Tuache ushabiki na unazi, benchi la ufundi Simba lijitathmini kabla mambo hayajaribika

Tuache ushabiki na unazi, benchi la ufundi Simba lijitathmini kabla mambo hayajaribika

Leo tumeshinda kwa mikwaju ya penati lakini ukweli lazima usemwe, timu yetu haichezi mpira unaovutia, ni ukweli usiopingika kuwa kikosi chetu kina watu wa kazi hasa ambao wana uwezo wa kuleta mataji ya kila aina lakini mfumo anaoutumia Robertinho unaikosesha Simba mabao.

Hivi kweli Simba hii ni ya kucheza mechi 2 bila kufunga goli? Robertinho aaambiwe kama wachezaji hawana uwezo apendekeze, kwanini Kanoute apungue makali wakati tuna Abdallah Hamis?

Timu haichezi mchezo mzuri kabisa, mpira tumeelemewa na Yanga mwanzo mwisho Leo.
Je hizo timu zilizosajili vizuri na zina makocha wazuri, kwa nini haIjachukua ngao ya hisani?

Watu wanabisha hata ubingwa wa Argentina kwa World Cup ya 2022, wanasema France ndiyo ilistahili, lakini bingwa ni Argentina. Tuyapuuze haya hayana tija.
 
Je hizo timu zilizosajili vizuri na zina makocha wazuri, kwa nini haIjachukua ngao ya hisani?

Watu wanabisha hata ubingwa wa Argentina kwa World Cup ya 2022, wanasema France ndiyo ilistahili, lakini bingwa ni Argentina. Tuyapuuze haya hayana tija.
Kwaiyo una amini Alivyo cheza Simba ni kama Argentina? [emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Huwa nachukia sana Mishabiki Mipumbavu kama Wewe na wale Waliokuamini kwa hii Hoja yako ya Kipumbavu.

Yaani hujui kuwa Shindano la Timu Nne ina maana kuwa hiyo ni hatua ya Nusu Fainali?

Hivi katika hatua ya Nusu Fainali muhimu ni Timu Kufunga Goli ndani ya dakika 90 au ni Kushinda kwa namna yoyote ile na Kuingia Fainali ili ibebe Ubingwa?

Kama Hoja yako ni Kuidhihaki Simba SC kwa kuwa Bingwa kwa Mikwaju ya Penati basi idhihaki pia na Argentina ya akina Messi kuwa Bingwa wa Kombe la Dunia kwa Kuwafunga akina Mbappe na Ufaransa yake.

Ushindi wa Penati ni wa Kikanuni FIFA hivyo Kuudhihaki na Kuwadhihaki pia Wanamichezo wote ndani na nje ya Tanzania.

Namalizia kwa Kukuuliza Swali je, Simba SC leo ingefunga Goli ndani ya dakika 90 kama utakavyo kisha Yanga SC nao Wakafunga na kutulazimu kwenda katika Mikwaju ya Penati na Simba SC Kufungwa na Kuukosa huu Ubingwa ungefurahi na ungeridhika?

Kipaumbele Kikuu cha Simba SC kilikuwa ni Kumfunga Singida Big Stars FC kwa Ushindi wowote uwe wa Michezoni dakika 90 au wa Penati na kuingia katika Mikwaju ya Penati kisha tufike Fainali na tubebe Ubingwa wa Ngao ya Jamii na tubebe Ubingwa kama ambavyo tumebeba leo kwa Kuwafunga Yanga SC.
maneno mengi ila UGORO mtupu

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Yaani ukweli ni lazima useme. Ingekuwa ni ligi imeanza Yanga ingekuwa na point 4 simba Point 2. Kama uongo Nimekaa pale
"Inge" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tayari ishaishaa hiyoooo
 
Ishi katika uhalisia. Inawezekana Bocco hana Kasi kama vijana lakini Majukumu anayopewa huwa anayatimiza kiukamilifu.

Kesho nitaandika umuhimu Wa Bocco Kwa Simba hii.
 
Wewe hamia kwenye michezo ya dhumna au bao la kete. Football waachie wanaoijua.
Kwenye Derby ya Kariakoo kuna mengi kuliko unayoyaona uwanjani
Mpira ni Sayansi na uwekezaji ndiomaana wenye akili wamegundua tatizo licha ya kupata matokeo.

Yanga imefungwa lakini Yanga walikua bora uwanjani.
Kuna siku katika soka timu bora hupoteza.
Yanga wanacheza ki timu ila leo matokeo yamegoma na ndivyo soka lilivyo.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
kocha ana tatizo kubwa la upangaji Timu ukiangalia mechi ya Leo yanga walikuwa wanajituma zaidi wakati wachezaji wengi wa Simba walikuwa wakisubiri mpira ufike mguuni.
Mpira wa Leo ulikuwa wa Kasi lakini aling'ang'ania kukaa na wachezaji wasio na Kasi kama Saidoo na Boko ambao pia umri umeenda.
Mimi ni shabiki wa yanga ila kiukweli hata aje kocha gani hawezi kumuweka benchi saido tusijidanganye humu
 
Huwa nachukia sana Mishabiki Mipumbavu kama Wewe na wale Waliokuamini kwa hii Hoja yako ya Kipumbavu.

Yaani hujui kuwa Shindano la Timu Nne ina maana kuwa hiyo ni hatua ya Nusu Fainali?

Hivi katika hatua ya Nusu Fainali muhimu ni Timu Kufunga Goli ndani ya dakika 90 au ni Kushinda kwa namna yoyote ile na Kuingia Fainali ili ibebe Ubingwa?

Kama Hoja yako ni Kuidhihaki Simba SC kwa kuwa Bingwa kwa Mikwaju ya Penati basi idhihaki pia na Argentina ya akina Messi kuwa Bingwa wa Kombe la Dunia kwa Kuwafunga akina Mbappe na Ufaransa yake.

Ushindi wa Penati ni wa Kikanuni FIFA hivyo Kuudhihaki na Kuwadhihaki pia Wanamichezo wote ndani na nje ya Tanzania.

Namalizia kwa Kukuuliza Swali je, Simba SC leo ingefunga Goli ndani ya dakika 90 kama utakavyo kisha Yanga SC nao Wakafunga na kutulazimu kwenda katika Mikwaju ya Penati na Simba SC Kufungwa na Kuukosa huu Ubingwa ungefurahi na ungeridhika?

Kipaumbele Kikuu cha Simba SC kilikuwa ni Kumfunga Singida Big Stars FC kwa Ushindi wowote uwe wa Michezoni dakika 90 au wa Penati na kuingia katika Mikwaju ya Penati kisha tufike Fainali na tubebe Ubingwa wa Ngao ya Jamii na tubebe Ubingwa kama ambavyo tumebeba leo kwa Kuwafunga Yanga SC.
Upo sawa kichwani humo?
 
Leo tumeshinda kwa mikwaju ya penati lakini ukweli lazima usemwe, timu yetu haichezi mpira unaovutia, ni ukweli usiopingika kuwa kikosi chetu kina watu wa kazi hasa ambao wana uwezo wa kuleta mataji ya kila aina lakini mfumo anaoutumia Robertinho unaikosesha Simba mabao.

Hivi kweli Simba hii ni ya kucheza mechi 2 bila kufunga goli? Robertinho aaambiwe kama wachezaji hawana uwezo apendekeze, kwanini Kanoute apungue makali wakati tuna Abdallah Hamis?

Timu haichezi mchezo mzuri kabisa, mpira tumeelemewa na Yanga mwanzo mwisho Leo.
Yanga waliocheza vizuri na kutuelemea walishinda bao ngapi? Ngao ya jamii?
 
Ndio kwanza machi 2 na ligi bado haijaanza. Tuwape muda.
 
Upo emotional sana.........high emotions tends to remove intelligence........Mi naona mtoa mada kazungumz vizuri.....Yeye anakubali wazi Simba Ni bingwa na Wala hajabeza....Ila anaona uchezaji wa timu haupo sawa hasa upande wa utengenezaji na ufungaji wa magoli... Sasa wewe ungekuja na hoja ya kumuonesha namna gani Simba icheze vizuri na kutengeneza open play goals.....hapo tu Wala usiwe na mihemko
Nami nakuuliza wewe ,msimu uliopita Simba ilipoongoza kwa kutengeneza nafasi na kufunga magoli mengi (rekodi kwa ligi yetu na hata Africa kwa miaka ya karibuni) mbona haikuchukua ubingwa wowote ikiwa utengenezaji nafasi na ufungaji wa magoli ni vitu muhimu sana kwa timu kufanikiwa kutwaa mataji?


By the way ishu ya kutengeneza nafasi tuseme Yanga wapo vizuri mbona hawakuscore magoli? Unaisifia timu kutengeneza nafasi isizozitumia huoni kwamba haina tofauti na ile ambayo haijatengeneza nafasi linapokuja suala la matokeo mwisho wa mechi?

Tuseme waliofunga magoli ndiyo walicheza vizuri mashindano haya Yanga alimfunga Azamu 2-0 means Azam ni mbovu ila Simba ikashindwa kumfunga Singida afu Azam aliyeshindwa kutengeneza nafasi mechi ya Yanga wala kufunga anamfunga Singida 2-0
Je,tuseme Azam ni timu bora sawa na Yanga ila Simba ni mbovu?

Binafsi naamini ishu ya kuteneneza nafasi ni ishu ndogo tu inayorekebishika mazoezini muhimu strategy ya kushinda in our situatian we have tumeikamilisha .Timu zote zilikuwa Tanga kusaka taji na kalichukua Simba
 
Nami nakuuliza wewe ,msimu uliopita Simba ilipoongoza kwa kutengeneza nafasi na kufunga magoli mengi (rekodi kwa ligi yetu na hata Africa kwa miaka ya karibuni) mbona haikuchukua ubingwa wowote ikiwa utengenezaji nafasi na ufungaji wa magoli ni vitu muhimu sana kwa timu kufanikiwa kutwaa mataji?


By the way ishu ya kutengeneza nafasi tuseme Yanga wapo vizuri mbona hawakuscore magoli? Unaisifia timu kutengeneza nafasi isizozitumia huoni kwamba haina tofauti na ile ambayo haijatengeneza nafasi linapokuja suala la matokeo mwisho wa mechi?

Tuseme waliofunga magoli ndiyo walicheza vizuri mashindano haya Yanga alimfunga Azamu 2-0 means Azam ni mbovu ila Simba ikashindwa kumfunga Singida afu Azam aliyeshindwa kutengeneza nafasi mechi ya Yanga wala kufunga anamfunga Singida 2-0
Je,tuseme Azam ni timu bora sawa na Yanga ila Simba ni mbovu?

Binafsi naamini ishu ya kuteneneza nafasi ni ishu ndogo tu inayorekebishika mazoezini muhimu strategy ya kushinda in our situatian we have tumeikamilisha .Timu zote zilikuwa Tanga kusaka taji na kalichukua Simba
Kinacho watisha wenzako ni kwakua timu hakuna dk ata moja iliyo onekana inaweza kupata goli na wachezaji karibu wote walicheza.
Timu ilizidiwa idara zote.
Usifikiri hawana hoja au hawajui mpira ila kila kitu kilikua hadharani.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Leo tumeshinda kwa mikwaju ya penati lakini ukweli lazima usemwe, timu yetu haichezi mpira unaovutia, ni ukweli usiopingika kuwa kikosi chetu kina watu wa kazi hasa ambao wana uwezo wa kuleta mataji ya kila aina lakini mfumo anaoutumia Robertinho unaikosesha Simba mabao.

Hivi kweli Simba hii ni ya kucheza mechi 2 bila kufunga goli? Robertinho aaambiwe kama wachezaji hawana uwezo apendekeze, kwanini Kanoute apungue makali wakati tuna Abdallah Hamis?

Timu haichezi mchezo mzuri kabisa, mpira tumeelemewa na Yanga mwanzo mwisho Leo.
Hamna kocha mle Ila yanga ni mbovu wameonyesha unadhani ungekuwa mziki wa msimu uliopita tusingefika kule kwa makosa yale
 
Back
Top Bottom