Tuache upotoshaji; Deo Bonge alikuwa anakamatwa sio kutekwa

Tuache upotoshaji; Deo Bonge alikuwa anakamatwa sio kutekwa

Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa!!!! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lkn wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lkn haikuwa hivyo... hii inaonyesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.

Upumbavu kama huu ni mzigo kwa Taifa, Tukiwa na watu na viongozi kama nyie kuendelea ni ngumu sana.
 
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa!!!! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lkn wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lkn haikuwa hivyo... hii inaonyesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Umeongea kama uko uchi, police wenyewe wamesema wanafanyia uchunguzi wewe unakuja na conclusion yako!
 
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa!!!! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lkn wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lkn haikuwa hivyo... hii inaonyesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Kwani yule Mzee wa Tanga aliye tekwa kwenye basi walimpiga?
Usihamishe magoli kijana.
 
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa!!!! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lkn wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lkn haikuwa hivyo... hii inaonyesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Polisi wamesema hawawatambui hao wahalifu, we ni nani useme ni polisi?
 
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa!!!! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lkn wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lkn haikuwa hivyo... hii inaonyesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
KUKAMATWA MAANA YAKE NINI? NA KUTEKWA MAANAKE NI NINI? NA JE UNAWEZA KUNAMBIA ALIKUWA ANAKAMATWA NA NANI NA KWA LENGO LIPI? NA JE UKAMATAJI ULIFUATA TARATIBU ZIPI
 
Ukute walioshuhudia tukio na kuendelea na shughuri zao wengine wapo Hapa wanatype.
Keyboard activists
Yawezekana huenda hao Watu nao pia walikuwa miongoni mwao mwa hiyo Abduction Squad iliyohusika na tukio hili.

Kumbuka kwamba, kabla mtu yoyote yule mlengwa anayetakiwa kutekwa hajatiwa mikononi mwa Watekaji, huwa inafanyika kwanza stadi ya kina kabisa juu ya mtu huyo. Mhusika LAZIMA kwanza huwa anafanyiwa SURVEILLANCE ya kina kabisa kabla ya kutekwa kwake na kisha OPERATION PLAN ya kutekwa kwake inaandaliwa na Watekaji na mwisho kabisa Abduction Squad inaundwa ili kukamilisha mission iliyopangwa.
 
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa!!!! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lkn wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lkn haikuwa hivyo... hii inaonyesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Ukamataji upo vile? Au wewe naye ni mtekaji?
 
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa!!!! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lkn wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lkn haikuwa hivyo... hii inaonyesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Punda wa dobi we!!
 
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa!!!! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lkn wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lkn haikuwa hivyo... hii inaonyesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Inaonyesha hata wewe mkuu huna uhakika kama ni wakamataji ya watekaji kwa sentence yako ya kuwa 'inaonyesha kama walikua wanamteka!!
 
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa!!!! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lkn wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lkn haikuwa hivyo... hii inaonyesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
TA-KA-TA-KA
 
Tukio la kukamatwa kwa Deogratius Tarimo lililotokea katika eneo la Kiluvya linaonekana wazi kabisa kuwa alikuwa ana kamatwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni Askari, hakuwa anatekwa.

Mwenye akili hawezi kusema kuwa eti alikuwa anatekwa!!!! Utekaji hauwezi kufanyika vile.

waliomkamata walitumia nguvu ya wastani sana, hawakumjeruhi licha ya Deo kukaidi kwa nguvu zote, huo hakuwa utekaji bali ukamatqji halali.

Tuache uzushi, tuache uchunguzi ufanyike kisha ukweli utabainika.

Deo hakupigwa wala kujeruhiwa popote pale zaidi ya yeye mwenyewe kujirusha lkn wakamataji hawakumpiga ngumi wala teke.

Wangekuwa watekaji wangeweza kumpa kipigo cha kumtoa fahamu kisha kumtupia kwenye gari, lkn haikuwa hivyo... hii inaonyesha kama hao watu walikuwa wanamkamata sio kumteka.
Stupid
 
Back
Top Bottom