kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,517
- 7,984
Unamshangaa Mond,sasa ukimuona kanyewest sindo utabaki mdomo wazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ile aliyovua Nguo kule kenya akashikwashikwa Matako pia mlisifia, endeleeni kumsifia kuna siku atatembea uchi pia mtashangilia.Trending na Attention.
Usifananishe Kek na Mavi, utachekwaUnamshangaa Mond,sasa ukimuona kanyewest sindo utabaki mdomo wazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp Cheed na Killy,wamedhulumiwa au wamenyonywa ? Naona thread umeifungua mwenyewe alafu umeikimbia.Na ile aliyovua Nguo kule kenya akashikwashikwa Matako pia mlisifia, endeleeni kumsifia kuna siku atatembea uchi pia mtashangilia.
Ukishangaa ya Domo basi shangaa na ya papa MopaoUstaa sometimes unakuwaga kama unavuruga mtu akili hivi haya mavazi anayovaa Diamond sometimes kwa siku za hivi karibuni mnayaelewa?
View attachment 1418566
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujana na fedha huwa zina msukumo wa ajabu . Ni mambo ya wakati
Odhis *
Odhis nan'go?Ujana na fedha huwa zina msukumo wa ajabu . Ni mambo ya wakati
Odhis *
😀😀😀😀Ukivaa wewe hivyo ndani ya dakika tano ushawekwa quarantine baadae isolation kabisa.
😁😁😁 I Blv..jamaa anaongoza kwa kuiga tz nzimaKaiga kwa Burna boy mtu mbaya...hayo ndo mapigo yake
Acha ushamba.Ustaa sometimes unakuwaga kama unavuruga mtu akili hivi haya mavazi anayovaa Diamond sometimes kwa siku za hivi karibuni mnayaelewa?
View attachment 1418566
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji120][emoji119][emoji122]
Ni coz anajua atatetewa na MSUKULE kama wewe ila bora hii kuliko KIKUKU.Lengo ni apate attention ya vilaza kama wewe.. nazani kafanikisha ilo
Sent from my SM-A105G using Tapatalk