uzuri ma kuhani nyabingi, waliuhifadhi ukweli, kwenye, vinyago,namarembo, na sanamu zamawe, hata walipoandika uongo wao, sisi tumebaki na ushahidi, biblia qurani, talmudi, ni asili mia 5 to ya kweli yoteKwani si kabadilika ngozi Tu,
Ila ujumbe si ndio uleule_au vyote.?
Na huyo mzungu, ndio alikufundisheni, ubaguzi na kuuza binadamu wenzenu kama ng'ombe????Hivyo huyo yagashya ndio kakufunzeni kuwa wale wazungu nyie weusi si ndio.?
Na kutengeneza ugonjwa wa ukimwi??? Alikufundisheni yeye?Na huyo mzungu, ndio alikufundisheni, ubaguzi na kuuza binadamu wenzenu kama ng'ombe????
Kama unaleta habari kinyume na wengi tunavyojua na kuamini maana yake umefanya tafiti na una findings ambazo zina evidence lakini nachokiona hapa na masimulizi tu yasiyoonyesha ushahidi ambayo hata vitabu mnavyovipinga (bible&quraan) vinaweza vikawa na details nzuri kuliko haya masimulizi mnayoleta.Fafanua maana ya ushahidi
PoleUmepigwa BAN
Wengi mnavyo jua....hahahahaha...nyie wengi ndio nani? Wa kiriisto na waislamu??? Unataka kujifanya mtaaluma??? Masela,na makachala, na Wale wasiofika vyuo vikuu uwabague???? Utafiti gani??? Basi we tupe mpya, DNA ya yesu ilipatikana wapi???? Na zinjathropus alikuwa nani na kutoka wapi???eama unaleta habari kinyume na wengi tunavyojua na kuamini maana yake umefanya tafiti na una findings amba
Bible na Qur'an, zina ukweli gani, hebu tujuze......kisha utuambie, biashara ya utumwa alikuaguzeni Allah ama Jehova mfanye??? Kisha transatlantic trade, na wizi wote mlioufanya, ulioikanyausha Africa, na kustawisha bar a Asia na Ulayamnavyovipinga (bible&quraan) vinaweza vikawa na details nzuri kuliko haya masimulizi mnayoleta
Kwa hiyo umeshindwa kuweka shahidi zinazoenyesha ukweli wa madai mnayodai? Sijui kama vitabu vya biblia na quran kuna sehemu ambazo zimehararisha biashara ya utumwa au ukoloni.Bible na Qur'an, zina ukweli gani, hebu tujuze......kisha utuambie, biashara ya utumwa alikuaguzeni Allah ama Jehova mfanye??? Kisha transatlantic trade, na wizi wote mlioufanya, ulioikanyausha Africa, na kustawisha bar a Asia na Ulaya
Unaweza kuweka ushahidi wa haya masimulizi yenu ili nibadalishe mtazamo na ingie kwenye "ukombozi" wa mtu mweusi?!Wengi mnavyo jua....hahahahaha...nyie wengi ndio nani? Wa kiriisto na waislamu??? Unataka kujifanya mtaaluma??? Masela,na makachala, na Wale wasiofika vyuo vikuu uwabague???? Utafiti gani??? Basi we tupe mpya, DNA ya yesu ilipatikana wapi???? Na zinjathropus alikuwa nani na kutoka wapi???e
kinyume na hoja zako, ushahidi tumejaza tele, tatizo taaluma pi a ni chombo cha utawala, ndio sababu msomi wewe na wenzio mmeshindwa kuwaambia waafrica, ukweli tatizo nini?????
I see, naafiki, lakini so what, kulingana na yale tunayoyakabili, kama watu weusi duniani, what is your point? Hujajibu swali, unaposema ushahidi unamaanisha nini?kupatwa kwa mwezi wale wahindi wekundu wakawa wanamuheshimu na kumpa vitu mbalimbali lkn lengo likiwa ni lingine hili halifanyi sayansi kuwa mbaya bali ubaya ni wale waliotumia hiko kitu kwa malengo mingine.
Kwa kwelihow come a place is in the east and at the same time it is in the middle!!!!
halafu watu weusi hata hawastuki
acha basiiii"" madame waweza kunipatia proof ya hii kitu ".. maaana ni kama umeuvuruga ubongo wangu Hivi "" wataka kuniambia yule Jamaa aliyekuwa anafanya ma concert Bucharest " hakuwa yeye ""?? mmmhh"" hebu nipe fact zitakazo nifanya niweze kukusogelea kifikiraNdio hivyo, MJ alikufa 1984
Yule feki
hapana "" ukipigwa ban ...huwezi comment chochoteUmepigwa BAN
naaam ningepnda kuujua undani wa hili pia...I see, naafiki, lakini so what, kulingana na yale tunayoyakabili, kama watu weusi duniani, what is your point? Hujajibu swali, unaposema ushahidi unamaanisha nini?
Kwa mfano ushahidi ya Kuwa huyu Hapa
View attachment 807486
sio Michael Jackson????
nakubaliana na wewehiyo elimuhiyo ya mkoloni, imewasaidia ni ni kujikomboa na bara letu? Msikiti na kanisa vimemsaidia nini mtu mweusi? Zaidi ya utumwa wa kifikra???