Tuambie jina lako la Burundi unaitwa nani?

Sisi tulishahahau hizo PhD na Uprofessor miaka kadhaa. Ni title za kawaida na hakuna kujikweza. Tunachezea keyboard tu hapa Ila ingetokea siku Moja tutambuane kuna mishangao mingi Sana tungekutana nayo. Halafu hili famba linaongea live na kuzungusha kiti eti Mimi Daktari wa uchumi. Umeshindwa kubuni mbinu na mikakati ya kuongeza tax base unakuja na upuuzi wa kuumiza walipa kodi wakewale? We mbuzi kama wale uliokuwa unachunga kwenu. Halafu ndiyo lilikuwa linaimba pambio la Wanyonge. Swine mkubwa
 
Yuvenal Abyerimana si mbaya Sana hili litanifaa sana. Mwigulu tumekuachia nchi yako. Eti ya chinichini kumbe unaukodooea urais 2025 hivyo unafanya kila mbinu kumchafua Boss wako ili tumchukie. Sahau urais dog. Huo uchumi sisi tumeusoma miaka ya early 80s na hatujawahi kusikia au kuona kichwa mbuzi cha uchumi kama wewe. Halafu unajidai eti Doctor wa Uchumi labda doctor Kalimanzila kwenu huko. Hovyo kabisa
 
Kauli nyingine hutengeneza

Waziri mkuu alienda Burundi

Makamu wa rais alienda Burundi

Rais wetu alienda Burundi

Waziri wafedha anasema tuhamie Burundi kunakitu mama akae mkao wakula
Basi warudi Burundi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…