International level : Argentina Vs France, 2022 worpd cup final.
Club level: Bayern Munich Vs Atletico Madrid 2016 UEFA nusu fainali ya pili pale Allianz Arena, baada ya mechi ya kwanza kuisha kwa ushindi wa moja bila kwa Atletico. Wakarudiana pale Allianz Arena, Pep Guardiola akaweka pembbeni mpira wa kihispaniola, akawaacha akina Frank Ribery wapige ule msako wa kijerumani.
Upande wa pili, Diego Simeone alienda na mission moja tu, kupaki bus. Hili ndicho kipindi ambacho Atletico Madrid walikua na defense bora zaidi duniani.
Ulipigwa mpira mwingi sana. Ilikua ni pressure kuanzia dakika ya kwanza, hadi ya mwisho. Bayern walishinda 2-1, ila wakatolewa kwa aggregate.
NB: Comeback ya Barcelona Vs PSG, ilikua ni total domination. Barca iliwazidia PSG kila kitu, ndio maana siioni kama ni mechi bora.