Kwangu binafsi mechi mbili zinabaki kumbukumbu kubwa kwangu;Simba SC vs Mufurila Wanderes,DSM Simba SC inakufa 4-0,uwanja wa Taifa, Marudiano ndani ya Zambia Simba SC 5,Mufurila Wanderes 0(Salute salute George Best &Co),ninashuhudia game pale Arusha nikiwa primary school, Vita FC vs Pan African, computer Sunday Manara analetwa rasmi kwa game hiyo, na anaonyesha why alipewa hiyo nickname;mpira wa sasa huu wa kufundishwa ni shida tupu...Kassim Manara akiweka mpira ndani ya miguu yake hata mkija 5hamchukui ule mpira,.....George Masatu anafuta magoli kwenye msitari....ohoooo Tanzania tulipotea wapi kama nchi?