Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Vumbi la kongoMimi nimeweka kambi hapa kwa Colgate max fresh, hakika iko vizuri sana. Nilikuwa na tatizo la fizi kutoa damu ila baada ya kutumia hii tatizo limeisha.View attachment 2908041
Tushirikishe wewe huwa unatumia dawa gani unaposwaki meno yako?
Ila tuongee ukweli tatizo la vinywa kutoa harufu mbaya bongo ni kubwa sana..Mimi nimeweka kambi hapa kwa Colgate max fresh, hakika iko vizuri sana. Nilikuwa na tatizo la fizi kutoa damu ila baada ya kutumia hii tatizo limeisha.View attachment 2908041
Tushirikishe wewe huwa unatumia dawa gani unaposwaki meno yako?
Sio kweli. Mbona wengine tunatumia hizo hizo na tuko sawa?Pengine dawa za kinywa tunazotumia zina shida
Tatizo wengi watumia whitedent, yenyewe tu ina harufu mbayaIla tuongee ukweli tatizo la vinywa kutoa harufu mbaya bongo ni kubwa sana..
Pengine dawa za kinywa tunazotumia zina shida au watu wengi hawali kwa wakati yaani midomo inatema sio poa..
Bibi yangu aliwahi kuniambua mkaa unang'arisha MenoInategemea na mood ya muda huo.
Ila nina colgate herbal, colgate charcoal na sensodyne. Nikiwa dar siku 1,1 nasugua na mkaa.
Mkaa unasaidia nn?Inategemea na mood ya muda huo.
Ila nina colgate herbal, colgate charcoal na sensodyne. Nikiwa dar siku 1,1 nasugua na mkaa.
Mkaa unatakatisha meno, dawa nyingi ni famba kweny kutakatisha hata kutoa harufu...Tumia mkaa ,chumvi au tangawizi harufu inatoka kabisaMkaa unasaidia nn?
Harufu ya mdomo ni chakula unachokula na si dawa unayotumia.Mimi nimeweka kambi hapa kwa Colgate max fresh, hakika iko vizuri sana. Nilikuwa na tatizo la fizi kutoa damu ila baada ya kutumia hii tatizo limeisha.View attachment 2908041
Tushirikishe wewe huwa unatumia dawa gani unaposwaki meno yako?
Sasa sijui tbs inafanya kazi gani dawa ile haina ubora kabisa..Tatizo wengi watumia whitedent, yenyewe tu ina harufu mbaya
Tatizo upatikanaji wake ni rahisi sana maduka ya mangi yote mtaani hawana dawa nyingine zaidi ya hiyo, mi home nimeipiga marufukuSasa sijui tbs inafanya kazi gani dawa ile haina ubora kabisa..
Unaweza jikuta siku yako imeenda vibaya kabisa..
Inategemea. hahahaha
Em kuweni serious.. Hadi majivu🤔🤔Mkaa,majivu na chumvi🥴 ukitoka hapo kichwa kinakuwa 🥵