Tuacheni utani jamani, katiba inayopendekezwa imewajali wasanii!

Tuacheni utani jamani, katiba inayopendekezwa imewajali wasanii!

Uache kurukia rukia usiyoyajua tulizana ili uelewe kinachoendelea. Kwa taarifa yako Tetty hajawahi kuomba msaada wa aina yoyote toka kwangu na hana uzembe wa aina yoyote ile.

TETTY UNAOMBA MSAADA KWA BAK! Duu acha uzembe.
 
Last edited by a moderator:
Uache kurukia rukia usiyoyajua tulizana ili uelewe kinachoendelea. Kwa taarifa yako Tetty hajawahi kuomba msaada wa aina yoyote toka kwangu na hana uzembe wa aina yoyote ile.

Achana naye hana chochote cha maana huyo UVCCM zaidi ya matusi.Siunajua ni kati ya wale wajumbe waliofundishwa na Sitta kuwa ili Katiba ya Mafisadi ipite basi inabidi watumie matusi na kudhalilisha watu wenye maoni tafouti na wao.

Usipoteze muda wako kwa huyo.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Ahsante sana Mkuu nimekuelewa, shukrani.

Achana naye hana chochote cha maana huyo UVCCM zaidi ya matusi.Siunajua ni kati ya wale wajumbe waliofundishwa na Sitta kuwa ili Katiba ya Mafisadi ipite basi inabidi watumie matusi na kudhalilisha watu wenye maoni tafouti na wao.

Usipoteze muda wako kwa huyo.
 
Ahsante sana Mkuu nimekuelewa, shukrani.

Kwenye huu uzi wamejaa kibao,na hawasomi vizuri nana kuelewa wanaishia kutoa matusi na kashfa tu.Yaani hawana tofauti na wale akina Fatuma Mbunge wa CCM Zanzibar au Vile Sitta akiwatukana viongozi wa dini.Nadhani ni jukumu wamepewa kwa kila atakayepinga basi unatoa matusi bila kujali.Kwa kweli ni shida na mods wamewaacha wakifanya watakavyo.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwenye huu uzi wamejaa kibao,na hawasomi vizuri nana kuelewa wanaishia kutoa matusi na kashfa tu.Yaani hawana tofauti na wale akina Fatuma Mbunge wa CCM Zanzibar au Vile Sitta akiwatukana viongozi wa dini.Nadhani ni jukumu wamepewa kwa kila atakayepinga basi unatoa matusi bila kujali.Kwa kweli ni shida na mods wamewaacha wakifanya watakavyo.

Mmmh kwa uwongo tu wewe ni hodari aseee.
 
Mmmh kwa uwongo tu wewe ni hodari aseee.

Muongo ni wewe unayejua ini maana ya UWONGO.Hebu niambie kwani Sitta hakuwatukana viongozi wa dini?Au yule bibie Fatuma hakumtukana Jussa.So UWONGO UPI?Kama hujaelewa kitu uliza usikurupuke kujibu tu na kudhalilisha watu wengine.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Uache kurukia rukia usiyoyajua tulizana ili uelewe kinachoendelea. Kwa taarifa yako Tetty hajawahi kuomba msaada wa aina yoyote toka kwangu na hana uzembe wa aina yoyote ile.[/QUOTE

[JFMP3][/JFMP3]KINACHOKUKASIRISHA NINI UNAPIGA MAYOWE TU NYIE SI MLIKUA MNASAIDIANA KWENYE HOJA YENU MFU, MNAJIDAI KUPINGA KILA KITU MMEBAKI KUJIPINGA WENYEWE, KWA TAARIFA YAKO MI SIO MTU WA KURUKIA MADA NIFUATILIE VIZURI NA UWAULIZE WENZAKO.
 
Uache kurukia rukia usiyoyajua tulizana ili uelewe kinachoendelea. Kwa taarifa yako Tetty hajawahi kuomba msaada wa aina yoyote toka kwangu na hana uzembe wa aina yoyote ile.[/QUOTE

[JFMP3][/JFMP3]KINACHOKUKASIRISHA NINI UNAPIGA MAYOWE TU NYIE SI MLIKUA MNASAIDIANA KWENYE HOJA YENU MFU, MNAJIDAI KUPINGA KILA KITU MMEBAKI KUJIPINGA WENYEWE, KWA TAARIFA YAKO MI SIO MTU WA KURUKIA MADA NIFUATILIE VIZURI NA UWAULIZE WENZAKO.
 
Acha kuwa mvivu wakufikiri, Tanzania hatua "katiba ya Chenge" Tuna Katiba Inayopendekezwa iliyoandaliwa kwa kufuata Mchakato wa kutunga Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umefikia hatua ya wananchi kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa, iliyopitishwa na Bunge Maalum tarehe 4 Oktoba, 2014.

Awali, Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilitoa Rasimu ya Kwanza tarehe 3 Juni, 2013 na Rasimu ya Pili ilitolewa tarehe 30 Desemba, 2014 na kuwasilishwa kwenye Bunge Maalum tarehe 21 Februari, 2014. Baada ya Bunge Maalum kukamilisha majukumu kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011, tunda lililozaliwa ni KATIBA INAYOPENDEKEZWA.

Hatua inayofuata ni ya wananchi kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa. Kwa hiyo, kwa mujibu wa sheria, wananchi wa Tanzania ndiyo wenye uamuzi na kauli ya mwisho juu ya upatikanaji wa Katiba Mpya wakati muafaka utakapowadia kama itakavyo ainishwa na mamlaka husika.

Hiyo "katiba ya Chenge"umeitoa wapi? Acha uongo wako usiwadanganye Watanzania kwa maneno yako ya upotoshaji. Koma na acha kabisa!

Hao watanzania walioko jf wanaelewa maana ya 'katiba ya Chenge' na katiba iliyopendekezwa, hiyo haihitaji ufafanuzi.
 
Muongo ni wewe unayejua ini maana ya UWONGO.Hebu niambie kwani Sitta hakuwatukana viongozi wa dini?Au yule bibie Fatuma hakumtukana Jussa.So UWONGO UPI?Kama hujaelewa kitu uliza usikurupuke kujibu tu na kudhalilisha watu wengine.
Unajua maana ya tuc au umesoma chekechea? Nambie tuc gani hilo alitukana.
 
Hao watanzania walioko jf wanaelewa maana ya 'katiba ya Chenge' na katiba iliyopendekezwa, hiyo haihitaji ufafanuzi.
Chenge hana katiba ktika nchi hii usikurupuke kuongea maneno hayo tena. Katiba hii ni ya wananchi wote wa tanzania.
 
nasema hapana kwa katiba pendekezwa full stop
Haya endelea kulala na hiyo hapana yako kwani haina madhara yoyote yani ni sawa sawa na kuchukuw sukari kwenye kijiko na kwenda baharini ukaimwaga huku ukidhani kuwa maji yote ya chumvi yatageuka kuwa sukari. Hahahah think twice b4 u do.
 
Unajua maana ya tuc au umesoma chekechea? Nambie tuc gani hilo alitukana.

Nenda ukasikilize Clips za Bunge then utajua.Na kama ulikuwa ndani ya Bunge sitoshngaa kama yale yaliyokuwa yanatolewa yalikuwa si matusi ,basi dunia imeisha.
 
Nenda ukasikilize Clips za Bunge then utajua.Na kama ulikuwa ndani ya Bunge sitoshngaa kama yale yaliyokuwa yanatolewa yalikuwa si matusi ,basi dunia imeisha.
Endelea kuota maana umetoka ucngzini bwana Tety a.k.a tyta
 
Back
Top Bottom