Tuambie sababu iliyokupelekea ukawa unatumia hiyo ID yako hapa JF

Tuambie sababu iliyokupelekea ukawa unatumia hiyo ID yako hapa JF

Na hivi kwa nini huyo mtu amekuwa akiulizwa sana juu ya jinsia yake ?
kuna Mkuu mmoja atapita hapa mda sio mrefu..anajiita cocastic ila mimi najua kwanini anajiita hivyo..najua hatatoboa hiyo siri ila ngoja niwaibie siri yake.

siku moja miaka mingi kidogo imepita mimi nayeye tukiwa wanafunzi kutoka shule mbili tofauti mkoani Dsm tulikutana sehemu kwa mdahalo maalumu wa wanafunzi. Wakati namalizia mchango wangu kwenye ule mdahalo, nilimalizia kwa maneno haya 'thank you so much organizers for the fantastic debate'.... Sasa ilipofika zamu ya huyu mkuu nae ikabidi apige chabo kidogo akasema 'I feel so lucky to participate in this cocastic debate'...Ukumbi mzima ulivunjika mbavu.

Basi ameona ndio iwe ID yake hiyo..​
 
Siubadiri jina limekaa kifamba sana mpaka Avatar ya kikolo
Kijana mimi humu nachota ma info nakusepa zangu....
Sidhani kama kuna umuhimu wa kuchange id wala avatar
Mtandao wenyewe kuna watu wanaitwa viatu vya samaki,kwanini nihangaikie majina na avatar nzuri.....chill boss
😂😂😂😂😂

If you're new here hamna tuzo za jina zuri wala id inayovutia huku si insta

This is way over that...
Huku wanakaa magreat thinker...

Na wa kula tunda kimasihara😂😂😂
 
Siri ya sifuri ni sifuri yenyewe, great thinkers hawahitaji maelezo zaidi wameshatambua maana.
 
kuna Mkuu mmoja atapita hapa mda sio mrefu..anajiita cocastic ila mimi najua kwanini anajiita hivyo..najua hatatoboa hiyo siri ila ngoja niwaibie siri yake.

siku moja miaka mingi kidogo imepita mimi nayeye tukiwa wanafunzi kutoka shule mbili tofauti mkoani Dsm tulikutana sehemu kwa mdahalo maalumu wa wanafunzi. Wakati namalizia mchango wangu kwenye ule mdahalo, nilimalizia kwa maneno haya 'thank you so much organizers for the fantastic debate'.... Sasa ilipofika zamu ya huyu mkuu nae ikabidi apige chabo kidogo akasema 'I feel so lucky to participate in this cocastic debate'...Ukumbi mzima ulivunjika mbavu.

Basi ameona ndio iwe ID yake hiyo..​
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pacha sio kwa hii comment, wallah nimecheka mbavu sina lol.
 
Kwahyo wew ni mtu wa kaskizinii au sio
Hili jina Chakorii nililipata kutoka kwenye movie ya kihindi inayoitwa Udaan kama sijakosea.

Main character aliitwa Chakor..ila mimi niliongeza ii mbele kwa kuwa watu wa kanda ya kaskazini hupenda kuongeza herufi kwa mbele.

mfano:
pita-pitaa
Vero-veroo
Rama-ramaa

Yani hivyo tu
 
Siri ya sifuri ni sifuri yenyewe, great thinkers hawahitaji maelezo zaidi wameshatambua maana.
Hebu tupe maana hata kidogo sisi tusio great thinkers.
 
once.jpg

Siri ya jina langu imetoka hapo
Rumpelstiltskin is a fairy tale that illustrates how confused values can lead to problems. One of the themes is about staying quiet when you have nothing meaningful to contribute. The miller could have avoided a lot of trouble for his daughter by keeping his mouth closed instead of trying to impress the King.
 
View attachment 1807824
Siri ya jina langu imetoka hapo
Rumpelstiltskin is a fairy tale that illustrates how confused values can lead to problems. One of the themes is about staying quiet when you have nothing meaningful to contribute. The miller could have avoided a lot of trouble for his daughter by keeping his mouth closed instead of trying to impress the King.
nimeielewa sana hiii...big up mkuu
 
Niliamua kuachana na id yangu ya zamani na kutumia jina langu halisi.

Japo changamoto za kuwa vefifwaidi memba ni nyingi ila tunasonga na tutafika tu.

Au nasema uongo ndungu zangu...!?
 
Back
Top Bottom