Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
mwenzake
Wengine matomaso weka kapicha tafadhari!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwenzake
Mzungu anaogopa corona mwafrika anaogopa chanjo
Picha bila ruhusa za wapigwa picha ni kukiuka maadiliWengine matomaso weka kapicha tafadhari!
Picha bila ruhusa za wapigwa picha ni kukiuka maadili
Gift Nzarendo. Waliokuja na hii hoja wamechanganya Elimu ya Neno la Mungu na yanayo endelea duniani kwa sasa. Jua hilo kwanza. Neno la Mungu linasema kuna majira na nyakati katika kila kusudi la Mungu chini ya nchi.
Hayo yote uliyo ya ongelea haya kutokea maana majira na nyakati zilikuwa bado. Chanjo hii inatupeleka katika zoezi la maandalizi ya kupigwa chapa ya mpinga Kristo. Ziko chanjo zimetumiwa kuleta ugumba, kuthibiti ukuaji wa population. Nasema uongo jamani?
Nitakupa changamoto utafakari. JJ inayolalamikiwa imechanja 2.4% ya Wamarekani na inawezekana ikawa ndio lengo lao kupunguza population yao kwa 2.4%. Na ikitokea ikiwa hivyo sisi Tanzania tutapunguza yetu kwa ngapi kutumia JJ.
Hizi chanjo za kupewa tujiulize kwa nini sio buffet ya chanjo zinazotumika USA tuletewe JJ tu? Tumezoea nguo za misaada utakuta jeans ke/me, gagulo vivyo hivyo. Sasa chanjo imekuja JJ tu. Uko walakini flani hapa.
[/QUOTE
Dhana ya mpinga kristo imekuwepo miaka mingi tangu karne ya Kwanza , na imeanza kufanya kazi muda mrefu,
Lakini watu wameendelea na maisha yao
Na tafiti zimeendelea kufanywa.
Maandiko yanaonyesha itaanza kufanya kazi wazi baada kanisa kunyakuliwa,
Na haitafanyika kwa Siri Kama wengine wanavyotuaminisha
Kuna fikra mbaya tunataka tizijenge kwa watoto na taifa ambazo zitawatenga na dunia kabisa,Njano imeleta taaruki wazazi wameandamana wamejaa shule za msingi kipawa dar es salaam kisa Mzungu kaonekana shuleni.Kuna shule Mzungu anafundisha kaja kutembelewa na rafiki yake Mzungu wanafunzi wamekimbia wazazi wamejaa watoto wetu awachomwi.Afrika bado Sana yaani Mzungu kaja kutembelewa na Mzungu mwenzake wanafunzi nduki.Hili la chanjo muitikio bado serikalini ifanywe Sana elimu ya kutosha maana wanasiasa sio watu.
Kila Siku najiuliza. Hiyo chanjo ka Mwendazake angekuwepo na akawa ameikubali hizo dose 1 million zingeisha baada ya week mbili tu.
Naamini mpaka sasa Mawaziri, Wabunge, MaRC, DC, Wakuu wa vyombo vya usalama, Makatibu Wakuu.... List goes on. Hawa wote wangechanja in one wee time..... Wala Rashid asingetoa neno.
Imagine, mpaka Kabudi na Ndugai hawajulikani kama watachanja au la!! Kweli mambo yamebadilika.
Tatizo, viongozi wetu wenyewe ndiyo hao.... Huoni akina Ndugai tayari wameshaingia mitini... Wakati walikuwa hawakosekanagi kwenye hafla zote Siku za nyuma na hivi karibuni.Njano imeleta taaruki wazazi wameandamana wamejaa shule za msingi kipawa dar es salaam kisa Mzungu kaonekana shuleni.Kuna shule Mzungu anafundisha kaja kutembelewa na rafiki yake Mzungu wanafunzi wamekimbia wazazi wamejaa watoto wetu awachomwi.Afrika bado Sana yaani Mzungu kaja kutembelewa na Mzungu mwenzake wanafunzi nduki.Hili la chanjo muitikio bado serikalini ifanywe Sana elimu ya kutosha maana wanasiasa sio watu.
Wee nae nenda kaishi chato bas 🚮🚮Tamko la kijinga kabisa limekwepa maswali ya msingi
1. Afrika ni nchi ipi iliyofanikiwa baada ya kuchanja?
2. Ni kwa nini tupewe chanjo na wazungu waliokufa sana na corona wakati sisi hatujaarithiriwa kihivyo ?
Wazazi wanalalamika kwann awajapewa taarifa watoto wao awatoruhusu wachanjwe bila taarifa.Tatizo, viongozi wetu wenyewe ndiyo hao.... Huoni akina Ndugai tayari wameshaingia mitini... Wakati walikuwa hawakosekanagi kwenye hafla zote Siku za nyuma na hivi karibuni.
President Joe Biden has called for states to offer $100 (£71) to the newly vaccinated in an effort to address flagging jab rates amid virus surges.Tamko la kijinga kabisa limekwepa maswali ya msingi
1. Afrika ni nchi ipi iliyofanikiwa baada ya kuchanja?
2. Ni kwa nini tupewe chanjo na wazungu waliokufa sana na corona wakati sisi hatujaarithiriwa kihivyo ?