Tuambie Mechi yako Bora zaidi ya soka ambayo umewahi kuishuhudia

M

I nadhani aliyeimaliza hii game ni Di maria....kipindi game iko 1 bila....Atletico walikuwa wanaupiga mwingi sana. Baada ya kusawazishiwa, wakahisi kama wameonewa so wakapanic....extra time wakajikuta wanakula goals nne....Di Maria akiiua game
Goli alifunga Ramos, di Maria alijatahidi nae
 
Mpaka sasa hivi, nikiikumbuka ile save ya Martinez, bado najikuta naogopa. Ni sekunde kadhaa tu, mwanaume akaamua hatma ya michuano yote kwa save ya dakika ya mwisho kabisa!
 
Mechi za kupaki Basi sijawahi kuziona kama zina ubora, japo zina msisimko wake kama timu yako ndio inayopalki basi halafu ikashinda, ila ni very frustrating kwa upande mwingine

Mfano UEFA aliyoshinda Chelsea 2012 kwa kupaki basi dhidi ya Barcelona Nusu Fainali na kupaki basi dhidi ya Bayern Fainali, japo nilifurahi Chelsea kushinda mechi zote na kuchukua UEFA kwa mara ya kwanza ila sio mechi bora
 
Man u vs real Madrid nadhan mwaka 2003.. ilikuwa piga nikupige.. united alifungwa 3-1 pale Santiago, mechi ya marudiano.. man kashinda 4-3 barthez akampa kichwa sana Ronaldo de lima Kwa kumpatia goli tatu za kibwege...Beckaham alikuwa na ugomvi na fergie lakn alipoingizwa akawa man wa Match upande wa united kwa kufunga goli mbili tamu..
 
1.Manchester United/Bayern Munich fainali UEFA champions league 1999.
2.Barcelona /Arsenal UEFA champions league final 2006.
👆usiku ule kwenye game ya pili sijui nini kilitokea ndoo ilikuwa ya Gunners kabisa.
 
Kuna mechi ya UEFA hatua ya robo fainali Liverpool na Chelsea ya iliiisha magoli 4-4. Mechi ya kwanza Liver alikufa goli 3-1 nyumbani kwake marudiano yakae da kufanyika Starmford Bridge.

Kuna hii mechi ya Madrid na Man City. Hii wengi tuliona namna mpira ulivyo na ukatili.

Mechi ya mwisho ni kama ya mleta mada fainali ya WC hii ya mwaka jana 2022 kiukweli hakuna ambaye hakuburudika ilijawa msisimko mkubwa. Kijana Mbappe hongera kwa burudani ile.
 
Atletico alikosa kwa simanzi sana ni kama ile final ya man u vs bayern munich mwaka 1999 kama uliiangalia., kufor alilia kama mtoto mdogo siku iyo
 
M

I nadhani aliyeimaliza hii game ni Di maria....kipindi game iko 1 bila....Atletico walikuwa wanaupiga mwingi sana. Baada ya kusawazishiwa, wakahisi kama wameonewa so wakapanic....extra time wakajikuta wanakula goals nne....Di Maria akiiua game
Alafu extra aliingia marcelo upande mmoja di maria upande mwingine marcelo atletico aliita maji mma ila ni kweli walionewa lile goli la ramos la kusawazisha lilikua offside
 
Mpaka sasa hivi, nikiikumbuka ile save ya Martinez, bado najikuta naogopa. Ni sekunde kadhaa tu, mwanaume akaamua hatma ya michuano yote kwa save ya dakika ya mwisho kabisa!
Hatari sana. Wakati kolo Muani anapiga ile shuti nilifumba macho sikutaka kuona hilo goli. Ni goli ambalo lingeniumiza sana sana. Ile save ni Mpango wa Mungu tu.
 
Chelsea walianza lambwa mbili kwanza kipindi cha kwanza, nilikaa na kaka yangu shabiki wa Chelsea alinuna balaa yaani. Nikawa nacheka kama mwehu ndiyo kwanza nikamtia hasira, walivyosawazisha alishangilia kama hamnazo. Isingekuwa sub ya lampard ingeisha 4-2
 
Kuna hiyo ya Simba na Stella Abidjan mwaka 1993. Ilikuwa fainali ya ambayo sasa inajulikana kama CAF Confederation Championship. Ndio mechi ilifanya niwe shabiki wa Simba mpaka leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…