Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani mtu anafanya biashara na uwekezaji wote atoe huduma bure. sijui lakiniBaada kutangazwa na waziri Nape kuwa chanel za ndani zinarudishwa DSTV . Je, kifurushi kikiisha zinabaki au zinafuta mpaka uweke kifurushi tena? Kwa walio na DSTV tujuzeni.
Zinaonyesha kabisa maana zipo tu ila hakuna pichaHatimaye
Itv
Eatv
Zimerud kwao
Kwangu zimefungukaZinaonyesha kabisa maana zipo tu ila hakuna picha
Hakuna cha bure kifurushi kikikata na wao wanazikata hata TBC ni hivyo hivyo wanaweza kuiacha kwa wiki moja wanaitoa unabaki na dish tu.Baada kutangazwa na waziri Nape kuwa chanel za ndani zinarudishwa DSTV . Je, kifurushi kikiisha zinabaki au zinafuta mpaka uweke kifurushi tena? Kwa walio na DSTV tujuzeni.
Sasahivi ukimaliza tu kifurushi chako zinafungwa zote, unabakiziwa TBC tu.Hamna kitu. Wamerudisha Cloud [emoji2415][emoji2415] na machannel ya Hovyo
Acha kudanganya watu wewe, DSTV hakuna chaneli za bure. Ni TBC tu ndio unaachiwaSasa channel za ndani ni bure...
wapigie wakuelekeze kunajinsi wamebadili settings zao ila free to air channel zote zinaonesha mm nina mwezi wa pili sijalipia ila naona itv, TBC, clouds, Eatv, channel ten, star tv, upendo tv, safari channel na islamic tvBaada kutangazwa na waziri Nape kuwa chanel za ndani zinarudishwa DSTV . Je, kifurushi kikiisha zinabaki au zinafuta mpaka uweke kifurushi tena? Kwa walio na DSTV tujuzeni.