Tuambie kitu cha utundu sana ulichofanya utotoni na hutakisahau maisha yako yote

Tuambie kitu cha utundu sana ulichofanya utotoni na hutakisahau maisha yako yote

Enzi hizo nipo maeneo ya shule ya mchikichini kwa wazee wa mapindi nilikua na sister angu binamu mmoja alikua na bahasha wake anauza viepe mtaa wa sikukuu basi ilikua kila siku namtimbia na mwanangu mmoja kua tumeagizwa viazi,,,jamaa alikua wa kuja full kujaza chips yai na kuku sometime hadi hela alikua anatoa maana alikua anajua vinaenda kwa dem wake kumbe ngoma vinaishia njiani..na simu zilikua hazipo jamaa alipataga tabu sana[emoji53] [emoji53] [emoji53]
😂😂😂 iyo umenikumbusha mbali
 
Nakumbuka wakati niko kidato cha pili katika shule moja ya dini huko kanda ya ziwa, nilikua mimi pamoja na wenzangu tulijiwekea utaratibu wa kubaki shuleni kujisomea mara baada ya muda wa masomo kuisha...siku hiyo ya ijumaa kama ilivyokuwa kawaida wakati natafuta darasa zuri kwaajili ya kujisomea na masela, nikaona darasa moja limefanyiwa usafi vizuuri lakini hawakuzoa takataka/ uchafu walioufagia,,,basi mimi nikachukua chaki nikaenda mbele ya uchafu nikaandika HATUZOI...kumbe mwalimu wa zamu alikua hajapita kukagua usafi asee...alipokuta uchafu na yale maneno alikasirika balaaa ,,,akatuita sisi tuwe mashahidi wake siku ya jumatatu, kwamba kuna wanafunzi wamefanya usafi lakini wamegoma kuzoa takataka..Ilipofika jumatatu wale wanafunzi walipata tabu sana...kipigo chake kilikua ni cha mbwaKoko...,iliniuma sana kwavile hawakuandika yale maneno na wamepata kichapo lakini kwa jinsi mwalimu alivyokua amewaka nisingejisema kuwa mimi ndiye nimeandika...
 
Siku zote nakumbuka jambo moja la utundu sana nililofanya nikiwa mdogo ambalo sintakaa nilisahau. Ni kwamba kulikuwa na za umeme nje ya nyumba ambazo zilikuwa zimekatwa na ziko wazi, Na siku zote tulijua kwamba hizo nyaya zilikuwa na umemem, na nikawa wa kwanza kuwaambia watoto wenzangu wasiziguse.

Lakini sijui nilipata wazo gani pale ambapo nilitoa bamia yangu na kuamua kuzikojolea! Naambiwa kelele niliyopiga ilikuwa ya kkutisha kama ya mnyama ambaye hajawahi kugunduliwa. Bila kutambua nilijikuta nimelala chini mbali na sekemu nilipokuwa nimesimama, ambapo bila kujitambua nilimalizia mkojo wangu kwenye kaptula!
Roho ya pepo ilikuingia mapema sana jamaaa
 
Niliwahi kunusulika kuzini na mbuzi.
Tulianza kwa kumuingizia uzi maalumu ukeni mwake. Uzi wa katani. Baada ya ingizatoa ya muda mrefu mnyama Yule alirainika. Dogo mkuu wa kikosi akafanya yake. Mpambe zamu yangu ilipofika bamia ilikuwa imeshakata umeme.
Muasisi wa ujinga huu utotoni mtaani kwetu ni dogo flani mchungaji aliyetokea vijijini.
 
Siku zote nakumbuka jambo moja la utundu sana nililofanya nikiwa mdogo ambalo sintakaa nilisahau. Ni kwamba kulikuwa na za umeme nje ya nyumba ambazo zilikuwa zimekatwa na ziko wazi, Na siku zote tulijua kwamba hizo nyaya zilikuwa na umemem, na nikawa wa kwanza kuwaambia watoto wenzangu wasiziguse.

Lakini sijui nilipata wazo gani pale ambapo nilitoa bamia yangu na kuamua kuzikojolea! Naambiwa kelele niliyopiga ilikuwa ya kkutisha kama ya mnyama ambaye hajawahi kugunduliwa. Bila kutambua nilijikuta nimelala chini mbali na sekemu nilipokuwa nimesimama, ambapo bila kujitambua nilimalizia mkojo wangu kwenye kaptula!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
ujinga mwingi sana nimefanya ila hili la kupaka watoto wa watu upupu sisahau na kuvunja taa za watu 😀😀😀
 
Nilikuwa nawahi sana kwenda kulala ili nishituke usiku mnene kushuhudia mzee baba na mama la mama wakibanduana!![emoji23] [emoji23]
Imenibidi Niweke Comment, You Have Made My Day Mkuu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Siku zote nakumbuka jambo moja la utundu sana nililofanya nikiwa mdogo ambalo sintakaa nilisahau. Ni kwamba kulikuwa na za umeme nje ya nyumba ambazo zilikuwa zimekatwa na ziko wazi, Na siku zote tulijua kwamba hizo nyaya zilikuwa na umemem, na nikawa wa kwanza kuwaambia watoto wenzangu wasiziguse.

Lakini sijui nilipata wazo gani pale ambapo nilitoa bamia yangu na kuamua kuzikojolea! Naambiwa kelele niliyopiga ilikuwa ya kkutisha kama ya mnyama ambaye hajawahi kugunduliwa. Bila kutambua nilijikuta nimelala chini mbali na sekemu nilipokuwa nimesimama, ambapo bila kujitambua nilimalizia mkojo wangu kwenye kaptula!
Matukio mawili
1.nikiwa darasa la tatu au nne nilienda kwa mganga wa kienyeji kutafuta Dawa ya kupendwa na mwanamke aitwaye Lucy..
Nilikuwa nampenda Sana Lucy . Kabla sijapewa dawa nilishtukiwa na mama nilipgwa Sana..

2.nilimtongoza mama mjane mtu mzima umri Kama wa mama yangu mama akanichenjia kanipeleka kwa baba nikala vibano vingi sana
 
Mi nlikua bingwa wa manati, masaa yote ipo kiunoni kama bastola, nlikua mpaka nalala nayo usiku.. nshapiga sana watu za vichwa, ila kuna siku nlimpiga jamaa muuza nyanya, alinikimbiza akanipa bonge la banzi(kibao) halafu akanimalizia na konzi zito kweli, kwanza nlizunguka kama mara saba pale pale kabla ya kukimbia.... Sintosahau
 
Kuna siku niliwahi sana shule kabla ya mtu yeyote nikaenda kuandika matusi ubaoni kwa herufi kubwa. Kilichofuata hapo ilikua ni dimbo class nzima siku tatu mfululizo tumtaje alieandika. Hatimae wakatajwa washkaj wengine ambao walikuaga watunduwatundu na wakaamriwa kuita wazazi wao halafu ikagongwa kengele wakachapwa tena mbele ya shule nzima halafu wanafunzi wote tukaamrishwa kuwazomea. Kwa jinsi nilivyokua mpole walimu waligoma kama ni mimi naweza kuandika yale matusi ubaoni maana kuna jamaa mmoja alinitaja kwamba aliniona asubuhi natokea darasani akasema huenda mi ndio niliandika.
 
Matukio mawili
1.nikiwa darasa la tatu au nne nilienda kwa mganga wa kienyeji kutafuta Dawa ya kupendwa na mwanamke aitwaye Lucy..
Nilikuwa nampenda Sana Lucy . Kabla sijapewa dawa nilishtukiwa na mama nilipgwa Sana..

2.nilimtongoza mama mjane mtu mzima umri Kama wa mama yangu mama akanichenjia kanipeleka kwa baba nikala vibano vingi sana
We ulikuwa mtambo inaonekana unapenda mizigo yenye vyura
 
Back
Top Bottom