Tuambie kitu cha utundu sana ulichofanya utotoni na hutakisahau maisha yako yote

😂😂😂 iyo umenikumbusha mbali
 
Nakumbuka wakati niko kidato cha pili katika shule moja ya dini huko kanda ya ziwa, nilikua mimi pamoja na wenzangu tulijiwekea utaratibu wa kubaki shuleni kujisomea mara baada ya muda wa masomo kuisha...siku hiyo ya ijumaa kama ilivyokuwa kawaida wakati natafuta darasa zuri kwaajili ya kujisomea na masela, nikaona darasa moja limefanyiwa usafi vizuuri lakini hawakuzoa takataka/ uchafu walioufagia,,,basi mimi nikachukua chaki nikaenda mbele ya uchafu nikaandika HATUZOI...kumbe mwalimu wa zamu alikua hajapita kukagua usafi asee...alipokuta uchafu na yale maneno alikasirika balaaa ,,,akatuita sisi tuwe mashahidi wake siku ya jumatatu, kwamba kuna wanafunzi wamefanya usafi lakini wamegoma kuzoa takataka..Ilipofika jumatatu wale wanafunzi walipata tabu sana...kipigo chake kilikua ni cha mbwaKoko...,iliniuma sana kwavile hawakuandika yale maneno na wamepata kichapo lakini kwa jinsi mwalimu alivyokua amewaka nisingejisema kuwa mimi ndiye nimeandika...
 
Roho ya pepo ilikuingia mapema sana jamaaa
 
Niliwahi kunusulika kuzini na mbuzi.
Tulianza kwa kumuingizia uzi maalumu ukeni mwake. Uzi wa katani. Baada ya ingizatoa ya muda mrefu mnyama Yule alirainika. Dogo mkuu wa kikosi akafanya yake. Mpambe zamu yangu ilipofika bamia ilikuwa imeshakata umeme.
Muasisi wa ujinga huu utotoni mtaani kwetu ni dogo flani mchungaji aliyetokea vijijini.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
ujinga mwingi sana nimefanya ila hili la kupaka watoto wa watu upupu sisahau na kuvunja taa za watu 😀😀😀
 
Nilikuwa nawahi sana kwenda kulala ili nishituke usiku mnene kushuhudia mzee baba na mama la mama wakibanduana!![emoji23] [emoji23]
Imenibidi Niweke Comment, You Have Made My Day Mkuu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Matukio mawili
1.nikiwa darasa la tatu au nne nilienda kwa mganga wa kienyeji kutafuta Dawa ya kupendwa na mwanamke aitwaye Lucy..
Nilikuwa nampenda Sana Lucy . Kabla sijapewa dawa nilishtukiwa na mama nilipgwa Sana..

2.nilimtongoza mama mjane mtu mzima umri Kama wa mama yangu mama akanichenjia kanipeleka kwa baba nikala vibano vingi sana
 
Mi nlikua bingwa wa manati, masaa yote ipo kiunoni kama bastola, nlikua mpaka nalala nayo usiku.. nshapiga sana watu za vichwa, ila kuna siku nlimpiga jamaa muuza nyanya, alinikimbiza akanipa bonge la banzi(kibao) halafu akanimalizia na konzi zito kweli, kwanza nlizunguka kama mara saba pale pale kabla ya kukimbia.... Sintosahau
 
Kuna siku niliwahi sana shule kabla ya mtu yeyote nikaenda kuandika matusi ubaoni kwa herufi kubwa. Kilichofuata hapo ilikua ni dimbo class nzima siku tatu mfululizo tumtaje alieandika. Hatimae wakatajwa washkaj wengine ambao walikuaga watunduwatundu na wakaamriwa kuita wazazi wao halafu ikagongwa kengele wakachapwa tena mbele ya shule nzima halafu wanafunzi wote tukaamrishwa kuwazomea. Kwa jinsi nilivyokua mpole walimu waligoma kama ni mimi naweza kuandika yale matusi ubaoni maana kuna jamaa mmoja alinitaja kwamba aliniona asubuhi natokea darasani akasema huenda mi ndio niliandika.
 
We ulikuwa mtambo inaonekana unapenda mizigo yenye vyura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…