Tuambie Mechi yako Bora zaidi ya soka ambayo umewahi kuishuhudia

Tuambie Mechi yako Bora zaidi ya soka ambayo umewahi kuishuhudia

1. Brazil vs France 1998 nililia
2. Senegal vs France 2002 nililia
3. Senegal vs Uturuki 2002 nililia
4. Arsenal vs barca 2006 niliumia

2005 ac milan na liver/ 2021 liver na barca hizi mechi mbili kwangu ni bora sana sababu nilikuwa emotional sana yaan saut ilikata kabisa mechi nyingi ile ya simba na nkana nilijuwa uwanjan saut ilikata

Ila mechi ya man u vs madrid ile ya 3-3 delima akitupia huku nestroy akitupia ndo mechi bora kabisa kuwah kuona sikutaka iishe sababu ya utam wa ball

Brazil kufungwa na france ilikua furaha kwangu

France kufungwa na timu kubwa kama Argentina, timu iliyo na mchezaji bora kuwahi kutokea hapa ulimwenguni ilikua ni furaha kwangu

Senegal vs France 2002 nilifurahi
3. Senegal vs Uturuki 2002 nilifurahi
4. Arsenal vs barca 2006 nilifurahi ushindi wa Barca
 
Ajax Amsterdam vs totenham Hotspur (UEFA semi final second leg,2019).
Totenham Hotspur vs Manchester city ( UEFA 2nd leg quarter final, 2019).
Real Madrid vs Chelsea (UEFA 2nd leg quarter final, 2022).
Zilikuwa mechi za kusisimua Kwa upande wa mbinu na burudani ya mpira kiujumla.
 
UEFA 98/99
The competition was won by Manchester United, coming back from a goal down in the last two minutes of injury time to defeat Bayern Munich 2–1
Magoli ya Teddy Sheringham na Ole Gunar yalitosha kumkalisha chini Mghana na hatasahau maishani mwake. Kwa mara ya nyingine niliona ukatili wa Soka baada ya ule wa 1994 mechi ya USA na Colombia Andre Escobar akijifunga na kisha kuuawa Kwa kupigwa risasi baada ya kurejea kwao.
 
Magoli ya Teddy Sheringham na Ole Gunar yalitosha kumkalisha chini Mghana na hatasahau maishani mwake. Kwa mara ya nyingine niliona ukatili wa Soka baada ya ule wa 1994 mechi ya USA na Colombia Andre Escobar akijifunga na kisha kuuawa Kwa kupigwa risasi baada ya kurejea kwao.
Pia fainal ya kombe la Dunia 🌍 1950 Brazil
Brazil wanaikumbuka sana pia Lilitangazwa kama janga la kitaifa...🌝🌝
Maracana 🏟️ stadium ilijaa huzuni kipa Barbosa akachukiwa miaka yotee ..

Winga Ghiggia alipeleka huzuni Brazil dakk 11 kabla mechi kuisha.... Underdog Uruguay Waka won world cup
 
1994 kombe la Dunia lilichezwa Marekani na mechi zilikuwa zinaanza saa 8:30 usiku. Mnalala kwanza kisha mnaamka mnaangalia mechi. Nikiwa Shinyanga kipindi hicho mechi zinaonyeshwa Bitiama Hotel na Bwalo la Polisi.
1999 nyumba nyingi zilishanunua TV tukitumia madishi makubwa. Hii niliiangalia nyumbani kwangu sebleni kwenye TV niliyonunua mwenyewe.
Umenielewa Mkuu?
Mimi nimeanza kuangalia live kombe la Dunia 1990 ushindi wa Germany dhidi ya Argentina kwa goli la penati ya Andreas Brehme.
Ilikua ni kawaida watu mbali mbali kujazana home kuchek mitanange mbali mbali.....
 
Nimeangalia mechi nyingi za Simba ila...

Simba 3 - 1 Nkana ilinisisimua Sana, sijawasahau wale vijana wa nkana hadi leo...

Chisala, Kampamba, Bwalya dooh, tuliwapiga lakini walitutesa mnoo...

Mechi nyingine ni Barca 1 - 0 Inter ilikua 2010 nusu final...

hapo Barca ametoka kula 3-0 San siro...

nilimkubali Mourinho hadi leo.
 
WC final 2022 Argentina vs france

Kwangu ilikua ni mechi niliyopitia hali zote(nzuri na mbaya) mpaka mechi kuisha.
Nilikua upande wa argentina, nilifurahi sana 1st half lakini kipindi cha pili nilipata taabu sana siwezi kusahau.

EUROPA LEAGUE, OLYMPIACOS vs ARSENAL
Hii mechi ndio niliamini kuwa mpira unaweza kukupotezea maisha na kuanzia siku hiyo nilijifunza kubalance mahaba na mpira wa miguu. Arsenal ilinisononesha sana kwa kupata goli la kuwawezesha kusonga hatua inayofuata(kama wangelilinda), halikudumu na tukayaaga mashindano. Niliumia mno

LIVERPOOL vs BARCELONA nitarudi
 
UEFA.. Man 4- Real Madrid 3 Old Trafford. Ronaldo de Lima akitupia 3. Ferguson alisema "ulikuwa ni usiku wa soka"
 
Pia fainal ya kombe la Dunia 🌍 1950 Brazil
Brazil wanaikumbuka sana pia Lilitangazwa kama janga la kitaifa...🌝🌝
Maracana 🏟️ stadium ilijaa huzuni kipa Barbosa akachukiwa miaka yotee ..

Winga Ghiggia alipeleka huzuni Brazil dakk 11 kabla mechi kuisha.... Underdog Uruguay Waka won world cup

Safi sana kwa ushindi wa uruguay, nilifurahi mnoo
 
WC final 2022 Argentina vs france

Kwangu ilikua ni mechi niliyopitia hali zote(nzuri na mbaya) mpaka mechi kuisha.
Nilikua upande wa argentina, nilifurahi sana 1st half lakini kipindi cha pili nilipata taabu sana siwezi kusahau.

Kama tulikuwa pamoja mzee baba, timu la dunia, chezaji la dunia likipambania timu yake pendwa ARG🏆🏆🏆💪🏽
 
UEFA champions league final in 2005 Kati ya AC Milan na Liverpool.Hapa Liverpool walikuwa washakula nyundo 3 kipindi Cha kwanza.Kipindi Cha pili Liverpool wakafanya Mambo in six minutes time( ikaitwa The six minutes of soccer madness in Turkey)

2010 World cup final between Spain & Netherlands, hii ilikuwa bonge la mechi sijawahi ona.
Mpaka Spain wanakuja kupata bao la ushindi jasho lililokuwa limetolewa sio la kitoto.

World cup final 2022 Argentina vs France, kipindi Cha kwanza Argentina walitawala ila Moto wa France walianza kuuhisi kuanzia dakika ya 75.Ile save ya Martinez ilikuwa Ni save of the millennium.
 
Intermillan vs Barca 2010 ##Sansiro#

Nilishangilia adi nikaishiwa sauti siku tatu

Buyern vs The blues 2012 ##AlianzArena#

Simba vs As vita club ##tunapgwa goal dakika ya mapema kabisa tamaa yangu ikakatika nikaloweshwa maji na wale niliokua nawavimbia ,;asee baada ya ile comeback niliwatawanya vbaya mno hawatakuja kusahau

Pia kuna ile comeback ya Liva vs Barcelona (hii nilihc nipo ndoton[emoji849])


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hrid 4 vs atletico Madrid 1 -hii ilikuwa fainali ambapo atletico aliongoza Hadi dk ya 94.
Madrid wakapata kona, aisee Sergio Ramos ni zaidi ya fundi, cr7 akaimaliza mechi.
Hii mechi pepe aligombana na Simeone, maana atletico walihisi game imeisha
Hii game huwa nahisi Madrid walisisimua misuli' baada ya dk 90,yaani wao walikua na nguvu ghafla huku wenzao wakiwa wamekata moto
 
Kassim Manara akiweka mpira ndani ya miguu yake hata mkija 5hamchukui ule mpira
Kwa kukosa kutumia teknolojia kuna vitu vizazi vijavyo vitakosa. Kizazi cha sasa hivi kinabaki kumuona messi ndio haiwezekani kuchukua mpira mguuni kwake.
 
Back
Top Bottom