ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Uzuri ni kwamba msimu huu Al Ahly atacheza na wote hapo ndio tutajua ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Futino AnalisitiKwasisi wachambuzi Kila tukiitazama hii mechi unaona inabend upande mmoja yaani Ayubu fc watakula nyingi. Possibility ya Simba kushinda ni sawa taifa stars kuchukua Kombe la AFCON
Al ahly Wana Percy Tau a.k.a goal machine huku ayubu fc Wana Baleke na kibu (ambaye kwenye chance 6 anakosa zote imagine Simba Haina Bacca, Mwamnyeto, Job, Max na Yao (Ukuta wa Yericko)
NB: Mnyama Ili kupunguza mvua kubwa ya magoli, inabidi waingie na plan ya kupaki basi coz atake atapigwa heavily asitake atapigwa heavily
Sawa ngoja wakupe ya mda mrefu kama aliyo pewa maralia suguNipigwe ban
Naunga mkono hoja 👍👏Uzuri ni kwamba msimu huu Al Ahly atacheza na wote hapo ndio tutajua ukweli
Duh kumbe hii michuano anayocheza simba yanga hawapo dah najuaga muda wote yanga nae yumo. Huku kushambikia mashabiki kunanipotosha sanaMtani naona Kila ukikaa unaiwaza Simba, hivi huko kwenu hamna habari yoyote zaidi ya kuizungumzia Simba. Kwa sababu rais wa FIFA atakuja tutawaombea nafasi na nyinyi mshiriki mwakani ili muonekane mnakaribia kupingana na sisi
Kwani hawajawahi kushinda ngoma ngumu?Hata wakiroga .....ngoma ngumu ile
japo ni kweli simba wanakazi lakini mpira hauchezwi kwa majinaKwasisi wachambuzi Kila tukiitazama hii mechi unaona inabend upande mmoja yaani Ayubu fc watakula nyingi. Possibility ya Simba kushinda ni sawa Taifa stars kuchukua Kombe la AFCON
Al ahly Wana Percy Tau a.k.a goal machine huku Ayubu fc Wana Baleke na Kibu (ambaye kwenye chance 6 anakosa zote imagine Simba Haina Bacca, Mwamnyeto, Job, Max na Yao (Ukuta wa Yericko)
NB: Mnyama Ili kupunguza mvua kubwa ya magoli, inabidi waingie na plan ya kupaki basi coz atake atapigwa heavily asitake atapigwa heavily