Tuacheni u team jamani tuseme tu ukweli mavazi ya Diamond

Na ile aliyovua Nguo kule kenya akashikwashikwa Matako pia mlisifia, endeleeni kumsifia kuna siku atatembea uchi pia mtashangilia.
Vp Cheed na Killy,wamedhulumiwa au wamenyonywa ? Naona thread umeifungua mwenyewe alafu umeikimbia.

Kutwa kuwazungumzia WCB na Diamond vp Kings walikuwa wanapewa asilimia ngapi,manake za WCB unazijua.
 
Hakupendeza kabisasa. Huwa hapendezi but hapa kaharibu kabisaà
 
Hahahahaaa daaaa bugalooo!!! Wambura mtani au zembwela wanakwambia suruali kama "fuko la mshine ya kusaga"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…