Tuacheni unafiki, Le Mutuz alikuwa ni mtu wa ovyo na mfano mbovu kwa vijana

Le Mutuz nimeshaishi naye Marekani Aliadhiriwa sana na maisha ya kule usi copy kulazimisha angeishi kibongo.Alikuwa mpambanaji kwa miaka 30 huko majuu,ameshawahi kuwa baharia,dereva wa malori mfanya usafi na kazi za kila aina nchi za ughaibuni.
Alikuwa hatumii kilevi kabisa cha pombe.
Umasikini wako usimuambikize mtoto wa mwenzio.
By the way wewe uliyemsafi hujatenda dhambi kuwa wa kwanza kumrushia jiwe.
Je wewe hujawahi fanya dhambi ya ngono toka uzaliwe?
Ndege ya serikali ilitolewa kwa ajili yake sio kwa ajili ya umaarufu wa baba yake bali ni umaarufu wake mwenyewe kwa jamii ame fight sana kwenye JAMII.
Kila mtu mungu amempangia fujo zake duniani.
Si ajabu ahera utamkuta amekalia kiti cha enzi wewe humo.
Wewe utakuwa unatoka lile dhehebu la dini wanaojiona wao ndio wataiona mbingu.
Alijua afya yake ndio maana alikuwa hatumii pombe.
 
wengi tulimuhukumu kwa kumjua upande mmoja wa kumuona on social media Ila he was very smart R.I.P boma yee nakupa maua yako ukiwa umelala yooo

Soma hapa umjue lemutuz 👇👇👇👇👇👇

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)
 

Nakubaliani na no 4 mengine umepuyanga tu humfahamu vizuri Marehemu.Mfano no 5 kama ni rahisi na wewe kawe chawa [emoji1787]
 

Kifupi hamjui vizuri Marehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…