ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,640
- 22,748
Game iliisha 3 kwa 2 cross kutoka kwa jodi alba 🙌🙌🙌🙌Ile mechi Messi anawapata Real Madrid huku kang'ata plasta mdomoni then anakuja kuwaonyesha jezi yake namba 10
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Game iliisha 3 kwa 2 cross kutoka kwa jodi alba 🙌🙌🙌🙌Ile mechi Messi anawapata Real Madrid huku kang'ata plasta mdomoni then anakuja kuwaonyesha jezi yake namba 10
Goal Dakika Za Jioni Kabisa.Game iliisha 3 kwa 2 cross kutoka kwa jodi alba [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Wewe sio mtanzania17 Nov 2015
Algeria 7 – 0 Tanzania
Y. Brahimi 1'
F. Ghoulam 23', 59' (P)
R. Mahrez 43'
I. Slimani 49' (P), 75'
C. Medjani 72'
iyo game ya united stev Gerrad anapiga chuma anakimbilia kushangilia kwenye kibendera anabusu camera iyo game ilpigwa old trafford united kipindi hicho tunavaa jezi za AIGMechi zipo nyingi saaana.
Nashindwa kupanga kwa kuzingatia ugumu wa mechi ila acha nizitaje.
Chelsea v PSG
Ibrahimovic anapewa red card mapema, game ilikuwa ngumu, ngumu kwelikweli. Chelsea kila akifunga, PSG anachomoa, dakika za mwishoni Thiago Silva anachomoa goli na matokeo droo ya 2-2 Chelsea anaaga UEFA.
Inter Milan 3 Barcelona 1
Inter ya Mourinho na Barca ya Pep, Mourinho akajiona bado mbabe, yeye ndo muarobaini wa Barca, akahamia Madrid kabisa.
Manchester United v AC Milan
Kaka anawagonganisha vichwa mabeki bora kabisa wa Man U kipindi hiko, Ferdinand na Nemanja Vidic.
Manchester United 1 v Liverpool 4
Hataari saana hii game, Fernando Torres na Steven Gerald waliacha msiba mzito Old Trafford.
Game zipo nyingi sana mkuu.
Unamaanisha 2005?THAT NIGHT IN ISTANBUL
Bayern Munich vs Manchester United-UEFA Champion League 1999.Nimekuwa shabiki wa soka kwa muda mrefu sana. Kwa muda wa miaka 20 sasa. Nimeangalia mechi nyingi sana na za kutosha, zaidi ya 1000 hadi leo hii.
Toka enzi za goli la dhahabu hadi leo hii ambapo goli la ugenini limefutwa kwenye mashindano ya Ulaya na technolojia ya VAR inatumika.
Nimeangalia fainali 6 za kombe la dunia, toka 2002 hadi 2022. Nimeangalia zaidi ya fainali 14 za Uefa Champions league. Nimeangalia mechi nyingi sana za mashindano tofauti tofauti na zenye matukio ya kusisimua na matokeo ya kustaajabisha....Jaribu kuwaza,,
Nani amesahau kuhusu usiku wa Liverpool dhidi ya Ac Milan 2005?..Je ile comeback ya Barcelona dhidi ya PSG 2017?...vipi kuhusu usiku wa Drogba pale Allianz Arena 2012?....Bila shaka wote tunakumbuka goli la Iniesta lilivyowapa ubingwa Spain mbele ya Uholanzi pale Soccer city kwa madiba....Na vipi kuhusu ile Acrobatic ya Wayne Rooney dhidi ya Man city dakika za kuelekea mwisho kabisa kwenye mechi muhimu ya kuamua bingwa wa EPL 2010/2011...Mungu amlaze pema Cheikh Tiote anayetukumbusha Comeback ya Newcastle dhidi ya Arsenal game ambayo Newcastle wanatoka nyuma kwa bao 4 na kufanya matokeo kuwa 4 kwa 4...vip kuhusu Madrid dhidi ya City UCL mwaka jana?
Hakika kuna mechi nyingi sana ambazo tumezishuhudia na kuzifurahia. Na ambazo zilituacha na kumbukumbu nzuri sana mioyoni mwetu. Lakini pamoja na hayo, kuna mechi moja ambayo kwangu mimi nimeiweka katika kilele cha ubora. Ndiyo, ni Mechi Bora zaidi ya soka ambayo nimewahi kuishuhudia. Unataka kuifahamu?
Usipate tabu, rudisha kumbukumbu zako hadi Jioni ya Tarehe 18.12.2022 pale Qatar...ARGENTINA vs FRANCE....Dakika 120 za dhahabu. Ni mechi kubwa iliyoamuliwa na wachezaji wakubwa katika hatua kubwa ya mshindano makubwa zaidi ya soka duniani.
Kwangu mimi Argentina Vs France ndio mechi yangu bora zaidi ya soka niliyowahi kuishuhudia toka nimeanza kuangalia soka....
Tuambie kwa upande wako, ipi mechi bora kwako!!!
Ile ya Man U kufa goli 4 mpaka Gerald anaenda kubusu Camera ilikuwa ni moto.iyo game ya united stev Gerrad anapiga chuma anakimbilia kushangilia kwenye kibendera anabusu camera iyo game ilpigwa old trafford united kipindi hicho tunavaa jezi za AIG
Game ya Inter milan hiyo San Siro wesley Snejider yupo kwenye ubora wake afu kuna muhuni mmoja alikua anacheza kati pale Chivu na Thiago motta kulia kuna Maicon Beki ya Kati kuna Javier martinez na Lucio kitambo sana mzee bila kumsahau Diego milto
Uliangalia fainali ya euro 1996 ya Ujermani vs Czechoslovakia!?? ....National team fainali yangu bora ni ARGENTINA na france.
France tuliwafanya mbaya na hawatosahau, wamecheza na timu bora na mchezaji bora kuwahi kutokea.