Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Matusi ya zamani yaniniAskari akikamata mtu akishindwa anakimbia?
Kumamayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matusi ya zamani yaniniAskari akikamata mtu akishindwa anakimbia?
Kumamayo
Wewe bila shaka unagongwaTukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Kitengo kumejaa vilaza kibao, huwa wanaokotwa tu kutoka UVCCM.Hakuna tis kilaza namna hiyo.
Semeni ukweli wenu mlitaka kumpeleka wapi Deo? Ila sijajua wewe ni yupi yule dogo white au yule Nyang'au?Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Kaandika uchoko, sasa aitweje?Sasa unamtukana kafanya nini?😀😀😀
Mkuu umevuta nini?Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
watu wengi ni psychopathsInaonekana mnafurahia sana mateso ya wenzenu
mtoa mada ili uepuke kuonekana andazi ungeweka na vifungu vya kisheria na kikatiba vinavyohalalisha ukamataji ule wa mwamba DEOTukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Achana na huyo chawaSasa kama alikuwa anakamatwa na Askari, uchunguzi wa nini? Hivi umeelewa ulicho kiandika kweli?
Wakamataji walikuwa akina nani mkuu?Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Ukitukanwa utasema unaonewa?Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Ukamataji wa kurudi tena baada ya kumwambia waliye shindwa kumuingiza kwenye.gari kumwambia watarudi, na kweli wakarudimtoa mada ili uepuke kuonekana andazi ungeweka na vifungu vya kisheria na kikatiba vinavyohalalisha ukamataji ule wa mwamba DEO
Mleta mada ni mshirika mzuri wa utekaji hapo anakuja na kauli kujifanya siyo utekaji. Mzee kibao wameuuwa umemuuliza swali zuri na awezi kukujibuAlly Kibao alikamatwa au alitekwa? Mtoa mada huna akili
Au dereva wa gari?Wewe ni yupi kati ya wale?
1.Tall mwenye kofia
2. Tall mwenye shati
3. Shortii White ??
Hivyo ndivyo PGO "yenu" inavyowaelekeza?Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Polisi wamesema hawahusiki tushike lipiIwe utekaji iwe kukamatwa kwa clip ile matukio yote yanalidhalilisha jeshi