kweli ?" ..

Kuna muda nasomaga thread au comment zao humu nachoka. Anyway daima mbele nyuma kuna mwiko.
Hawajielewi wengi wao! Manara aliwahi kusema ukimtoa Jakaya na mzee Sunday Manara basi waliobaki hawako timamu!

Kelele nyingi ndo kwanza ligue bado mechi za mwanzo tu.

Naamini Simba anaenda kubeba ndo for the 5th time.
 
Hili swali nimekua nikijiuliza mara nyingi sana, hivi kwanini mashabiki wa yanga ni watupu mnoo ?, kuna uhusiano gani kati ya kuwa shabiki wa yanga na uzuzu ?, na yote akili zao kwa kiasi kikubwa zinafanana, nina mwanang mmoja nachatigi nae WhatsApp ni shabiki kindaki ndaki wa yanga, aisee mpaka kuna wakati huwa najiulizaga "hivi huyu mtu mzima kweli ?" ..

Kuna muda nasomaga thread au comment zao humu nachoka. Anyway daima mbele nyuma kuna mwiko.
Toa hoja mkuu.....achana na personal attacks....
 
Hawajielewi wengi wao! Manara aliwahi kusema ukimtoa Jakaya na mzee Sunday Manara basi waliobaki hawako timamu!

Kelele nyingi ndo kwanza ligue bado mechi za mwanzo tu.

Naamini Simba anaenda kubeba ndo for the 5th time.
,,,
FB_IMG_16413943243557726.jpg
 
Luc alitoa jibu la swali lako. Wako uneducated,wanazomea zomea tu kama manyani. Hata msukule wa GSM ulisema huko Yanga yamejaa mazezeta tupu wenye akili timamu ni Sunday Manara na Mzee JK tu.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Alikuwa na makasiriko....kwa sababu alitimuliwa
 
Back
Top Bottom