Tuache upotoshaji; Deo Bonge alikuwa anakamatwa sio kutekwa

Tuache upotoshaji; Deo Bonge alikuwa anakamatwa sio kutekwa

Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Jisikitikie kwa kuwa punguani.
 
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
wewe ni mwendawazimu. Kama una akili hata kidogo, jibu maswali yafuatayo:
1) Polisi wamekataa kuwa hakuna polisi aliyehusika kwenye tukio hilo. Kwa hiyo ni nani ambaye alikuwa anamkamata?

2) Watekaji wote kwenye matukio ya utekaji wamekuwa wanajitambulisha kuwa ni polisi, na polisi wakati wote wamekanusha kuwa siyo wao, kwa hiyo kwa uwendawazimu wako, mtu akisema tu ni polisi, basi ni lazima awe polisi?

3) Unafahamu taratibu za polisi za kumkamata mtuhumiwa? Katika hizo taratibu, ni zipi ambazo hao wakamataji wako walizifuata?

Wewe bila shaka ni miongoni mwa hao mashetani. Mnatafutwa watu msio ba akili kama wewe, mfanye hayo mambo ya laana. Umelaanika wewe mtekaji na muuaji na kizazi chako.
 
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Nonsense
 
Natumaini huyu kiumbe aliyeanzisha huu upupu atakuwa anajuta huko alipo. Na ingekuwa haya maneno makali anayotupiwa yana madhara kimwili, basi sasa hivi ama angekuwa marehemu au angekuwa hoi taabani kwa ugonjwa.
 
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
fala kwa nn wakimbie baada ya kuona jaribio limefeli.. utakua unahusika
 
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.

Mbona hawakuomba msaada wa polisi wa ziada kuhakikisha anakamatwa??
Mbona aliporipoti pale Polisi hakukamatwa kwa kuwa alikuwa anatafutwa??
Acheni kuteka watu!!!!!!
 
Braza zandrano hata mimi ni mwana CCM mwenye kadi halali niliyoilipia miaka mi 5
Ni mtumishi wa umma kwenye serikali hii tukufu ya CCM ila kwa huu uzi wako naomba nikutukane K. lako.

Uzi wa kipuuzi hatari.

Modes futeni huu utumbo TAFADHALI

Uhai wa mtu una thamani kuliko huo uteuzi unaouvizia Mbwa wewe....

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Braza zandrano hata mimi ni mwana CCM mwenye kadi halali niliyoilipia miaka mi 5
Ni mtumishi wa umma kwenye serikali hii tukufu ya CCM ila kwa huu uzi wako naomba nikutukane K. lako.

Uzi wa kipuuzi hatari.

Modes futeni huu utumbo TAFADHALI

Uhai wa mtu una thamani kuliko huo uteuzi unaouvizia Mbwa wewe....

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Braza zandrano hata mimi ni mwana CCM mwenye kadi halali niliyoilipia miaka mi 5
Ni mtumishi wa umma kwenye serikali hii tukufu ya CCM ila kwa huu uzi wako naomba nikutukane K. lako.

Uzi wa kipuuzi hatari.

Modes futeni huu utumbo TAFADHALI

Uhai wa mtu una thamani kuliko huo uteuzi unaouvizia Mbwa wewe....

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Teuzi zenyewe wenzako wanazipata baada ya kutekeleza kwa uaminifu mission za udhalimu kama hizi.
 
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Ungekua unajua ni nani hao Waliyotaka kumkamata ndio ungeweza kusema hivyo. Vyombo vya ukamataji kisheria hadi sasa viko kimya havijui kuhusu tukio hiko. Wenyewe wamesema wanawatafuta wahusika na ukamataji huo.
 
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Hata yule katibu wenu kule Iringa aliyetwangwa risasi aliwaletea askari ukaidi kukamatwa. Vijana wa CCM mna usenge mwingi sana.
 
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Upuuzi kama huu unaoandika ndiyo unatufanya tufurahi mwanaccm akiuwawa
 
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Kwahiyo polisi walimkimbia mhalifu
 
Miafrika ndivyo tulivyo...
Mleta mada ni miongoni mwa hayo mashetani yanayoteka na kuua watu. Majitu mapumbavu kama huyu mleta mada, ndiyo huwa yanapewa kazi hizi za laana. Lilikuja kuoima akili za watu. Lilipogundua kuwa hakuna mwenye akili punguani kama ya kwake, limepotea moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom