Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie


Endelea mkuu, mana niko kwenye basi pia
 
Ushahidi kwamba virusi vya ukimwi, vilitengenezwa mahsusi? Be specific, tumesema mambo mengi,ushahidi wa ni ni hasa?
Proof maana yake nn kwa kiswahili, mfano kabla ya Copernicus wengi waliamini kuwa dunia ndio centre ya universe lkn Copernicus alikuja na "proof" za kimahesabu na logic lkn baadae galileo kwa experiment pia ilionyesha kuwa dunia sio center hii ni "proof" , sasa mi naamini madai mnayosema hapa mmeyafanyia tafiti nahitaji "proof" kutoka kwenye hizo kwenye hizo findings zenu vinginevyo haya yanabaki kuwa masimulizi tu.
 
ndio kituvambacho mimi nakisubiri kwa hamu kubwa"".. tukianza na hili swala la Michael Jackson aliyekufa 2009 siye yeye halisi "" wakati tumeona kina Janet na ndugu zake wote "" na ma celeb wa ulimwengu mzima wakimlilia na kufanya shughuli yake ya muago wa mwili wake "" ....ningumu mnooo kuamini hayo maneno yake "" kama ambavyo ilivyo kuwa ni vigumu ngamia kupita kwenye tundu LA sindano
 
Tulishafanya makubwa mno, mweusi ndio rangi ya jua, tuna viini vya melanin, dada tusijipodoe, tuache mikorogo, huu weusi, wazungu wanautamani, hawawezi kuwanao, tumepewa na mungu
Huo ni uongo ushaona wap mzungu anatamani weusi[emoji23] [emoji23]ww bint kampikie mumeo.
 
Kiama ni nini? na unaweza thibitisha uwepo wa kiama au kilikwisha tokea wapi?!
 
watajifunza tu mwaka huu
wanapita na kusoma kimya kimya
Hapana,
Bado tuna zipima hizo roho za Ma-nyabhingi, yaani za Ma-kuhani.
Tumeambiwa lazima tuzipime hizo roho kama zatokana na giza au Nuru.
Bado tunazitafakari kwamba zatoka wapi ?
 
tusijifunze kujua ukweli tufanye utafiti kama tujue uhalisia wa maisha ya Yesu huko alipozaliwa na kuishi
Alizaliwa Africa, Israeli iko Africa, mfereji wa suez canal ulitengenezwa juzi tu hapa, hapakuwa na mashariki ya kati, Africa ilikuwa imeungana na hivyo middle East na kwa mujibu huo kutoka historia ya kale ramani ya dunia ilitafsiriwa kwa pande mbili kusini na kaskazini......Africa kitovu cha ustaarabu, watu weusi na kahawia hao waasia, ambao ni mbegu ya Africa, Africa ilitawala kote Asia na Ulaya, vituo vya ustaarabu watu Weusi kwa nyakati tofauti vikiwa South sudan, Ethiopia, ancient Egypt, Kwa Asia Sumeria na kwa ulaya ancient Greece and Rome. Watu weusi walitapakaa dunia yote, hadi uchina, india, hadi urusi, unachokiona leo ni matokeo ya pandikizi la ubaguzi wa rangi....ambao haukuwepo dunia ya kale, Wala Israeli haikuwepo, kama taifa, bali kamkoa ama wilaya fulani hivi, na wakazi wake walikuwa waebrania, sio wayahudi hawa tunao wafahamu leo, asili ya waebrania, ni sisi watu weusi, Israeli ni tengenezo siasa la juzi tu la kughushi
 
Yesu halisi ni Yaghashya Alizaliwa Africa, Israeli iko Africa, mfereji wa suez canal ulitengenezwa juzi tu hapa kisiasa Za ubaguzi, hapakuwa na mashariki ya kati, Africa ilikuwa imeungana na hivyo middle East na kwa mujibu huo kutoka historia ya kale ramani ya dunia ilitafsiriwa kwa pande mbili kusini na kaskazini......Africa kitovu cha ustaarabu, watu weusi na kahawia hao waasia, ambao ni mbegu ya Africa, Africa ilitawala kote Asia na Ulaya, vituo vya ustaarabu watu Weusi kwa nyakati tofauti vikiwa South sudan, Ethiopia, ancient Egypt, Kwa Asia Sumeria na kwa ulaya ancient Greece and Rome. Watu weusi walitapakaa dunia yote, hadi uchina, india, hadi urusi, unachokiona leo ni matokeo ya pandikizi la ubaguzi wa rangi....ambao haukuwepo dunia ya kale, Wala Israeli haikuwepo, kama taifa, bali kamkoa ama wilaya fulani hivi, na wakazi wake walikuwa waebrania, sio wayahudi hawa tunao wafahamu leo, asili ya waebrania, ni sisi watu weusi, Israeli ni tengenezo siasa la juzi tu la kughushi
 
Mweusi akitaka kuwa mweupe anaweza.....ila mweupe akitaka kuwa mweusi hawezi. Inamaana mwafrika anaweza kuliko mzungu tatizo ni usingizi mzito umetulaza
 
Ukomae kimawazo hearly, proof unaitoa wapi, wauaji ndio watawala wa dunia,tunakupa clues, utaamua mwenyewe kama ni ukweli ama la, ma dokta walikataa kusaini death certificate ya Michael Jackson huyo mlizika2008. Baada ya vipimo kufanyika na limits siye yeye
 
Mweusi akitaka kuwa mweupe anaweza.....ila mweupe akitaka kuwa mweusi hawezi. Inamaana mwafrika anaweza kuliko mzungu tatizo ni usingizi mzito umetulaza
Hakuna plastic surgery unaweza kumgeuza mweusi akawa mzungu, Wala mbegu nyeusi kutoa watoto wazungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…