Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

usilete uhuni sasa tulikuwa tunaongelea lissu narudia kwamba wewe unaajenda ya siri na naamini wewe ni kati ya assasinators ukisikia lissu ametajwa jua linapinduka hatujaongelea kwenye thread yako mtu mwingine au vifo vingi vinaendeleea tangu wakati wa mwalimu tulidwell na mfano wa karibuni lakini jamaa unajigonga nakuonyesha sura yako halisi, Paskali differentiate issues na topic don't be to predictable sir you are literally a confused man kila mtu anajuwa huwa unaleta mada hapa ukiwa nyuma ya mtu Fulani ndio maana staha yako sasa hivi ni kwamba una njaa kali na unashiba kwa threads za kutetea uuaji wa awamu ya tano na it can be proven ni wasukuma wenzako nyie gaweni nchi kwa mauaji halafu majibu yake mutayapata hapa baada ya kitambo kidogo
 
usilete uhuni sasa tulikuwa tunaongelea lissu narudia kwamba
  1. wewe unaajenda ya siri na
  2. naamini wewe ni kati ya assasinators
  3. ukisikia lissu ametajwa jua linapinduka
  4. jamaa unajigonga nakuonyesha sura yako halisi,
  5. Paskali differentiate issues na topic don't be to predictable sir you are literally a confused man
  6. kila mtu anajuwa huwa unaleta mada hapa ukiwa nyuma ya mtu Fulani
  7. una njaa kali na unashiba kwa threads za kutetea uuaji wa awamu ya tano it can be proven ni wasukuma wenzako
  8. nyie gaweni nchi kwa mauaji halafu majibu yake mutayapata hapa baada ya kitambo kidogo
Thanks, nimekusikia, na haswa hiyo number 9, naizingatia sana maana you never know!.
Paskali
 
Paskali,si kila aliyefanya uovu duniani amelipwa hapa hapa.Mfano mzuri ni Bush na Blair wanadunda kwa raha zao baada ya kusababisha maumivu na vifo kwa namilioni ya watu Iraq Afghanistan,Libya nk

Pili kumbuka ile kanuni kubwa ya upelelezi ya Sherlock Holmes;-
" Kati uchunguzi ukiondoa vyote visivyohusika kilichobaki ndio muhusika"

Kwa suala la Tundu ukiondoa washukiwa ambao hawana uwezo wa kutekeleza shambulio lile aliyebaki mwenye uwezo ndiye muhusika
Suala lipo wazi mno
NANI anakudanganya wakina Blair, bush na wenzake wanakula raha mioyo yao na maisha yao ya siri hulijui
 
Hivi mbona sijawahi kusikia Karma ikiserve back wamerekani kwa unyama na ujangili mwingi walioufanya na wanaoendelea kuufanya?
Au Karma haina address ya Marekani? Kina bush, blair, obama wamefanya mengi tuu ambayo Karma ilipaswa iwe tayari ishawashughulikia lakini naona wanaendelea kupeta tuu duniani hapa
 
Hivi mbona sijawahi kusikia Karma ikiserve back wamerekani kwa unyama na ujangili mwingi walioufanya na wanaoendelea kuufanya?
Au Karma haina address ya Marekani? Kina bush, blair, obama wamefanya mengi tuu ambayo Karma ilipaswa iwe tayari ishawashughulikia lakini naona wanaendelea kupeta tuu duniani hapa
Mommy the B, hukumu ya karma hutekelezwa kwa kupimwa kwenye scale kati ya mema na mabaya, hata ukitenda mabaya vipi, lakini kama ulitenda mema mengi kabla, au ukatenda mema mengi baada ya mabaya, yale mema, yana neutralize mabaya yako, hivyo hao Wamarekani, pamoja na ubaya wao wote, wema wao ni mkubwa kuliko ubaya wao hivyo wanabarikiwa.

Ila pia hukumu ya karma haina time frame, inaweza kutekelezwa, hadi vizazi vitatu, hivyo time ya karma payback ya Wamarekani bado haijafika, Bush, Blair na Obama, wanaweza kupita salama, halafu hukumu ya karma, ikaja kuwashukia watoto wa Sasha, Malia, Euan, Nick, Leo, Kathlin, Babra na Jenna, na kitu cha ajabu kabisa, unaweza kuwakuta Osama, Sadam na Ghadafi wakiingia peponi, halafu Obama, Bush na Blair wakatupwa motoni!.

Tutahukumiwa kwa matendo yetu, hivyo tutende wema kadri tuwezavyo.

Paskali
 
The negative power of karma won't spare you if you judge others. We both have our opinion and have right to express ourselves but we should be carefully not point fingers for things we are not sure of. May our almighty God bless you.
Mkuu Mafwi Munda, hii ndio subject matter ya uzi huu.
P.
 
Mommy the B, hukumu ya karma hutekelezwa kwa kupimwa kwenye scale kati ya mema na mabaya, hata ukitenda mabaya vipi, lakini kama ulitenda mema mengi kabla, au ukatenda mema mengi baada ya mabaya, yale mema, yana neutralize mabaya yako, hivyo hao Wamarekani, pamoja na ubaya wao wote, wema wao ni mkubwa kuliko ubaya wao hivyo wanabarikiwa.

Ila pia hukumu ya karma haina time frame, inaweza kutekelezwa, hadi vizazi vitatu, hivyo time ya karma payback ya Wamarekani bado haijafika, Bush, Blair na Obama, wanaweza kupita salama, halafu hukumu ya karma, ikaja kuwashukia watoto wa Sasha, Malia, Euan, Nick, Leo, Kathlin, Babra na Jenna, na kitu cha ajabu kabisa, unaweza kuwakuta Osama, Sadam na Ghadafi wakiingia peponi, halafu Obama, Bush na Blair wakatupwa motoni!.

Ttahukumiwa kwa matendo yetu, hivyo tutende wema kadri tuwezavyo.

Paskali
Asante kwa ufafanuzi mzuli Paskali, ila sidhani kama kuna mema yanayowwza kufunika maombolezo ya watu waliotolewa roho zao bika hatia. Kule Libya, Iraq watu wengi wasio na hatia waliuliwa.. Zile roho zjnafunikwa na wema gani?
Afu wale jamaa wa biashara ya utumwa, unyama walokuwa wanafanyiwa watumwa wameshalipwa na Karma? Wamarekani, waarabu na wazungu waliokuwa wanauza na kunumua watu kama watumwa natamani kusikia kisa chao jinsi karma ilibowashughulikia
 
Asante kwa ufafanuzi mzuli Paskali, ila sidhani kama kuna mema yanayowwza kufunika maombolezo ya watu waliotolewa roho zao bika hatia. Kule Libya, Iraq watu wengi wasio na hatia waliuliwa.. Zile roho zjnafunikwa na wema gani?
Afu wale jamaa wa biashara ya utumwa, unyama walokuwa wanafanyiwa watumwa wameshalipwa na Karma? Wamarekani, waarabu na wazungu waliokuwa wanauza na kunumua watu kama watumwa natamani kusikia kisa chao jinsi karma ilibowashughulikia
Angalia mafanikio ya Africans Americans halafu compare na Africans Africans, mafanikio yao ndio karma yenyewe.

Kwa vile payback time ni up to 3rd generation, you just can't tell!.
Waarabu wa Zanzibar waliowauza mababu zetu, unakijua kilichowakuta ile Jan 12, 1964!. Hivyo ukitenda ubaya, utalipwa ubaya!.

Paskali
 
Angalia mafanikio ya Africans Americans halafu compare na Africans Africans, mafanukio yao ndio karma yenyewe.

Kwa vile payback time ni up to 3rd generation, you just can't tell!.
Waarabu wa Zanzibar waliowauza mababu zetu, unakijua kilichowakuta ile Jan 12, 1964!. Hivyo ukitenda ubaya, utalipwa ubaya!.

Paskali
Wale wamarekani weupe na wazungu na waarabu wa Oman wao wamekutwa na nini?
 
Mkuu Mafwi Munda, hii ndio subject matter ya uzi huu.
P.
Nakubaliana nawe, nami niliona mchangiaji akitoa hukumu nikamkumbusha " subject matter" Najua hakumaanisha labda alifanya kwa ushabiki lakini nilimkumbusha hilo naye alikubali kwa ku like. Paskali nadhani unajua mob psychology affects, unaweza kujikuta uko upande hata usioujua, na hata ukawa hauna majibu ya kwanini huko pale au upande huo kwa wakati huo. Hili humu jf limo sana. Ufuasi, upenzi na uchama unafanya watu kuchangia kwa milengo hiyo regardless of the matter in-question. Hili hutokea tunapochagua upande, tunatetea au kupinga based on which side we are at that time. Tukiongea ukweli based on facts tunaogopa kuonekana kuyumba au kutokuwa na misimamo, as a result ndio unaona maandishi ya namna hiyo. Hili linatukumba sote regardless of our positions, status, educational background, and how smart or dumb we are. Kwenye siasa kuna msemo unasema "Never underestimate the power of stupid people in large groups" wajinga wengi pamoja wanaweza kubadili matokeo ya wenye akili wachache. Point ikiwa kura na demokrasia ya wengi. Kura hazi hesabiwi kwa vigezo vya elimu na ufahamu. Ni wingi wa kura tu. Hii nilitaka kusema, mob psychology ina effects sana humu ndani, Ila tusidharau michango ya watu kwa namna yoyote ile.
Asante.
 
Mkuu paskalis,karma has already taken care of the assailant mbona?huoni he's now acting and talking out of desperation?
Uzuri wa karma ni,no need for revenge,just sit back and wait,those people who hurt you will eventually ending screwing up themselves
yawezekana ndo sababu ya zile frustration zake, karma law inashughulika
 
Naam Paskali nimependa hii hoja ya kuachia Karma... Japo wapo baadhi husuasan ambao nafsi zao zinawasuta watakutukana.

Heshima kwako
Kutukanwa ni lazima, labda hiyo karma mwanzo wake ni vioja vya mkutano wa leo Dom.
Wanabodi,
karma.jpg

Hili ni bandiko la wito wa Tuacheni Ramli Chonganishi Kuhusu Mhusika wa Shambulizi la Risasi kwa Mhe. Tundu Lissu: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. Tuiachie "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!.

Kwanza tuendelee kumuombea Lissu uponyaji wa haraka.
Nimenote katika baadhi ya mitandao ya kijamii, kumeibuka makundi ya watu kujenga nadharia mbalimbali kuhusu chanzo cha tukio hili, aliyepanga na aliyetekeleza, na wengine hadi kufikia kupiga ramli chonganishi kuwa aliyepanga mpango huo ni fulani, na kumtaji hadi majina!, mara ni fulani, mara ni fulani, alimradi kunyooshea watu vidole!, hili sio jambo jema hata kidogo!.

Kwa sisi wa imani ya Kikristu, dini yetu inatufundisha, "Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!". Tena kwenye ile kesi ya mwanamke kahaba aliyeshikwa ready handed, Bwana wetu Yesu Kristo akawaambia, "Na asiye na dhambi, awe wa kwanza kutupia jiwe!", hakuna aliyethubutu!.

Vivyo hivyo kwenye hili tukio la Lissu kupigwa risasi, maadam aliyelipanga ni binadamu, na watekelezaji ni wanadamu, tangu dunia hii kuumbwa, haijawa kutokea hata mara moja, uovu ukashinda wema, au uongo kuushinda ukweli, damu ya mwanadamu asiye na hatia, aliyeumbwa na Mungu, haiwezi ikamwagika bure, kila anayefanya uovu katika dunia hii, lazima atalipwa kwa uovu na malipo ni hapa hapa duniani, na kila anayetenda mema atalipwa mema.

Japo alichofanyiwa Lisu ni uovu mkubwa, mbaya na ukatili wa ajabu, hakuna haja wala sababu ya kuanza kunyoosheana vidole, tuviache vyombo husika kufanya uchunguzi na kutupatia majibu ya kina, kuhusu hao watu wasiojulikana, waliofanya ukatili huo, na endapo hivyo vyombo husika ndio wahusika na tukio hilo, bado kuna chombo kikubwa kuliko vyote kinachoitwa karma, ambacho ndicho pekee hutoa hukumu ya haki kwa kila kinachofanyika hapa duniani!.

Lissu Get Well Soon, Mungu yupo, kama alivyokusimamia uko hai mpaka sasa, yeye ndiye pekee kupitia karma, atawahukumu watesi wako!.

"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa ...

Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao ...


Paskali
 
I don’t believe in luck
I believe in Karma. What you put out to the universe trust me it will come back at you. If you saw envy, bitterness and grief don’t expect to reap anything but that. What are you sowing right now
 
I don’t believe in luck
I believe in Karma. What you put out to the universe trust me it will come back at you. If you saw envy, bitterness and grief don’t expect to reap anything but that. What are you sowing right now
I'm not sowing anything here, hapa nimetoa tuu angalizo kuwa tusihukumu tusije kuhukumiwa. Kila mtu atavuna alichopanda.

P
 
Yes indeed, the best one who ever attempted to assassinate Tundu Lissu! Au sijakuelewa kaka? Mimi imani yangu imenifundisha dhambi kama hiyo haisameheki!
Mkuu Tang, ukisikia ramli chonganishi ndio hii!, is there any proof ni yeye who attempted to assassinate Tundu Lissu?. Nimesisitiza humu, tusihuku mu ili tusije kuhukumiwa!.

Kwa vile waliotaka kumuua Lissu mpaka sasa ni watu wasiojulikana, then it could be anyone!, anaweza kweli akawa yeye au asiwe yeye, but pia inaweza kuwa it is an inside job!.

Hakuna dhambi isiyosameheka!, Hata ukiua mtu mmoja kwa risasi, baadae ukaokoa maisha ya watu watano wasife kwa kuwapatia matatibu, au walikuwa wafe njaa, ukawapatia chakula, then karma yako itakuwa na negative bad karma ya kuua mtu mmoja na positive good karma za kuokoa maisha ya watu watano wasife!, ule wema wa kuokoa maisha ya wale watano, inasafisha ile dhambi moja ya kuua!. Mfano kuna watu watano walikuwa wamehukumiwa kifo, wewe ukawaachia huru, baraka za wale watano huru, zinatakasa dhambi ya yule mmoja uliyemuua!.

P.
 
Back
Top Bottom