Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Goli alifunga Ramos, di Maria alijatahidi naeM
I nadhani aliyeimaliza hii game ni Di maria....kipindi game iko 1 bila....Atletico walikuwa wanaupiga mwingi sana. Baada ya kusawazishiwa, wakahisi kama wameonewa so wakapanic....extra time wakajikuta wanakula goals nne....Di Maria akiiua game
Mpaka sasa hivi, nikiikumbuka ile save ya Martinez, bado najikuta naogopa. Ni sekunde kadhaa tu, mwanaume akaamua hatma ya michuano yote kwa save ya dakika ya mwisho kabisa!Yes, ni bonge la mechi. Na hasa utamu wa mechi hii unanogeshwa na ukweli kwamba mimi ni TEAM MESSI lia lia....shabiki ambaye namkubali messi kama GOAT wa soka...niliangalia ile game nikiwa na presha kuanzia dakika ya 1 hadi ya mwisho. Hata pale Argentina alikuwa akiongoza bao mbili bado niliamini haijaisha hadi iishe....Ile save ya Martinez dhidi ya Kolo Muani ni Mungu tu anayejua.
Mambo hayoHatari sana mkuu...natamani kila siku ile game ijirudie
Mechi za kupaki Basi sijawahi kuziona kama zina ubora, japo zina msisimko wake kama timu yako ndio inayopalki basi halafu ikashinda, ila ni very frustrating kwa upande mwingineInternational level : Argentina Vs France, 2022 worpd cup final.
Club level: Bayern Munich Vs Atletico Madrid 2016 UEFA nusu fainali ya pili pale Allianz Arena, baada ya mechi ya kwanza kuisha kwa ushindi wa moja bila kwa Atletico. Wakarudiana pale Allianz Arena, Pep Guardiola akaweka pembbeni mpira wa kihispaniola, akawaacha akina Frank Ribery wapige ule msako wa kijerumani.
Upande wa pili, Diego Simeone alienda na mission moja tu, kupaki bus. Hili ndicho kipindi ambacho Atletico Madrid walikua na defense bora zaidi duniani.
Ulipigwa mpira mwingi sana. Ilikua ni pressure kuanzia dakika ya kwanza, hadi ya mwisho. Bayern walishinda 2-1, ila wakatolewa kwa aggregate.
NB: Comeback ya Barcelona Vs PSG, ilikua ni total domination. Barca iliwazidia PSG kila kitu, ndio maana siioni kama ni mechi bora.
Atletico alikosa kwa simanzi sana ni kama ile final ya man u vs bayern munich mwaka 1999 kama uliiangalia., kufor alilia kama mtoto mdogo siku iyoReal Madrid 4 vs atletico Madrid 1 -hii ilikuwa fainali ambapo atletico aliongoza Hadi dk ya 94.
Madrid wakapata kona, aisee Sergio Ramos ni zaidi ya fundi, cr7 akaimaliza mechi.
Hii mechi pepe aligombana na Simeone, maana atletico walihisi game imeisha
Alafu extra aliingia marcelo upande mmoja di maria upande mwingine marcelo atletico aliita maji mma ila ni kweli walionewa lile goli la ramos la kusawazisha lilikua offsideM
I nadhani aliyeimaliza hii game ni Di maria....kipindi game iko 1 bila....Atletico walikuwa wanaupiga mwingi sana. Baada ya kusawazishiwa, wakahisi kama wameonewa so wakapanic....extra time wakajikuta wanakula goals nne....Di Maria akiiua game
Hii gemu siwez isahau ilipigwa mbungi na akina Mafisango, Sunzu, Okwi, Maftah tuliiimba oya oya toka Taifa mpaka Vingunguti machinjioniSimba 5:0 yanga (2012)
Hatari sana. Wakati kolo Muani anapiga ile shuti nilifumba macho sikutaka kuona hilo goli. Ni goli ambalo lingeniumiza sana sana. Ile save ni Mpango wa Mungu tu.Mpaka sasa hivi, nikiikumbuka ile save ya Martinez, bado najikuta naogopa. Ni sekunde kadhaa tu, mwanaume akaamua hatma ya michuano yote kwa save ya dakika ya mwisho kabisa!
Chelsea walianza lambwa mbili kwanza kipindi cha kwanza, nilikaa na kaka yangu shabiki wa Chelsea alinuna balaa yaani. Nikawa nacheka kama mwehu ndiyo kwanza nikamtia hasira, walivyosawazisha alishangilia kama hamnazo. Isingekuwa sub ya lampard ingeisha 4-2View attachment 2498362Kuna mechi ya UEFA hatua ya robo fainali Liverpool na Chelsea ya iliiisha magoli 4-4. Mechi ya kwanza Liver alikufa goli 3-1 nyumbani kwake marudiano yakae da kufanyika Starmford Bridge.
View attachment 2498360Kuna hii mechi ya Madrid na Man City. Hii wengi tuliona namna mpira ulivyo na ukatili.
Mechi ya mwisho ni kama ya mleta mada fainali ya WC hii ya mwaka jana 2022 kiukweli hakuna ambaye hakuburudika ilijawa msisimko mkubwa. Kijana Mbappe hongera kwa burudani ile.