Tuambie huwa unatumia dawa gani ya meno?

Mimi nimeweka kambi hapa kwa Colgate max fresh, hakika iko vizuri sana. Nilikuwa na tatizo la fizi kutoa damu ila baada ya kutumia hii tatizo limeisha.View attachment 2908041

Tushirikishe wewe huwa unatumia dawa gani unaposwaki meno yako?
Ila tuongee ukweli tatizo la vinywa kutoa harufu mbaya bongo ni kubwa sana..

Pengine dawa za kinywa tunazotumia zina shida au watu wengi hawali kwa wakati yaani midomo inatema sio poa..
 
Ila tuongee ukweli tatizo la vinywa kutoa harufu mbaya bongo ni kubwa sana..

Pengine dawa za kinywa tunazotumia zina shida au watu wengi hawali kwa wakati yaani midomo inatema sio poa..
Tatizo wengi watumia whitedent, yenyewe tu ina harufu mbaya
 
Mimi nimeweka kambi hapa kwa Colgate max fresh, hakika iko vizuri sana. Nilikuwa na tatizo la fizi kutoa damu ila baada ya kutumia hii tatizo limeisha.View attachment 2908041

Tushirikishe wewe huwa unatumia dawa gani unaposwaki meno yako?
Harufu ya mdomo ni chakula unachokula na si dawa unayotumia.


Jaribu kula wali maharage na wali mbogboga asubuhi yake compare harufu
 
Mkaa,majivu na chumvi🥴 ukitoka hapo kichwa kinakuwa 🥵
 
Sasa sijui tbs inafanya kazi gani dawa ile haina ubora kabisa..
Unaweza jikuta siku yako imeenda vibaya kabisa..
Tatizo upatikanaji wake ni rahisi sana maduka ya mangi yote mtaani hawana dawa nyingine zaidi ya hiyo, mi home nimeipiga marufuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…