To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Dawa yangu pendwaNiko na VigorDoctor.. Colgate toka kipindi kile cha sekeseke la ushoga sijawahi kutumia tena naogopa🤒🤒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa yangu pendwaNiko na VigorDoctor.. Colgate toka kipindi kile cha sekeseke la ushoga sijawahi kutumia tena naogopa🤒🤒
Nikutanie nini,kuna muda nikitaka kuimarisha meno I just use itEm kuweni serious.. Hadi majivu🤔🤔
Kuna siku nilipatwa na kiungulia bibi yangu akaniambia nilambe majivu.. My friend 😫😫Nikutanie nini,kuna muda nikitaka kuimarisha meno I just use it
Sekeseke gani tena jamani? Mbona mimi ndio dawa yangu hiiNiko na VigorDoctor.. Colgate toka kipindi kile cha sekeseke la ushoga sijawahi kutumia tena naogopa🤒🤒
Hongera sana.. VigorDoctor nayo iko poa sana aiseeDawa yangu pendwa
Hivi mkaa unasaidia nini?Inategemea na mood ya muda huo.
Ila nina colgate herbal, colgate charcoal na sensodyne. Nikiwa dar siku 1,1 nasugua na mkaa.
SanaHongera sana.. VigorDoctor nayo iko poa sana aisee
Vigor Doctor _ CloveDawa yangu pendwa
Nadhani ni mwaka jana ile sijui mwaka juzi walivyogawaga dawa za meno kwa watoto wa shule za msingi.. Ila ziko poa sana mkuuSekeseke gani tena jamani? Mbona mimi ndio dawa yangu hii
MImi pia nina kiungulia na dawa kubwa ni majivu yale ya motomoto au magadi. Kinakata kabisaKuna siku nilipatwa na kiungulia bibi yangu akaniambia nilambe majivu.. My friend 😫😫
Yah. Mbadala wake ndo hiyo colgate charcoal. Ila sidhani km inawork out kama mkaa halisi.Bibi yangu aliwahi kuniambua mkaa unang'arisha Meno
Kinakata ndiyo lakini reaction yake mdomoni sio ya mchezo.. Ulimi unachomachoma kama sijui niniMImi pia nina kiungulia na dawa kubwa ni majivu yale ya motomoto au magadi. Kinakata kabisa
Unang’arisha meno. Ila yasiwe ya gold. Hayo sidhaniHivi mkaa unasaidia nini?
Kwa sisi watumiaji wa Colgate mnaponunua mzingatie na hizi alama kulingana na mahitaji yako
Nilienda village mwaka gulani Bibi akasema Meno yako meupe sana sasa ili yasiharibike uwe unatumia na mkaa. Nimekuwa mtumiaji mzuri tuYah. Mbadala wake ndo hiyo colgate charcoal. Ila sidhani km inawork out kama mkaa halisi.