Tuache utani Simba kushinda Kwa Al ahly haiwezekani

Futino Analisiti
 
Mtani naona Kila ukikaa unaiwaza Simba, hivi huko kwenu hamna habari yoyote zaidi ya kuizungumzia Simba. Kwa sababu rais wa FIFA atakuja tutawaombea nafasi na nyinyi mshiriki mwakani ili muonekane mnakaribia kupingana na sisi
Duh kumbe hii michuano anayocheza simba yanga hawapo dah najuaga muda wote yanga nae yumo. Huku kushambikia mashabiki kunanipotosha sana
 
japo ni kweli simba wanakazi lakini mpira hauchezwi kwa majina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…