John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
May be a Plausible deniabilitykwa nini POLISI wamewakana hao watu! RAUM ni gari ya serikali? hivi hawakuchukua plate number
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
May be a Plausible deniabilitykwa nini POLISI wamewakana hao watu! RAUM ni gari ya serikali? hivi hawakuchukua plate number
Unatiwa na nguruwe poriTukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Kwa hali ya vijana kama hawa mnadhani tutatoboa kweli ?? Au ww ndio mtekaji mwenyewe umekuja kujikosha hapa.?? Mpumbavu wa mwisho wwTukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Kwa hiyo ww mtekaji umekuja hapa k kujitetea?? Hakika mistahili ya Bible kuwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa ilimaanisha Tanzania. Kuna watu wajinga na wapumbavu sana kama mtoa thread huyu. Kama alikuwa, anakamatwa, mbona kituo cha police au jeshi la police halina taarifa.? Stupid na ukome.Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Matundi ya ujingaTukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Umempa stahili yake. Hao askari walushindwa nini kufuata utaratibu wa ukamataji ikiwa ni pamoja kuwa na hati ya kumkama, kujitambulisha na kuwasiliana na mamlaka kama mjumbe, wenye hoteli na kumtajia kosa la kuja kumkamata?You are an imbecile.
Asante kwa taarifa, lakini wenye akili wamesha unganisha dotsTukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Zombie la mama!Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Askari akikamata mtu akishindwa anakimbia?Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Wewe unaongea kama mtekaji au mke wa mtekaji ?Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Muone huruma mleta thread labda Amekalia, kitu chenye ncha, hivyo haandiki akiwa na akili timamuSasa kama alikuwa anakamatwa na Askari, uchunguzi wa nini? Hivi umeelewa ulicho kiandika kweli?
Kama kwenu huwa wanakamata halafu wakamataji wanakimbia na kuacha pingu mkononi kwa mtuhumiwa basi huo ni ukataji wa kikwenu sio wa kisheriaTukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Acha ujinga, mbona walikimbia wakamuacha na pingu mkononi?Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.
Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa! Utekaji hauwezi kufanyika vile.
Waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.
Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.
Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lakini Wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.
Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lakini haikuwa hivyo... hii inaonesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.