Mkuu Aluwatani, kwa vile mimi sio mtaalamu wa Hegelian dialectic analysis, I can't argue much on this, ila sijahukumu popote wala hakuna hakuna contradiction yoyote, ila nakiri uwezekano wa contradictions katika uelewa!, yaani erratic perception hata kitu very straight, mtu mwenye erratic perception atakiona kimepinda kama ilivyo kwa reflection, refraction na parallax vission kwenye light.
Neno usihukumu ni ushauri, ikimaanisha ukihukumu, utahukumiwa, na huko kuhukumiwa endapo utahukumu, hautahukumiwa na mimi nilikupa angalizo la usihukumu, bali utahukumiwa na karma ya hukumu uliohukumu wewe!.
Ni kama kukuonya kuwa sumu haipimwi kwa kuilamba, ukiilamba utakufa, kisha wewe ukaijaribu kwa kuilamba!,kitakachokutokea, utasema ni mimi nimekulambisha?!.
Maadam karma ipo and is for real, hatuna haja ya kuhukumu ili tusihukumiwe, kazi ya kuhukumu, aachiwe Hakimu Mkuu, karma.
Paskali