Tuambie Mechi yako Bora zaidi ya soka ambayo umewahi kuishuhudia

Tuambie Mechi yako Bora zaidi ya soka ambayo umewahi kuishuhudia

Kwa kukosa kutumia teknolojia kuna vitu vizazi vijavyo vitakosa. Kizazi cha sasa hivi kinabaki kumuona messi ndio haiwezekani kuchukua mpira mguuni kwake.
Upo sahihi mkuu,Ile combinations ya Jella Mtwagwa na L.Tenga haitakuja kutokea tena nchi hii, midfielders, Hussein Masha , Aluu Ally ,Mohammed Richard, yaani ilikua burudani tupu na mpira ulichezwa kwa kipaji sio sasa ipo to technical, mpaka leo sijaona mchezaji kama Peter Tino, Mohammed Salim ile ilikuwa ni total talents, kama nchi tulipotea sana,why hatukuendeleza mkondo huu?Zamoyeni Mogella ...looo,niishie hapo naona nishaanza kuwa emotional
 
niishie hapo naona nishaanza kuwa emotional
Kweli mkuu umekuwa too emotional. Kipaji + technical ndio mpira unaponoga. Rejea gem ya Inter na Barca iliyochezwa Giussepe de meaza 2010. Technics za Jose ndio zilifunika vipaji vya kina Messi, Xavi, Iniesta na Bosquets
 
Hiyo hapo, kilinuka sana, wakaenda matuta, ...tuta la mwisho Chelsea atinge fainali wakuitwa john terry aka-slide ngoma ikapaa ,mashetani wekundu wakatinga fainali
 

Attachments

  • Fg8wft5XgAAXsMO.jpeg
    Fg8wft5XgAAXsMO.jpeg
    731.7 KB · Views: 8
Hiyo hapo, kilinuka sana, wakaenda matuta, ...tuta la mwisho Chelsea atinge fainali wakuitwa john terry aka-slide ngoma ikapaa ,mashetani wekundu wakatinga fainali
Hii mechi ilikua ndo fainali na champion league ilifanyika urusi 2008
 
Mtaongea sana, lakinii fainali bora ilikua ni Argentina na france, na wanaume wakaondoka na ndoo,,, france walitegemea counter attack na mnyamwezi wao mbappe 🤣🤣🤣
 
Uefa champions league Final 1999
Bayern 1 vs Man u 2.Comeback ya hatari. Baada ya Bayern kuongoza kwa gori moja kwa bila takribani dk zote tisini. Zikaongezwa dk kama 3 Teddysherigham aliyeingia kama sub akasawazisha, ile boli linaanza tena ex Kocha wetu Ole gunasoljaer naye aliingia kama sub akaweka kamba ya pili na Manchester United kunyakua kikombe.
 
Mm nakumbuka ile FIFA CONFEDERATION CUP Brazil vs USA. Ile come back ya Brazil ilkua balaa

Kuna hii ya juzi ngao ya jamii. Yanga vs Simba. Nilishangilia sana na sitoisahau wala kumsahau Mayele.
 
YANGA VS SIMBA . Simba baada ya kutanguliwa 3:0 ana sawazisha na kuwa 3:3

Chelse Vs Man U

Man u Anachukua ubingwa UEFA.

Simba Anamfunga Al Ahaly kwa Mkapa, s Vita

Kaizer Chief Vs Orando Pirates. Orando Anamfunga Pirated Nyumbani.

Funika Yote ni ile Kaizer chief anafanya Come Back
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Bayern's Munich vs real Madrid UEFA champions league ilikuwa bonge moja la mechi huku arjen robben na frank ribery walikuwa moto kweli kweli ngoma inaenda mpaka extra time bonge moja la mechi.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Kwangu binafsi mechi mbili zinabaki kumbukumbu kubwa kwangu;Simba SC vs Mufurila Wanderes,DSM Simba SC inakufa 4-0,uwanja wa Taifa, Marudiano ndani ya Zambia Simba SC 5,Mufurila Wanderes 0(Salute salute George Best &Co),ninashuhudia game pale Arusha nikiwa primary school, Vita FC vs Pan African, computer Sunday Manara analetwa rasmi kwa game hiyo, na anaonyesha why alipewa hiyo nickname;mpira wa sasa huu wa kufundishwa ni shida tupu...Kassim Manara akiweka mpira ndani ya miguu yake hata mkija 5hamchukui ule mpira,.....George Masatu anafuta magoli kwenye msitari....ohoooo Tanzania tulipotea wapi kama nchi?
Wewe ni muhenga
 
Niwe mkweli......Katika Maisha yangu sijawahi kuiona simba ikipiga mpira mkubwa kama usiku huu....Simba ilitakata na iliutaka sana ushindi....
Mechi tamu ilikuwa as vita vs mnyama mkali ,mpaka mechi inaisha huwezi amin
As vita 5 mnyama asiyefugika asiye na mbambamba 0

Hakika hii mechi SITAISAHAU
 
Back
Top Bottom