Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika kutekeleza kauli ya Waziri wa Fedha, ya kututaka tuhamie Burundi kama hatuwezi kulipa tozo za miamala ya simu, jina lako la Burundi unaitwa nani? Mimi naitwa Renzoimana Barberashimiye.
Umeenda kabla ya tamko!?Niyongabo Nzeyimana, ukifika bujumbura mjini uliza hilo jina nishakua maarufu hapa...
Basi warudi BurundiKauli nyingine hutengeneza
Waziri mkuu alienda Burundi
Makamu wa rais alienda Burundi
Rais wetu alienda Burundi
Waziri wafedha anasema tuhamie Burundi kunakitu mama akae mkao wakula
askari hamuaminiki kwakweli mwezako akuweke uwe katibu mkuu wachama ukae wewwweee hadiMimi naitwa Ndaishimiye Timbanzokiza